Search This Blog

Friday, November 18, 2022

CHUNGA SAANA LAAZIZI WANGU - 5

 





    Simulizi : Chunga Saana Laazizi Wangu
    Sehemu Ya Tano (5)




    Walielekea mpaka chumbani kwa Hashim.Hashim alijirusha kitandani na kunesanesa huku akimuangalia Salma.Kitanda kilifunikwa na godoro kiasi cha mbao kutoonekana.Salma muda wote huo mapigo ya moyo yalikuwa yakimuenda mbio.Alikuwa akiangalia chini huku aking’ata vidole.

    Hashim aliinuka kutoka kitandani na kumfuata Salma pale aliposimama.Alimkumbatia na kuanza kumpapasa kuanzia kuchwani mpaka kiunoni.Aliendelea kufanya hivyo huku akimbusu sehemu mbalimbali za mwili zilizomsisimua Salma taratibu.

    Salma alianza kusafiri taratibu kutoka pale chumbani na kuelekea kwenye sayari nyingine.Safari ya kuelekea sayari hiyo iliyokuwa na kila aina ya vitu vya kuvutia,ilimfanya Salma kutoa miguno ya taratibu ishara ya mishangao juu ya maajabu kwenye sayari hiyo.Hashim alimsogeza taratibu kuelekea kitandani huku akimpagawasha kwa kumpiga denda.

    Timbwili liliendelea kwa muda wa takribani dakika ishiri huku Salma akiwa hajiwezi.Hashim aliitumia fursa hiyo kumtoa nguo moja baada ya nyingine mpaka akabaki kama alivyozaliwa.Hashim alihakikasha Salma alimeanza kukojoa kwa mbali ndipo alipomuandaa babu kwa ajili ya kuianza safari ya kuingia ndani ya pango la Amboni.

    Hashim alimuingiza babu kwa nguvu na hapo Salma aliruka huku akipiga kelele za uchungu.Salma alimpiga Hashim kibao cha usoni.Hashim aligundua kama Salma alikuwa bado hajaonja mambo hayo.Aliugulia maamuvi ya kibao hicho kisha alianza kumbembeleza Salma ambaye ilimbidi akubali na kuvulia. Hashim alimuingiza bwana mkubwa taratibu na kwa ufundi Zaidi.

    Salma alipata maumivu makali japo yalikuwa yakipungua kadri Hashim alipokuwa akijaza upepo.Miguno ya maumivu yaliyochanganyika na raha ilisika ikitoka kwa Salma.Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa usichana wa Salma kuaga dunia.Baada ya kumaliza starehe hiyo,Salma alijilaumu kwanini alifanya hivyo.Hashim aliligundua hilo hivyo alianza kumliwaza kwa maneno yakumtia faraja huku akimbembeleza akaoge.

    Salma alishindwa kuinuka kwa haraka kutokana na maumivu aliyokuwa akiyahisi.Hashim alimsaidia kuinuka taratibu na kumpeleka bafuni kwa ajili ya kuoga. “Jikaze baby.Najua unaumia ila huu ni mwanzo utazoea na utakuwa unataka kila siku.”Hashim alijaribu kumpa moyo.

    Muda wote Salma alikuwa akiugulia maaumivu.aada ya kuingia bafuni alijimwagia maji ya uvuguvugu na baada ya kumaliza kuoga angalau alikuwa na nguvu hivyo alirudi chumbani na kumkuta Hashim akiwa anaongea na simu kwa lugha ya kifaransa.

    Salma alijipaka mafuta na kuvaa nguo zake na hapo ilikuwa mida ya saa kumi na moja joini. “Mi naondoka nyumbani.”Salma aliongea kwa lugha ya jazba huku akiangalia pembeni.Hashim alimuangalia kwa takribani sekunde tano kisha alimshika mkono Salma na kusema. “Najua umechukia sana kwani ni mara yako ya kwanza ila tambua nakupenda sana na sitokuoacha.”Aliongea huku akiupapasa uso wa mrembo huyo.

    Salma alikaa kimya huku akiwa amekunja sura.Hashim alifungua droo ya kitanda na kuchomoa bulungutu la fedha na kuanza kuhesabu.Alihesabu kama kiasi cha shilingi laki mbili na kumkabidhi kisha alivaa nguo na kutoka naye nje. “Inabidi ujikaze ili watu wasigundue.”Hashim alimsihi Salma.

    Aliliwasha gari lake na kuligeuza kwa ajili ya safari ya kumpeleka Salma nyumbani kwao.Baada ya gari kuwa sawa,Salma aliingia na hapo safari yao ilianza kuitafuta Magomeni.Walitumia takribani dakika therathini kuingia magomeni.

    Hashim alipaki mtaa jirani na akina Salma kisha alimtaka Salma ashuke na kuelekea nyumbani kwao.Waliagana kwa kupigana mabusu na hapo Salma alifungua mlango ili kutoka nje.Akiwa anatokeza nje,alikuta uso kwa uso na mama yake ambaye alikuwa akitokea gengeni.Salma aliinamshwa kichwa chini kwani hakutaka kumuangalia mama.

    Mama yake alikunja sura na bila ya kusema kitu aliendelea na safari yake.Salma aligeuka kumuangalia Hashim aliyekuwa kwenye gari huku akimpungia mkono.Salma alitembea kwa kujikaza kisabuni ili asigundulike kama ameshavunja deki.

    Baada ya kufika nyumbani,alimkuta mama yake akiwa amesimama mlangoni huku sura ikiwa kama karamba chachandu. “Umeaga unaenda shule halafu nakuona uko kwenye magari ya viyoyozi niambie umetoka wapi !?”Mama Salma aliwaka siku hiyo. “Mama kwani si lifti tu?” Salma alianza kujitetea.

    “Si lifti tuuu! Pumbavu unawajua wanaume wewe!?Achome mafuta yake bure kutoka huko mpaka hapa bure bure!?Mama yake alifoka sana siku hiyo.Salma alijitahidi kumuomba radhi na kumbembeleza apunguze sauti yake.

    Salma alipita mlangoni na kuingia ndani huku akimuacha mama yake akiendelea kufoka.Alianza kufanya maandalizi ya jioni kwa kujikaza ili mama yake asigundue kinachoendea.Hakumjibu chochote kwani alimjua mama yake pindi anapokasilika hahitaji useme lolote.

    *******

    Baada ya miezi mitatu kupita,ilikuwa ni wakati wa likizo fupi kwa wanafunzi wote sekondari.Tuntu na Jamse walirejea nyumbani kwa ajili ya kupumzika kidogo adha za mazingira ya kukaa bweni.

    Tuntu alikuwa na furaha ya kurejea nyumbani kutokana na kumbukumbu aliyokuwa nayo kwa Salma.Walipanda gari kutokea kisarawe mpaka Gongo la mboto na hapo walichukua gari la kueleka Makumbusho kutokea Gongo la mboto.Kabla hawajakaa kwenye viti,Tuntu alimwambia Jamse. “Inabidi hii likizo niimalizie kwenu maana sina hamu ya kwenda home.”

    “Sawa wewe tu,ila wazazi wako watajisikia vibaya?”Jamse alimsihi. “Mzee anazingua nataka nimuoneshe kwamba naweza kuishi hata bila yeye.”Tuntu alionesha jeuri yake.Walikaa kwenye viti na hapo baada ya gari kuingiza watu kadhaa,dereva aliondoa gari.Mpaka kufikia mida ya saa kumi jioni walikuwa wamekwisha wasili Tandale kwa akina Jamse.

    Baada ya kufika nyubani,Jamse alimueleza mama yake kama watakuwa pamoja na Jamse kwa muda wa wiki nzima. “Hapa ni nyumbani kwao kwa hiyo ataondoka atakapojisikia.”Mama yake alikuwa anaupenda urafiki wao hivyo waliishi kama ndugu.Jamse ana Tuntu walipata maji ya kuoga na baada ya kumaliza kuoga waliingia chumbani kupanga mambo yao.

    Usiku mida ya saa tatu usiku,Tuntu alichukua simu ya Jamse na kumpigia Salma.Simu iliita na muda kidogo Salma alipokea. “Nani mwenzangu ?”Salma aliuliza baada ya kupokea simu. “Hisia unaongea na nani?” Tuntu aliongea huku akitabasamu. “Ok niambie Tuntu”Salma mara hii hakumwita baby.

    “Nimekumisi sana nahisi kuzimia kesho fanya chini juu tuonane?”Tuntu alianzisha maongezi. “Uko wapi sasa hivi” Salma aliuliza. “Nipo kwa kina Jamse na nitamaliza wiki nzima hapa mpaka narudi.”

    “Kwanini haundi nyumbani?”Salma aliuliza kwa nyodo za mbali na aliongea kama mtu aliyemezeshwa muarubaini. “Nimeamua tu kwasababu mzee anazingua!” Salma aliona Tuntu hana mpya aliamua kukata simu makusudi.Hashimu alikuwa kasha uteka moyo wake kwa asilimia kubwa hivyo Tuntu alikuwa hana jipya.

    Tuntu alihisi muda wa maongezi umeisha ndiyo maana simu ikakata ghafla.Aliangalia salio na kukuta bado ipo ya kutosha.Alimpigia tena na mara hii hakupokea simu.Aliamua kupiga kwa mara ya mwisho na hapo Salma alipokea. “Niambie!”Aliuliza kwa nyodo kidogo. “Hivi Salma sasa hivi umekuaje?Wewe ni wa kuongea na mimi hivyo?”Tuntu aliuliza kwa hasira kidogo.Jamse alikuwa anatikisa kichwa kwa kumsikitikia rafiki yake.

    “Kwani nimekuaje?”Salma aliuliza. “Basi tuachane na hayo,vipi kesho unakuja au hauji?”Tuntu mara hii alisimama kama mwanaume. “Nitakuja.”Salma aliitikia.Wakati huo Salma akiongea na Tuntu,Hashim alikuwa akimtafuta na kukuta akitumika.Baada ya Salma kumaliza kuongea,alimpigia simu kumuuliza kulikoni.

    “Fanya uwezavyo kesho tuonanane kuna sehemu muhimu nahitaji twende.”Hashim aliongea baada ya kupokea simu. “Hapana baby kesho nina kazi nyingi hivyo itakuwa ngumu kutoka.Tufanye siku nyingine mpenzi wangu.”Salma alijitahidi kumbembeleza.

    “Nimesema ni sehemu muhimu sana na sina muda mwingine Zaidi ya kesho.Nataka twende mapema kesho maana kesho kutwa naingia South Afrika kidogo.”Hashim alimsitizia. “Basi nipe muda nitakujibu baada ya dakika tano.”Salma baada ya kuomba fursa hiyo,alimpigia Tuntu.

    “Kesho nimepata dharura kuna shughuli kwa ndugu yetu Tegeta hivyo nitarudi usiku,naomba siku nyingine.”Sauti hiyo ya Salma ilisikika masikioni mwa Tuntu. “Sawa sawa!”Tuntu alikata simu kwani hakuamini maneno ya Salma.Alijifyonya mara mbilimbili kiasi cha kumfanya Jamse aingilie kati. “Ndugu yangu vipi?”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Daah! Salma kabadilika sana,hakuwa na jeuri ya kunipangia mimi!Halafu nasema kuwa kesho kunashughuli,hivi alipokubali kuwa atakuja alikuwa hajui kama kunashuli?”Tuntu aliongea kwa huzuni.

    Jamse alitikisa kichwa kisha alimpapasa rafiki yake begani. “Sikiliza.Najua unasikitika sana Salma kubadilika hivyo ila mimi sishangai na kwa bahati nzuri nimekuwa nikikuambia mara kwa mara kuwa makini.Hizi ni dalili amepata mtu mwingine zaidi yako.”

    “Unamaana sas hivi hanipendi mimi.”Tuntu aliuliza huku akiwa ametumbua macho.

    “Weewe sikiliza! Mwanaume pesa sura tutavumiliana ndiyo habari ya mjini.Akili yako inakutuma kuwa kuna mapenzi ya kweli?Utasubiri sana essay kwenye mtihani wa math.”Jamse aliongea sana siku hiyo.

    Muda wote Tuntu alikuwa kajiinamiamia huku akijifyonya bila ya idadi.Jamse alilala lakini Tuntu hakutembelewa na usingizi hata chembe kwani Salma alikuwa tegemeo la fuaraha yake.

    **********

    Kesho yake Tuntu mida ya saa tisa jioni, alikwenda kuzungukia shughuli zake za vibanda vya kuchezesha Game.Alikuta kazi ikiendelea kama kawada.Alikutana na kijana aliyempa jukumu la kusimamia sehemu zote za biashara. “Yaa bi mkubwa huwa nampelekea mzigo anaweka.”Kijana alijibu baada ya kuulizwa maendeleao ya biashara.

    “Vizuri sana.Vipi kuna changamoto yoyote?” Tuntu aliuliza. “Ilijitokeza kuna pad moja iliharibika ila tuliishughulikia na bi mkubwa.” Waliongea mengi juu ya biasha hiyo.Baada ya kumaliza shughulia za ukaguzi,Tuntu alichukua kiasi kadhaa cha fedha na kuoga. “Ila nakuomba usimwambie bi mkubwa kama nimeshakuja.”Alimwambia kijana huyo kisha aliondoka.

    Kichwa chake siku hiyo hakikuwa sawa kila alipokuwa akimfikilia Salma.Aliamua kuelekea maeneo ya Mlimani City angalau katulize akilia yake kwenye sinema.Baada ya kufika kwenye lango kuu la kuingia ndani ya jengo hilo la Mlimani City,alikutana ana kwa ana na Salma akiwa amemshikilia Hashim mkono wakitokea nje.Tuntu macho yalimchomoka kama taa za Ambulance.

    Salma alijifanya kama hajamuona na kuendelea na safari yake huku akiendelea na mzungumzo.Tuntu alibaki ameduwaa,hajui mbele wapi wala nyuma wapi.Aligeuka kuwaangalia na hapo aliwaona wakiingia kwenye gari la kifahari la Hashim kisha walitimua vumbi na kuondoka.Salma aliangalia kule aliko Tuntu na walikutansha macho ana kwa ana….



    Tuntu Alibaki mdomo wazi.Miguu ilimuisha nguvu huku mwili mzima ukiwa baridi kabisa.Alishidwa kupiga hatua yoyote ya kwenda mbele au kurudi nyuma. “Ni Salma huyu huyu au naota!?”Tuntu alijiuliza mwenyewe.Baada ya muda wa dakika tano,alishtuka kutoka kwenye dibwi hilo la mawazo.

    Kwa unyonge kabisa aliamua kutoka eneo hilo la Mlimani City na kuelekea kituoni kwa ajili ya kupada gari la kwenda Makumbusho.Kila picha ya tukio hilo lilipomjia,alilengwa na machozi.Alijaribu kujikaza kiume lakini haikuwa rahisi kwani donge kubwa lilimjaa moyoni.

    Alishuka maeneo ya Bamaga na hapo alipanda gari ya Kariakoo lililokuwa likipitia Tandale.Baada ya kushuka kituoni Yemen,alielekea moja kwa moja mpaka chumbani kwao na kuanza kuangua kilio.“Kwe…Kwe..Kweeeli..Sal.Salmaa! Hap…hapana ha..haiwezekani.”Alilia sana siku hiyo.Aliona dunia ni chungu kwani upendo aliokuwa nao kwa Salma haukuwa wa kawaida.

    Kila alipokumbuka wakati akijitolea kwa kila kitu kwa ajili ya furaha ya Salma,Tuntu alipiga ngumi ukuta. “Wewe kuna nini thena mbeno nathikia puuu!”Ilikuwa ni sauti ya bibi yake Jamse aliyekuwa akipita kwa nje na kusikia kishindo cha ngumi aliyopiga Tuntu ukutuni.Mama Jamse naye alitia timu kwani kishindo hicho kilisikia mpaka nyumba ya pili.

    Walibisha hodi bila ya kuitikiwa.Baada ya kuona kimya,waliamua kuusukuma mlango na kwa bahati nzuri ulikuwa wazi.Baada ya kuingia,walimkuta Tuntu akiwa amelala chali akiwa amepoteza fahamu huku damu zikimtoka mkononi.Alipasuka mkono kutokana na uzito wa ngumi hiyo.

    “Majirani jamani…!Jamani tusaidieni..!”Mama na bibi Jamse walipiga mayoe yaliyowashtua majirani zao.Wakati huo Jamse alikuwa amekwishawadia kutoka kwenye mizunguko yake aliwakuta wakipiga mayoe.Majirani walikusanyika na hapo walifanya utaratibu wa kumkimbiza Tuntu hospitalini Mwananyamala. Dereva wa bajaji aliwasili haraka na hapo Jamse na mama yake waliingia ndani ya bajaji kumsindikiza Tuntu.

    Alipokelewa na kuingizwa kwenye chumba cha wagonjwa wa darura na hapo alipatiwa matibabu ya haraka ili kuuokoa uhai wake.Baada ya nusu saa mida ya saa moja jioni,Tuntu alipata nafuu na kurejewa na fahamu zake taratibu. “Niko wapi hapa?”Aliuliza huku akijiangalia sehemu mbalimali za mwili wake.Aligundua kuwa mkononi mwake kulikuwa na bandeji.Aliwaangalia wote waliokuwepo na hapo alimgundua Jamse na mama yake.

    “Kwani nimefanyaje?”Tuntu aliuliza.“Pumzika kwanza mambo mengine yatafuata baadaye.”Tuntu alimtuliza rafiki yake.Waliambiwa na daktari wamuache apumzike mpaka kesho ndipo ataruhusiwa kuondoka nyumbani. Jamse alitoka nje kumnunulia chakula na hapo yeye na mama yake walimuacha Tuntu na kurejea numbani.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Baada ya akufika nyumbani mida ya saa mbili usiku,walishauriana wawapigie wazazi wa Tuntu na kwajuza taarifa za mwanao kuumwa. “Kwa kuwa anaendelea vizuri mimi naona haina haja.”Jamse alitoa ushauri wake. “Hapana itakuwa sio jambo la busara kuishi na mtoto wa watu halafu kapatwa na jambo kubwa tukae kimya.”Mama yake alisisitiza.

    “Lakini tusiwapigie usiku huu maana ninavyowajua wazazi wake,hawatolala watakuja usiku huu huu,kwa hiyo tuwapigie kesho asubuhi”Jamse alitoa rai na ilikubalika. Baada ya chakula cha usiku kila mmoja alielekea chumbani kwake kujipumzisha.

    Jamse aliwaza na kuwazua juu ya kipi kilichomfanya rafiki yake kupoteza fahamu na kuumia mkononi. “Au Tuntu amepigana huko kisa Salma?” Alizidi kuchanganya ubongo wake bila ya kupata jibu. Baada ya muda usingizi ulimpitia taratibu na hapo alianza kuitafuta kesho yake.

    Mida ya saa nne asubuhi Tuntu aliruhusiwa kurudi nyumbani.Jamse alienda kumchukua Hospitalini na walirudi kwa bajaji kutokea Mwananyamala mpaka Tandale Yemen.Baada ya kufika,Tuntu alielekea bafuni kuoga.Baada ya kuoga alipata chai na hapo alianza kumueleza rafiki yake mkasa uliomkuta mpaka wakati ule aliojikuta yupo hospitalini bila ya kujua alifikaje.

    “Mimi naamini bado nafasi unayo kwani Salma siyo mwanamke pekee katika hii dunia.Hili ni funzo hata kwa wajukuu zako hivyo mshukuru Mungu,mambo mengine yafuate.”Jamse alijaribu kumtia ushujaa rafiki yake.Walipeana moyo na faraja kwa muda wa lisaa limoja na nusu na baada ya muda,mama Tuntu aliwasili hapo akiwa na gari lake kuja kumchukua mwanaye.

    *****

    Siku zilipita bila ya Salma kumtafuta Tuntu.Tuntu aliamua kukaa kimya kwa kujipa moyo kuwa kutokana na upendo aliokuwa nao Salma,lazima angemtafuta.Alivumilia mpaka bila ya matunda yoyote ikabidi siku moja amtafute mwenyewe. “Namba unayopiga inatumia!”Sauti ilisikika baada ya Tuntu kumpigia.

    Alipiga takribani mara tano anaambiwa inatumiaka. Baada ya muda ujumbe mfupi uliingia. “Niko busy labda unitafute baadaye.” Ulisema ujumbe huo kutoka kwa Salma.Tuntu uchungu ulizidi mara dufu.Alitamani kumsikiliza hata kwa dakika chache ili tu aifurahishe nafsi yake.

    Alipiga tena kwa mara nyingine,lakini cha ajabu aliambiwa kuwa haipatikani.Aliamua kuiweka simu chini na kuendelea na mawazo yake.Fikra zilimpeleka kuanzia siku ya kwanza aliyokutana na Salma,walivyoanza mahusino,alivyojitolea kila kitu,mpaka siku ile anamuona na Hashim na mengine mengi.Nafsi ilijawa na donge zito ambalo lilimfanya atokwe na machozi kila mara.

    Aliona dunia ni chungu.Wanawake wote ukitoa mama yake,kuanzia wakati huo hakuwaamini tena.Afya yake baada ya kupoteza fahamu na kupasuka mkoni iliimarika,lakini tatizo lilijitokeza sehemu moja;Tuntu hakutamani kula chakula chochote.Kila alipojaribu kula,kiliishia kooni.Wazazi wake walihangaika bila ya kujua nini tatizo la mwanao kwani afya yake ilizidi kizorota kila siku.

    “Sasa mwanangu umeshapona kwanini unakataa kula?”Mama Tuntu alimuuliza mwanaye. “Mama chakula hakipiti kabisa,sijisikii kula.”Tuntu aliongea kwa uchungu kabisa. “Basi jitahidi.Kama ugomvi na baba yako sasa hivi umeisha sasa bado unawaza nini?”Mama yake alizidi kumbembeleza. Tuntu alimficha sababu ya yeye kushindwa kula.

    Siku zilizonga mbele na likizo ilikuwa imeisha.Tuntu alirudi shuleni kwao bila ya kuonana na Salma wala kuongea naye.Alijitahidi kuyapoteza mawazo juu ya Salma huku akipata ushauri kutoka kwa rafiki yake kipenzi Jamse.Kadri siku zilivyosonga mbele ndivyo mawazo juu ya Salma yalipotea zaidi.

    Mambo yalizidi kusonga mbele na hapo waliingia kidato cha sita.Tuntu wakati huo alikuwa na maisha yake kama kawaida na alijitahidi kutomtafuta kabisa Salma.Shuleni alikuwa akifanya vizuri huku akiendeleza kipaji chake cha mpira.Siku moja akiwa nyumbani kipindi cha likizo ya mwezi wa tisa,alipokea ujumbe mfupi kutoka kwa moja ya rafiki zake Salma uliompa taarifa kuwa mama yake mzazi na Salma amefariki.

    Tuntu moyo ulimdunda kiasi cha kuhisi kupasuka.Kwa kuwa bado ile athari ya mapenzi kwa Salma iolikuwepo moyoni mwake,aliamua kumpigia Salma lakini aliambiwa haipatikani.Aliamua kumpigia simu Jamse na kumpa taarifa hiyo.Walikubaliana wakutane nyumbani kwa akina Salma ili kushirikiana katika harakati za mazishi. Ilikuwa mida ya saa nne asubuhi na mazishi yalipangwa kufanyika mida ya saa kumi jioni.

    Tuntu hakuwa na muda wa kupoteza bali alijiandaa harakaharaka na kueleka msibani.Aliwakuta watu wengi sana wakiwa wamekwisha wasili.Akina mama,ndugu na jamaa walikuwa wakiomboleza kwa dua mbalimbali.Tuntu na Jamse walijichaganya kwenye kundi la wanaume waliokuwa wakishona sanda.Tuntu alimuona baba yake Salma akiwa amejiinamia kwa uchungu;alimfuata na kumpa pole.

    Kwa kuwa baba Salma alikuwa anamfahamu Tuntu baaada ya kukutana kwenye mahafali ya Salma,haikuwa vigumu kumkumbuka. “Hivi sababu nini ya kifo chake?”Tuntu aliuliza. “Alikuwa anasumbuliwa na mapafu kutokana na kazi ngumu alizokuwa akizifanya.”Baba Salma alimjibu Tuntu baada ya kuulizwa nini chanzo cha Mama Salma kufariki.

    Taratibu za mazishi zilifanyika na hapo mida ya saa tisa na nusu jioni,ustadhi Ngolingo aloongoza swala ya maiti kisha safari ya kuelekea makabulini ilianza.Miongoni mwa watu waliokuwemo kwenye msafara wa kuisindikiza maiti,alikuwa ni Hashim.Tuntu baada ya kumuona,alivuta taswira na hapo alimkumbuka siku ile aliyomuona na Salma maeneo ya Mlimani City.

    Mazishi yalimalizika mida ya saa kumi na takribani dakika arubaini kisha walirudi nyumbani kuendelea na mambo mengine.Walipofika nyumbani kwa akina salma,Jirani aliyechaguliwa kuzungumza kwa ajili ya familiya alisimama na kutoa shukrani kwa kila aliyehudhuria mazishi hayo.

    Baada ya shukrani hizo,watu walianza kutawanyika kurejea majumbani kwao na hapo Tuntu na Jamse walimuaga baba yake Salma kisha waliondoka…





    Baada ya mazishi ya mama yake Salma,maisha yalizidi kusonga mbele.Mawasiliano kati ya Tuntu na Salma yalizidi kuyoyoma.Walimaliza kidato cha sita na waliendelea kusubiri majibu ya kuelekea chuo kikuu.

    Katika muda huo wakisubiri majibu,Tuntu aliamua kwenda kuishi kwa akina Jamse.Akiwa kwa akina Jamse,muda mwingi aliutumia kujisomea vitabu mbalimbali vya simulizi,kucheza mpira pamoja na kusimamia biashara zake.Tuntu alitokea kuwachukia wasicha wote katika suala la mapenzi.Aliamini kuwa kila msichana ni muongo,mnafiki na msaliti hivyo aliapa kutopenda tena.

    Siku moja mida ya jioni saa kumi na mbili kama ilivyokuwa ada yake siku ya jumamosi,alichukua kitabu chake cha simulizi ya mapenzi na kukaa kwenye kibalaza cha mbele ya nyumba ya akina Jamse.Akiwa anaendelea kusoma hadithi hiyo tamu na yenye kusisimua,alisikia sauti ya msichana ikimsalimia, “Mambo?”.Alikifunga kitabu na kumungalia aliyemsalimia.

    “Poa nikusaidie nini?”Tuntu aliuliza huku akiwa mkavu bila ya tabasamu lolote. “Jamani hata kunikaribisha?” Binti aliongea kwa utani huku akiwa amechanua tabasamu lote. “Nikukaribishe vipi wakati umeshakaribia?”Tuntu alizidi kumjibu kwa lugha ngumu. Msichana huyo alikaa pembeni ya Tuntu kisha alianza kujitambulisha.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Naitwa Bite,nasoma kidato cha nne shule ya sekondari Turiani ya magomeni.Huwa nakuona kila siku unakaa hapa nimeamua nije kujumuika nawe japo kwa dakika chache.”

    “Umemaliza kuongea?” Tuntu aliuliza kwa sauti ya ukali kidogo. “Ndiyo kwani vipi haujaelewa?”Binti aliuliza. Tuntu alimuangalia kwa muda wa sekunde kama arobaini bila ya kupepesa macho kisha alimuoneshea mkono ishara kumuamuru aondoke.Binti alihisi utani. Aliuliza kulikoni.Tuntu alimuuliza,“Inamana hujaelewa !?”

    “Nimefanya kosa gani labda nijirekebishe?” Binti aliuliza. “Wewe nahisi tunapishana Kiswahili sasa ngoja nikuoneshe kwa vitendo.” Tuntu alichukua kiti chake na kuondoka kuelekea ndani bila ya kumuaga msichana huyo. Msichana alibaki mdomo wazi,asiamini kilichotokea.Alisimama na kujiangalia huku na kule katika mwili wake lakini hakugundua kasoro yake. “Kwani mimi nina nini?Makubwa!” Alijikung’uta na kuondoka zake.

    Jioni Tuntu akiwa na Jamse aliamua kumtuma ujumbe. “Oyaah! Kuna kicheche mmoja hapa mtaani anashoboka sana mwambie ajiangalie sana.”Tuntu aliongea kwa hasira. “Unamzungumzia nani mbona sikuelewi? Jamse aliuliza kutaka kujua kulikoni. Tuntu alimuelezea maumbile na sifa za msichana aliyekuja jioni kuomba wabadilishane mawazo.

    “Anhaa! Unamzungumzia Bite? Tuntu unazingua mbona mtoto mkali tu inakuwaje umchenjia hivyo?”Jamse alimsihi rafiki yake. “Halafu unajua umekuwa siyo mwema kwa watoto wa kike,badilika rafiki yangu.Haikuwa na maana kumfanyia hivyo Bite maana hajawahi kukufanya baya lolote.”

    “Nimeshakutuma ukamwambie aache kunishobokea hivyo kazi ni kwako.Nikimfanyia mbaya usije kunilaumu.”Tuntu alifunga mjadala kisha aliendelea na mambo yake kama kawaida.

    Kesho yake asubuhi mida ya saa nne,Bite alikutana na Jamse,alimshirikisha juu ya suala lililotokea jana na kumuomba amshauri rafiki yake asiwe hivyo. “Mwambie kabisa mimi nilitaka awe rafiki yangu tu wa kawaida hata sina mawazo hayo.” Bite alisisitiza. “Nitaufikisha ujumbe wako na nitajaribu kumshawishi atanielewa tu.” Waliongea mengi kisha waliagana.

    Tuntu wakati huo alikuwa kwenye harakati zake za kusimamia vipanda vyake vya kuchezesha gemu.Alikaa huko mpaka mida ya saa kumi jioni ambapo alirudi nyumbani kwa akina Jamse.Akiwa anakaribia kuingia ndani ya geti la akina Jamse,alisikia sauti ya msichana ikimwita. “Tuntu Mambo?”

    Aligeuka na kumuangalia aliyemwita na kungundua alikuwa ni Bite. Alishusha pumzi kwa nguvu kishha aliingia ndani bila ya kujibu chochote. Bite alijisikia vibaya kiasi cha kujiona choo.Alikaa kwa takribani dakika mbili bila ya kujua afanyeje kisha aliamua kuondoka.

    Muda ulizidi kukimbia kila siku kiasi cha siku ya matokeo ya kidato cha sita kuwadia. Jamse alifaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza huku Jamse naye akiwa amepata daraja hilo hilo.Salma yeye alifaulu kwa kwango cha daraja la pili.Walimshukuru Mungu na kujipanga kwa ajili ya kusubiri kupangiwa vyuo vya kwenda kuchukua taaluma zao.

    Baada ya miezi kadhaa,majibu ya vyuo nayo yalitoka ambapo Tuntu alichaguliwa katika chuo kikuu kishiriki cha elimu cha Dar es salaam (DUCE),Jamse alichaguliwa Chuo kikuu cha Mzumbe na Salma alichaguliwa kujiunga na chuo cha IFM akisomea masuala ya uhasibu kama ilivyokuwa ndoto yake.

    Baada ya siku moja ya matokeo kutoka,kumbukumbu juu ya Salma zilimtawala Tuntu.Alishindwa kujizuia na hapo aliamua kumpigia simu.Simu iliita bila ya kupokelewa Zaidi ya mara nne. Baada ya muda mfupi ujumbe uliingia kwenye simu ya Tuntu ukisema “Si hitaji unitafute.”Tuntu alipiga tena na mara hii aliambiwa haipatikani. Muda mfupi aliamua kumpigia rafiki yake Salma alijulikana kwa jina la Suzan ambaye alimpa habari kuwa Salma alichaguliwa kujiunga na IFM.

    Tuntu alijilaumu kwanini alimpigia simu Salma.Aijiona kuwa ni dhaifu kwani aliapa kutomtafuta tena katika maisha yake lakini mapenzi ni uchizi.Alipuziz na kuendelea kufanya mambo yake hususani kujisomea simulizi mbalimbali.Alijitahidi kuondoa mawazo na kujipa moyo.

    *******

    Siku za kujiunga na vyuo vikuu ziliwadia.Tuntu na Jamse walifanya maandalizi mapema kiasi cha siku ilipofika hawakuwa na tabu Zaidi ya kukamilisha yale yote yaliyohitajika.Baada ya kuripoti chuoni,Tuntu alikuwa miongoni mwa waliokosa vyumba chuoni hapo hivyo aliamua kupanga chumba maeneo ya Kurasini.Japo mzee wake aliahidi kumsaidia katika masomo yake,Tuntu hakuegemea sana msaada huo bali alipambana kiume kwa kuzisimamia shughuli zake zilizomuingizia kipato.

    Tuntu alibadilisha mfumo wake mzima wa maisha.Alikuwa mpole,mkarimu pamoja rafiki wa kila mmoja.Japo alikuwa hana imani na wanawake,lakini hakuonesha hisia hiyo bali alishirikiana na kila mmoja.Baada ya mwezi mmoja wa kujiunga na chuo hicho,Tuntu alijizolea umarufu chuo kizima.

    Siku moja akiwa amejipumzisha chumbani kwake,simu yake iliita.Alipoangalia alikuwa ni Suzan kampigia. “Tuntu naomba kesho jioni tuonane maeneo ya Tandika sokoni.”Suzan aliongea baada ya Tuntu kupokea simu.Tuntu alikubali kuonana naye na ilipofika kesho yake Tuntu alielekea maeneo ya Tandika sokoni karibu na kituo cha magari ya kuelekea Kariakoo.

    Walielewana wakutane kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo hilo. Baada ya Tuntu kuwasili ndani ya mgahawa huo,hakuamini macho yake.Alikutana ana kwa ana na macho ya Salma aliyekuwa amekaa pembeni ya Suzan wakipata vinywaji. Wote mioyo iliwadunda kwa mshtuko kwani hawakutegemea kuonana kwa wakati huo.

    Tuntu alikaa kwenye kiti kilicokuwa wazi,alisalimia kisha alikaa kimya kusikiliza kipi kinaendelea.Suzan aliagiza kinywaji kwa ajili ya Ntuntu ambapo muhudumu alimletea soda ya Novida ambayo Tuntu alikuwa akiipendelea.Baada ya kufunguliwa,Tuntu alikunywa funda moja na kutulia kuashiria yupo tayari kusikiliza kilichokuwa kimewaita hapo.

    “Jamani kwanza niwaombe radhi kwa kuwakutaisha wakati huu.Lakini kuna jambo la muhimu naomba tuongee kwa pamoja.Nyie ni rafiki zangu wa muda mrefu sana na siyo rafiki tu bali ndugu zangu.Ila kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu naona mahusiano yenu hayaeleweki,naomba mnieleze kulikoni?”Suzan alifungua kikao.

    “Ni jambo zuri.Ila naomba Salma aanze kuongea maana yeye ndiyo chanzo cha uhusiano wetu kuingia mashakani.”Tuntu alichangia mada. “Suzan samahani sana leo sijajipanga kwa ajili ya kuongelea mambo haya hivyo naomba kama hakuna jambo jingine niondoke tu.” Salma aliongea kwa hasira.

    “Salma usiseme hivyo kwani naamini hata kama tutakuita siku nyingine kwa jambo hili hautakuja.Ni bora tulimalize leoleo.Salma kumbuka kuwa Tuntu alikukuta ukiwa hauna furaha akakufariji,ulikuwa hauna ada akakulipia na amekusaidia kwa hali na mali.Hivi kweli leo umegeuka hivyo?”Suzan aliongea kwa uchungu.

    “Kwa hiyo mmenita ili kunisimanga kwa hayo?Basi nipeni siku tatu nitawarudishia hela zenu.”Salma aliongea huku akiwa amenuna.Tuntu alimuangalia bila ya kummaliza.Uchungu ulimtawala taratibu kiasi cha machozi kumtiririka taratibu.Alijikaza kiume na kuongea, “Salma,nilifanya yote hayo kwa sababu ya upendo nilionao juu yako,kwa mambo niliyoyatenda kwa ajili yako,sioni thamani ya kuyalipa.Asante sana Salma.”Tuntu aliinuka na kuondoka bila hata ya kuaga….

    Maisha ya mapenzi kwa upande wa Tuntu yalimuendea kombo.Alihisi dunia imepinduka juu chini. “Usifanye hivyo Tuntu,wewe ni mwanaume na tambua kuwa maisha bado yanaendelea.Ukijitoa uhai wako unadhani utafaidi nini? Tulia wewe ni kidume!” Rafiki yake Tuntu aliyeitwa Ngobile alimpa ushauri baada ya Tuntu kumsihirisha suala hilo na kumuambia kuwa alihitaji kujinyonga.

    “Hivi Ngobile kwa fedheha yote hiyo unahisi mimi ninathamani ya kuishi duniani? Acha tu nikapumzike!Niache tuuu….Aaaa..ha…ha..!!” Tuntu aliongea huku machozi yakimbubujika. Ngobile alijitahidi kumsihi na kumpa hoja mbalimbali za kumbadilisha fikra zake za kutaka kujinyonga.Tuntu aliamua kukubaliana naye japo kwa wakati huo ilionekana amekubali kishingo upande.

    Siku kadhaa zilipita.Tuntu taratibu alianza kupoteza uchungu na nia mbaya aliyokuwa nayo ya kutaka kujidhurumu nafsi yake.Hili lilifanikiwa kutokana na ushauri pamoja na ukaribu kutoka kwa rafiki zake waliokuwa naye bega kwa baga kwa kipindi chote hicho cha misukosuko.

    Miezi ilisonga mbele mpaka muda wa semister ya kwanza ulimalizika.Ilipofika mwezi wa nane,Tuntu alipokea pigo kubwa zaidi ya lile la mwanzo. “Unasemaa…! Hapana haiwezekani kufikia huko..!”Tuntu alipokea taarifa za Salma kutolewa mahali na Hashim. “Ila usijali vuta subira naamini utapata akupendaye.Nakuomba uwe na moyo wa kiume.”Suzan alimsihi Tuntu baada ya kumpa taarifa hiyo ya Salma kutolewa mahali.

    “Salma..Salma..Salmaaa…! Kwanini umeamua kunifanyia unyama huu ni kipi nimekukosea Salmaaaa!”Tuntu alidondoka chini na kupoteza fahamu.Wakati huo alikuwa peke yake chumbani. Kutokana na kishindo kizito cha kudondoka chini.jirani yake alisikia na kuhisi jambo baya litakuwa limetokea chumbani kwa Tuntu.Alimwita tuntu Zaidi ya mara tatu cha ajabu hakuitikiwa.Aliita tena Zaidi ya mara tano lakini pia hakuitikiwa.

    Aliamua kusukuma mlango taratibu ilikujua kulikoni.Akiwa anafungua taratibu ili achungulie,alisikia sauti ya mwanaume ikisema, ‘Hapo hapo ! Kumbe nilikuwa naambiwa kuwa unanisaliti leo najionea kwa macho yangu mwenyewe.” Alipogeuka nyuma alimuona mume wake. “Mume wangu mambo gani unazungumza?”Alishangazwa na kauli ya mumewe.

    Huko unaelekea wapi kwenye chumba cha mwanaume!?Niambie..!Niambie..!”Alianza kumuangushia kipigo bila hata ya kumsikiliza. “Kumbe mimi nahangaika kutafuata riziki kuna bwege anabaki anakuchezea?Sasa leo utajuta kwanini nimekufumania!.”Alizidi kumshushia kipigo. “Mume wangu subiri kwanza nikuambie kilichotokea” Jamaa hakuta kusikiliza bali alizidi kumshushia ngumi,mabuti,makofi na vichwa mpaka akazimia.

    Majirani kama ilivyokawaida ya uswahilini walikusanyika kushuhudia kulikoni.Baadhi ya majirani waliokuwepo walikuja kugombelezea lakini jamaa aliwatimua na kuhitaji wamuache amuoneshe adabu. Wakati wote huo hakuna aliyejua kama Tuntu alikuwa ndani amepoteza fahamu.Kila mmoja alikuwa akizungumza la kwake,wengine walimlaumu mama Laija huku wengine wakimlaumu baba Laija kwa kumpiga kipig hicho cha mbwa.

    Baba Laija alichukua simu yake na kumpigia dereva wa bajaji aje kumchukua mama Laija na kumkimbiza hospitali. “Kama anadai kuwa kamfumania huyo mwanaume na yeye siatolewe ndani achezee kipigo? Jiarani mmoja alitoa ushauri.Watu wote walimuunga mkono na kupiga mayoe “Ndiyoo…! Atolewe huyooo..Apigweee…!Mtoeee..”basi kelele ilikuwa mtindo mmoja.

    Baba mwenye nyumba aliingia nyumbani kwake na kukuta kundi hilo la watu. Baada ya kuuliza kulikoni,watu walimueleza kilichotokea mpaka wao kukusanyika hapo na kumtaka aingie chumbani kwa kijana kwa ajili ya kumtoa nje.Mzee Komokomo aliingia chumbani kwa Tuntu huku akiwa na tahadhali kidogo.Baada ya kuingia alimkuta Tuntu akiwa chini huku damu ikimtoka puani.Alitoka nje na kuwapa habari watu wote waliokuwepo na kuwaomba wamsaidie kumnyanyua na kumuweka nje ili akimbizwe hospitali.

    Bajaji mbili ziliingia na wote walibebwa haraka na kukimbizwa hospitali ya Temeke.Baada ya kuona hali aliyokuwa nayo Tuntu,baba Laija alianza kufungua fikra zake kuwa jambo alilolifanya halikuwa sawa. “Baba Laija umempigia bure mkeo,mkeo alikuwa anaenda kumsaidia kijana na siyo jambo jingine,Umeona?”Mzee Komokomo aliongea kwa huzuni. “Mzee mimi nilipata hasira sana maana kuna maneno niliambiwa na jirani zangu kuwa mke wangu anachepuka ndiyo maana nilipomkuta anafungua mlango nikajua anaingia kwa huyo kijana.”Baba Laija alijaribu kujitetea.

    Baada ya kuingia kwenye geti la hospitali,waliingizwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi ili kupatiwa huduma ya haraka.Baada ya kupatiwa huduma,Tuntu fahamu zilimjia.Aligeuka huku na kule bila ya kujua alikuwa wapi kwa wakati huo. Baada ya muda mfupi aliingia muuguzi kwa ajili ya kumjulia hali yake.

    “Hapa ni hospitali ya Temeke,Unaendeleaje?”Muuguzi alimjibu baada ya Tuntu kuuliza alikuwa eneo gani hapo ambapo alimuuliza hali yake inaendeleaje.Tuntu hakujibu chochote Zaidi ya kuangalia huku na kule.Baada ya masaa takribani matatu,rafiki zake waliwasili hospitalini baada ya kupigiwa simu na mzee Komokomo.Walikuwa takribani watatu akiwemo Suzan maana mzee aliwapigia wale waliokuta wakiwasiliana mara kwa mara na Tuntu.

    “Ndugu yangu nimeshakuambia thamani yako ni kubwa kuliko unavyofikiria,kwanini salma unamg’ang’ania mpaka anahatarisha miasha yako?Achana naye ndugu yangu”Ngobile aliongea kwa uchungu. “Tuntu Salma ameshaamua kwa moyo mmoja kuolewa na yule jaribu kumsahau utapata anayekupenda kwa dhati.”Suzan naye alisisitiza.

    “Siyo kama siwezi kuachanana naye,ila nafsi yangu inajuta kwanini niliamua kumuweka karibu Salma.Inaniuma sana muda wangu nilioupoteza nikiamini ninawekeza kwa mke wangu wa baadaye!”Tuntu aliangua kilio.Rafiki zake walimsihi na kumpa moyo ili aondokane na kipindi kigumu kilichokuwa kikimkabili.

    Baaada ya muda rafiki zake waliondoka kutpkana na muda wa kuwaona wagonjwa kuisha.Tuntu aliamuliwa na Daktari apate muda wa kupumzika kwanza halafu kesho yake ataruhusiwa kurudi nyumbani.Kabla ya kuondoka,rafiki zake walimnunulia chakula pamoja na kulipia gharama za matibabu. “Msiwambie wazazi wangu juu ya hili tukio.”Tuntu aliwasisitizia rafiki zake wasiwambie wazazi wake kwani angeliwaweka katika wakati mgumu.

    Kesho yake mida ya saa nne asubuhi aliruhisiwa rasmi kurudi nyumbani kwao.Ngobile ndiyo aliyechukua jukumu la kumfuata hospitalini na kurudi naye nyumbani kwake maeneo ya Kurasini.Baada ya kufika nyumbani,Tuntu alishangaa kukuta mama Laija akiwa na bandeji baadhi ya sehemu za uso huku akiwa amezungukwa na baadhi ya majirani,mumewe pamoja na baba mwenye nyumba.Alisalimia na kisha alielekea chumbani kwake.

    “Kijana tafadhali tunakuomba kidogo hapa tunamaongezi machache.”Mzee Komokomo alimwita Tuntu.Baada ya muda mfupi Tuntu alijumuika nao. “Baba Laija uwanja ni wako,eleza kila kitu mpaka kufikia wakati huu.Kisha uombe radhi.”Baba mwenye nyumba alifungua kikao hicho cha muda.

    Baba Laija alieleza mkasa mzima na jinsi alivyanza kumuhisia vibaya mkewe.Kutokana na uchungu aliokuwa nao,aliamua kumtaja mfitinishaji ambaye ni mama mmoja jirani yao aliyempa habari za uongo kuwa mama Laija alikuwa na mahusiano na Tuntu kutokana na ukaribu waliokuwa nao.Mwisho alimuomba radhi Tuntu kwa kumuabisha mbele za watu. “Ndugu yangu haujui kilichotokea jana ila naomba radhi kwa kukuvunjia heshima mtaani.”

    “Kwanza muombe radhi mkewe maana ndiyo umemuabisha kwa kumuona ni muhuni,mimi sihusiki na hayo wala sina wazo lolote.”Tuntu alijibu baada ya Baba Laija kumaliza kuongea.

    “Kwa hiyo wewe roho yako iko peee?” Mzee Mokomoko alimuuliza Tuntu.Tuntu alikubali kuwa hakuwa na kinyongo chochote.Mzee alimuuliza mara mbilimbili ila Tuntu aliwahakikishia kuwa hakuwa na kinyongo.Mama Laija alipewa fursa ya kuzungumza baada ya mumewe kumuomba radhi.

    “Mimi sina cha kuongea Zaidi ya kuomba baba Laija anipe taraka maana siwezi kuishi na mwanaume ambaye haniamini ipo siku ataniua.Siyo mara ya kwanza kunipiga kiasi hiki.Naomba taraka yangu!”Mama Laija aliongea kwa hasira huku machozi yakimbubujika.

    “Mke wangu nimeshakuomba msamaha,bado tu hujanielewa?Nisamehe mke wangu.”Baba Laija alibembeleza sana. Tuntu aliona wanamuingizia giza aliinuka na kuondoka zake.Alifika na kujilaza kitandani kwa ajili ya kupumzika.Alimuacha Ngobile akiendelea na kutayarisha chakula cha mchana.

    *******

    Siku zilisonga mbele kiasi cha Tuntu kusahau juu ya suala la mahusiano yake na Salma.Mpaka kufikia mwaka wa pili akiwa chuoni namba ya Salma alikuwa amekwisha ifuta.Alijitahidi lijishughulisha na mambo yake kiasi cha kumsahau kabisa Salma.Kwa upande wa Salma naye alikuwa na mambo yake kama kawaida. Mapenzi kati yake na Hashim yalikuwa mubashara Zaidi.Walipanga waoane mnamo mwezi wa sita ndani ya mwaka huo.

    Tuntu hakujua kilichokuwa kikiendelea.Hakuna aliyempa siri hiyo kwani hata Suzan hakusema chochote kwa ajili ya usalama wa maisha ya Tuntu.Baada ya ndoa kufungwa mwezi wa sita Suzan aliamua kumpigia simu Tuntu na kumuomba wakutane sehemu kwa ajili ya maongezi.Walikutana nyumbani kwa Tuntu Kurasini.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Unasemaaa…!! Suzan niambie kuwa unanidanganya siyo kweli!”Tuntu aliumia sana. Taarifa aliyoipata ilimpa mshituko mkubwa.Suzan alimpa moyo na kumnasihi awe na subira kwa wakati huo.

    Tuntu alilia sana.Alitamani dunia ipasuke aingie ndani lakini haikuwezena.Aliongea maneo mazinto sana kiasi cha kumtisha Suzan….



    “Sito kaa hata siku moja nimsamehe Salma.Nitamfanyia jambo baya hatokuja kusahau katika maisha yake.”Tuntu aliongea kwa hamaki. Suzan alibaki mdomo wazi asijue kipi haswa Tuntu alimaanisha. “Tuntu usifikie uamuzi wa kufanya mauaji.Waache waendelee na mambo yao nawe utapata wako.”Salma alijaribu kumsihi.

    Ilichukua muda kidogo kwa Tuntu kutuliza jazba zake.Chumba kilikuwa cha joto kwa upande wa Tuntu.Alimuomba Suzan amuache apumzike kwani akili ilikuwa haifanyi kazi sawasawa.Baada ya Suzan kuondoka Tuntu alijilaza kitandani lakini usingizi haukuja hata chembe.Aliikumbuka siku ya kwanza alipoonana na Salma,tabasamu lake na ukaribu waliokuwa nao kipindi chote cha nyuma.

    Alitafakari ni wapi alipokosea mpaka Salma akapoteza mapenzi aliyokuwa nayo juu yake.Alijiuliza huenda ni kwasababu hakufanya naye mapenzi hata siku moja kwa kujipa moyo kuwa anasuburi mpaka atakapomuoa.“Kweli ngoja ngoja huumiza matumbo.Ningejua ningemaliza mapema tu.”Tuntu alijilaumu sana kwa kutommaliza mapema Salma.

    Kwa upande wa Salma mapenzi kati yake na Hashim yalikuwa Mubashara. Walifurahia kila dakika ya maisha yao baada ya ndoa.Walipanga mibango mbalimbali juu ya familiya yao huku wakiweka ndoto kubwa kwa watoto wao. “Baby nataka tuzae mtoto wa kiume,au unasemaje”Hashim alimuuliza mkewe. “Sawa baby ila mpaka nimalize chuo” Salma aliongea kwa kujidekeza. “Kwani hauwezi kusoma hali ya kuwa una mtoto?Acha kujidekeza baby.”Waliongea mengi katika mipango yao.

    Wakiwa katika majadiliano yao,mara ukimya ulitawala huku kila mmoja akimungalia mwenzake.Salma macho yalikuwa yamelegea huku akimpapasa mumewe huku na kule.Mumewe naye hakufanya ajizi bali aliamua kutimiza ule msemo kuwa mwenye macho haambiwi tazama.Alimchezea sehemu mbalimbali za mwili kiasi cha kumfanya Salma asafiri kutoka chumbani mle na kuelekea visiwa vya Komoro.

    Waliburudika kwa kufurahia tendo la ndoa kwa halali kuliko zamani walipokuwa wakichepuka.Baada ya kumaliza burudani yao,walielekea bafuni kuoga.Waliingia wote bafuni na kuogeshana.Kwa hakika ndoa yao ilikuwa na raha za kila aina.Walikula bata kiasi cha kuku kuona wivu.Kila mmoja alikuwa na hamu na mwenzake kila muda kutotamani waachane.

    Kutokana na mapenzi aliyokuwa nayo,Hashim aliwanunulia nyumba ndugu zake Salma ambapo waliishi na baba yao aliyeoa mke mwengine baada ya mama Salma kufariki.Waliishi kwa raha mustarehe huku wakijivunia kupata mtoto wa kike aliyewawezesha kupata stara hiyo ya nyumba.Hashim hakuishia hapo bali alimpa mtaji baba yake Salma wa kuuza vifaa vya ujenzi ili iwasaidie katika matumizi yao mbalimbali.

    Kwa wakati huo maisha yalisonga mbele bila ya matatizo wala misukosuko yeyote. Baada ya miezi sita ya ndoa yao,siku moja mambo yalianza kubadilika ghafla.Ile furaha ya kuitana majina ya kimahaba iliyeyuka kama vumbi kwenye upepo.Chumba walikiona kichungu,usiku ulikuwa mrefu siku hiyo.Mdudu mtu aliingia kwenye mahusiano yao.

    Hashim alichanganyikiwa siku hiyo.Ghafla jogoo alikataa kupanda mtungi.Alitumia kila mbinu kumuamsha lakini haikuwezekana.Salma alimshika na kumchezea chezea kila sehemu mpaka kwenye goroli za chini,lakini babu aligoma.Hapo ndipo ugomvi ukaanzia kwani Salma alikuwa na hamu kubwa sana siku hiyo.Alivimbisha midomo kwa hasira na kugeuka upande wa pili.

    “Mbona mwanzo sikuwa hivi mke wangu.Kuna jambo limesababisha” Hashim alijiribu kujitetea. “Jambo gani?Kwa hiyo mimi nivumilie wakati kiu imenishika?”Salma alifoka kwa hasira. “Mke wangu umesahau kuwa jana tu tumetoka kustarehe vizuri tu iweje leo uanze kunitupia lawama?Hii ni kwasababu ya mchoko naomba univumilie mpaka kesho” Hashim alijaribu kumbembeleza.

    “’Jaribu kuangalia x angalau utapata hisia?”Salma alishauri kwani hamu ilikuwa imembana.Sehemu zake za siri zilikuwa zimeumka.Bi kidude alihitaji mdundo aanze kucheza ngoma ila mpigaji siku hiyo alikuwa kanywa pombe yuko hoi. “Mke wangu hiyo siyo sababu hapa inabidi tuvute subira tuone kesho itakuwaje.”Hashim hakukubaliana na ushauri wa mkewe.

    Mkewe alimshawishi mpaka akakubali kucukua simu yake na kuingi mtandaoni kutafuta video ya X kuamsha hisia zake.Aliangalia kwa takribani dakika tano lakini haikuwezeka babu hata kushtuka.Hashim alichanganyikiwa,alianza kujiuliza maswali mia na uchafu huku akimuangalia mkewe ambaye wakati huo alikuwa kauweka mdomo mbele kama karamba ndimu.

    “Inamaana mimi siyo mwanaume tena..?Hapana simini hilo…..!Mbona jana nilirudi nimechoka lakini niliweza kumuhudumia..? Mhh! Kuna jambo hapo.”Katika bahari ya mawazo Hashim alimuangalia mkewe ambaye alikuwa amegeukia upande wa pili huku sura kaikunja.Alimkumbatia lakini Salma aliutoa mkono wa mumewe na kuurusha pembeni.

    Hashim hakutaka kumbughudhi siku hiyo.Aligeukia upande mwengine na kuendelea kupanga na kupangua.Kwa upande wa Salma alijua siku hiyo mumewe alipita kwa mchepuko hivyo alimalizia hamu zake huko.Mawazo yalimpeleka mbali kiasi cha kuanza kumshuku mumewe kuwa kaanza kumsaliti.

    Kesho yake ilikuwa siku ya jumatano.Mida ya asubuhi waliamka na kujianda kwa ajili kuianza siku yao.Baada ya kupiga mswaki,Salma alimkumbatia mumewe na kuanza kumpapasa.Mumewe naye akaanza kumtomasa huku na kule kwa muda wa dakika moja lakini maajabu babu hakushtuka hata kidogo.Ilipita dakika tano hakuna chochote.

    Salma naye alishtuka kwani haikuwa kawaida.Alimpapasa sehemu za babu anapokaa alikuta babu kajikunyata tu.Alishusha pumzi kwa nguvu na kukaa chini huku akiwa kajishika kichwa. “Mke wangu naomba unipe muda nikirudi kutoka kazini tutalizungumza kwa kina.”Hashim alijaribu kumpa moyo mkewe.Salma hakusema chochote Zaidi ya kujiinamia tu.Hashim alimfuata mkewe na kumbusu usoni kisha alielekea bafuni kuoga.

    Salma aliinuka na kulekea chumbani kisha alijilaza kitandani na kuanza kuangua kilio cha chinichini.Hashim baada ya kutoka bafuni alimkuta mkewe akiwa kitandani. “Mke wangu najua unajisikia vibaya sana ila naomba uwe na subira mke wangu.”Aliongea huku akimpapasa kichwani mpaka mabegani. “Mume wangu kwanini ghafla hivi kuna nini?”Salma aliongea huku akivuta kamasi.

    “Ndiyo maana nikakuomba uwe na subira baadaye nikirudi tutalijadili hili kwa undani zaidi.Sina nia mbaya wala usichukie ni hali ambayo inaweza kumtokea yeyote ila inategemea vipi utalipokea.Nakupenda mke wangu.”Alimbusu kisha aliinuka na kwenda kuvaa nguo.Alimuaga mkewe na kuondoka kuelekea kazini.

    Baada ya Hashim kuondoka Salma alichukua simu yake na kumpigia simu rafiki yake Suzan na kumuompa aje nyumbani kwake haraka. “Nakuomba uje shoga yangu kuna jambo linanisumbua sana.”Salma alisisitiza.Baada ya kukubaliana na rafiki yake,alikata simu na kujilaza kitandani na kuendelea kuwaza na kuwazua.Hakuwa na hamu ya chakula hivyo hakuandaa chai siku hiyo wala hakuwa na nia ya kwenda chuoni siku hiyo.

    Baada ya Suzan kufika alimkuta Salma akiwa sebuleni.Baada ya kusalimiana,Suzan alianza kumpa habari rafiki yake juu ya jambo lililowatokea.Alimwita kwa ajili ya kumtaka ushairi wa jinsi ya kulikabili jambo hili.

    “Mhhh..! Shosti kwanza ni mtihani mkubwa na ni tatizo ambalo linahitaji subira ya hali ya juu.Kwanza mshauri muende hospitali ili muangalie nini sababu.”Suzan alimaliza kuongea kisha alimuangalia rafiki yake ambaye alikuwa kamkodolea macho.Alimshauri aendelee kumuonesha upendo kama ilivyokuwa zamani na wala asimfokee na kumtukana. “Yaani shosti ukifanya hivyo anaweza kujinyonga kwa uchungu.Hilo ni tatizo la muda litaisha tu.” Walikubaliana na hapo Suzan alichukua jukumu la kuandaa chakula cha mchana.Mida ya saa tisa jioni baada ya kumaliza chakula cha mchana Suzan aliaga na kuondoka.

    Jioni Hashim baada ya kutoka kazini alipita kwenye moja ya migahawa mjini inayouza supu ya pweza.Alipata bakuli mbili maridhawa za supu ya pweza kisha aliinuka na kurejea nyumbani kwake.Baada ya kufika nyumbani alimkuta mkewe akiwa sebuleni akingalia Tv.Mkewe aliinuka na kumpokea kwa furaha kama ilivyokuwa kaida yake.Alimpokea koti na kumsindikiza mpaka chumbani.

    Baada ya kumaliza kuoga,aliaandaa chakula cha usiku mezani na kumkaribisha mumewe.Walikula na kunywa kwa furaha huku wakitaniana kama ilivyokuwa kawaida yao. “Baby vipi kuna mpya yoyote?”Salma aliuliza. “Mpya lazima iwepo kwani mimi nakosaga mpya?”Hashim aliongea huku akimalizia kunywa funda la mwisho la juisi. “Mhh..! Mpya ipi hiyo?”Salma aliuliza kwa kujidekeza. “Leo bilingibilingi samasoti,nimejipanga kwa mashambilizi leo.” Wote walicheka kwa furaha baada ya kuongea hivyo.Walitazamana kwa macho yaliyobeaba ujembe wa nataka sasa hivi.

    Baada ya kumaliza kula na kupumzika kwa kuangalia tarifa ya habari,wote waliinuka na kuelekea kiwanjani kwa ajili ya mpambano huo mkali.Salma alikuwa na hamu ya hali ya juu.Baada ya kufika chumbani,Hashimu alishtuka kidogo kwanini mpaka wakati huo babu hakuonesha ishara yoyote ya kuchikizwa na kelele ndogondogo za Salma kama vile kuvua sidilia na kubaki nyonyo wazi.Alijipa moyo kwa supu yake ya pweza aliyokunywa mjini huenda ingelimsaidia kutoka droo kwenye mchuano huo.

    Hashim aliweka taulo lake pembeni na kubaki kwenye pensi ya ndani.Salma alikuwa amekwisha jitayarisha akiwa kwenye kanga moja.Alimkumbatia mumewe na wote walianza kupapasana huku wakipigana denda.Salma moto ulimpanda kiasi cha kuhitaji babu aingie ndani ya mgodi.

    Walijikuta wamekwisha angukia kitandani.Cha ajabu Hashim alichelewa kumuingiza babu kwani alikuwa bado hajakasirika hata kidogo.Kutokana na hamu kubwa aliyokuwa nayo Salma,Hashim aliona siyo vyema kumuacha akiwa wa moto hivyo aliamua kutumia vidole vyake kujaribu kumtuliza hamu.

    “Mamaaa..!Naumia..”Salma alipiga kelele kwani vidole vya Hashim vilikuwa na kucha ndefu zilichomchoma Salma kwenye kuta za bi kidude.Hashim alitoa haraka. “Mume wangu kwanini unanifanyia hivi..!? Ina maana hauna hisia kabisa..?” Salma aliongea kwa hamaki. “Mke wanguu..!Na..na..nash..nashindwa la kufanya hii hali siyo salamaa..!”Hashim aliongea kwa unyonge kabisa.



    http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Hali ilikuwa si nzuri kiasi cha wiki nzima kukatika bila ya Salma kupata burudani.Aliamua kumshauri mumewe waelekee hospitalini kupima ili kugundua tatizo ni nini.Walipanga siku ya alhamis waitumie kwa ajili ya kulikamilisha suala hilo.Walifunga safari na kuelekea hospitali ya Hindu Mandal Posta kwa ajili ya kuonana na daktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa uzazi.

    Baada ya kufika hospitani,walifuata taratibu zote na bila kuchelewa walikutana na dakta Isack Kabobo aliyekuwepo zamu siku hiyo.Alifanyiwa vipimo vya mwili mzima na baada ya muda kuwadia wa kupokea majibu,walikutana na daktari ili awaeleze tatizo ni nini?

    “Kwa mujibu wa vipimo vyetu vinaonesha bwana Hashim hauna tatizo lolote.Tumeangalia uiano wa homini kwa kitaamu inaitwa Hormone balance iko vizuri,msukumo wa damu kuelekea sehemu za uume uko safi hivyo hauna tatizo lolote.Labda tukuandikie baadhi ya dawa zitakazo kusaidia kuamsha hisia Zaidi na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.”Daktari Kabobo alimaliza kutoa majibu.

    “Dokta inakuwaje sina tatizo lolote lakini siwezi hata kusimama wakati awali nilikuwa naweza?”Hashim aliuliza. “Kuna mambo mengi yanmaweza kupelekea ushindwe kusimama kama vile msongo wa mawazo,kutopata usingizi wa kutosha pamoja na mwili kutopata mazoezi.Zingatia mambo kama hayo madogomadogo.”Daktari aliongea huku akiandika kwenye fomu baadhi ya dawa.

    “Chukua hizo dawa nilizokuandikia utazitumia na zitakapokwisha njoo tena tupate vipimo.”Alimkabidhi Hashim fomu hiyo.Salma na mumewe walimuaga daktari na kuondoka zao.Walistaajabu sana kuambiwa na daktari kuwa hakuwa na ugonjwa wowote wa kumfanya babu asichukie.Hawakukubaliana na majibu ya daktari bali waliamua kuakata rufaa na kuelekea hospitali zingine.

    Jumatatu ya wiki iliyofuata waliamua kwenda katika hospitali ya Agakhan kujaribu nako wataambiwaje.Bahati nzuri siku hiyo walifika asubuhi mapema na kumkuta daktari wa zamu akiwepo.Kama ilivyo kawada walipata vipimo vya mwili mzima kisha baada ya muda waliitwa kupokea majibu yao.

    Baada ya kukaa kwenye viti na kutulia ili kumsikiiza daktari,daktari aliwangalia mmoja baada ya mwingine kisha aliuliza, ‘Mna muda gani mmeingia kwenye ndoa?” Ukimya kati yao ulitawala kidogo kisha Hashim aliamua kulijibu swali hilo. “Tuna mahusiano ya muda mrefu ila kwenye ndoa tuna miezi takribani minane mpaka sasa”

    Daktari aliingalia fomu ya majibu kwa muda wa takribani sekunde kumi kisha aliamua kuongea kile kilichoandikwa kwa mujibu wa vipimo. “Vipimo vinaonesha kuwa hauna ugonjwa wowote.Hii hali huwa inatokea baadhi ya mida na inatokana na sababu mbalimbali aidha za kimazingira au kisiakolojia,hivyo ni bora kufanya mazoezi,kula chakula bora pamoja na kupunguza msongo wa mawazo.”

    Salma na Hashim waliangalizana na kukunja ndita ishara ya kuulizana kulikoni. Walishukuru na kumuaga daktari kisha walirejea nyumbani.Baada ya kuwasili nyumbani na kuingia chumbani,walikaa kikao cha muda na kushuriana Zaidi kipi cha kufanya. “Mke wangu mpaka sasa tumeshatumia pesa nyingi sana bila ya mafanikio.Dawa nimekunywa sana lakini hakuna kitu,tunafanyaje?” Hashim aliamua kufungua kikao.

    “Kwanza hatutakiwi kukata tamaa.Nakuomba tujaribu mara ya mwisho Muhimbili tukikosa tuangalie njia mbadala” Salma alitoa wazo. “kuliko kupoteza muda na fedha zingine kwanini tusitafute njia mbadala sasa hivi?” Majadiliano yalichukua muda mrefu lakini walifikia muafaka wa kujaribu mara ya mwisho kwenda kupima kwenye hospitali ya taifa ya Muhimbili ikishindikana,wahangaike kungine.

    Walipokwenda Muhimbili majibu yalikuwa yale yale.Waliambiwa hakuwa na ugonjwa wowote.Majibu hayo yaliwapa wasiwasi kiasi cha kutoamini majibu ya vipimo.Baada ya mzunguuko huo mkubwa uliowachukua pesa na muda,waliamua kutumia njia mbadala ya kununua dawa za wamasai.Kila dawa waliyonunua ilidunda.Kula dawa za mizizi,kunywa dawa za maji pamoja na kutumia dawa za kupaka lakini wapi babu aligoma kabisa.

    Miezi ilizidi kukimbia bila ya ufumbuzi kupatikana.Baada ya maji kumfika shingoni,Hashim aliamua kumshirikisha rafiki yake wanayeshirikiana katika biashara bwana Mutani. “Navyoona tafuta kwanza mchepuko ujaribu,nako kukishindikana basi kutakuwa na jambo jingine.”Mutani alimpa ushauri huo ambao mwanzo Hashim aliupinga kwa madai kuwa hawezi kumsaliti mkewe lakini baadaye aliuona wa maana.

    Siku chache baadaye alipata mchepuko na kwenda nao gesti kwa ajili ya mechi ya ugenini. Cha ajabu siku hiyo babu alikasirika kwa jazba zote.Alipiga bakora kama hana akili nzuri mpaka mechi inaisha mpinzani alikuwa kishanyosha mikono.Hashim alifurahi sana na kuamini kuwa hata akirudi nyumbani itawezekana kumuhudumia mkewe.

    Alipofika nyumbani mambo yalikuwa tofauti kabisa.Hata ile hamu ya babu kutafuta network haikuwezekana kabisa.Hashim alianza kufunguka macho huenda mkewe ndiyo chanzo cha tatizo hilo.Alimuweka chini na kuanza kumuuliza maswali mbalimbali. “Mke wangu hivi una kumbuka umeshawahi kugombana na mtu?” Salma alikaa kimya kwa muda kama mtu mwenye kutafakari kisha alijibu, “Hapana mume wangu sijawahi hata tu kumtukana mtu yeyote.Kwanini umeuliza swali hilo?”

    “Kuna suala nafikiria hapa,huenda kuna mtu kalipiza kisasi ndiyo maana tumekumbwa na tatizo hili.” Salma alipingana na mawazo ya mumewe. Baada ya maongezi hayo,waliamua kulala kama ilivyokuwa kawaida yao ndani ya kipindi hicho kigumu.Salma alipatwa na wakati mgumu sana.Kutokana na kubanwa na hamu,alitamani kumsaliti mumewe kwa kutembea na mlinzi wao lakini nafsi ilimsuta.Hivyo alikomaa kisabuni.

    *********

    Tuntu aliendelea na maisha yake kiasi cha jina la Salma kufutika kwenye fikra zake.Kwa kuwa hakuhitaji kulisikia jina hilo,aliamua kumuweka mbali Suzan ili aepuke kumuona kwani uwepo wake ulimletea kumbukumbu za Salma.Muda ulisonga mbele na wakati huo alikuwa amekwisha ingia mwaka wa tatu chuoni hapo.Ndiyo mwaka ambao alikutana na Salma wa Shedrack ambaye alikuwa akimsimulia mkasa huo.

    “Hivyo ndiyo ilivyokuwa mpaka mimi kulichukia jina la Salma na kuwachukia wanawake wote katika suala la mapenzi.Nakuomba uachane na mimi uendelee na Shedrack.Sahau kabisa kama umeshakutana na mimi.”Tuntu alimkanya Salma wa Shedrack asiweke mazoea naye.

    “Tuntu usifanye hivyo.Usiamini kuwa wanawake wote ni sawa,mimi nimekupenda kutoka moyoni tafadhali sitokuwa hivyo.”Salma aliongea kwa huzuni huku machozi yakimlenga kwa mbali.“Sikiliza sina muda wa kuongea tena,chagua moja niondoke au wewe uondoke!”Tuntu aliongea kwa jazba.Salma alibaki mdomo wazi asilewe kama kweli Tuntu alimaanisha au la.Tuntu alichukua vitu vyake na kumuacha Salma wa Shedrack macho yakiwa kodo kumuangalia alivyokuwa akitokomea kuelekea nyumani kwake.

    Juhudi za Salma na Hashim kuendelea kuitafuta tiba zilipamba moto.Walianza kuzunguka huku na kule kwa masheikh mbalimbali kuombewa dua lakini ilidunda.Ilifikia mpaka baadhi ya masheikh kutoa hukumu ndoa ivunjwe kwani msingi wake haukuwepo.Salma alikataa kwa kudai kuwa atavumilia mpaka pale Mungu atakapotia nusura yake.

    Kutokana na kuhangaika huku na kule kwenye nyumba za ibada,subira iliwashinda mpaka kufikia uamuzi wa kwenda kwa waganga wa kienyeji kuangalia chanzo cha tatizo hilo lililowantima usingizi.Walizunguka kwa mganga wa kwanza naye alikuwa hana uwezo bali aliwalia hela na kufanya matambiko yasiyokuwa na maana.Mganga wa pili vivyo hivyo na watatu mpaka wanne kiasi cha kuwakatisha tamaa.

    Suzan aliwaelekeza mganga wa mwisho aliyekuwa akipatikana Morogoro hivyo walifunga safari mpaka alipo mganga huyo.Baada ya kufika nyumbani kwa mganga walimkuta mkewe na wanaye yeye alikuwa porini kutafuta dawa.Walipewa jamvi wakae kwa ajili ya kumsubiri.Baada ya taktribani dakika ishirini mganga aliwasiri.

    “Karibuni wagemni wangu.Hapa naumona Salma,Hashim na binti wa Alex.”Walistaajabu mganga kuwataja majina yao wote ambapo Suzan alitajwa jina la baba yake. Waliamini wamefika kwa mganga wa kweli hivyo mioyo yao ilifarijika kidogo.Baada ya muda mganga aliwaita kwenye chumba chake maalumu cha kazi kwa ajili ya kuwatatulia shida yao.

    Kabla hawajasema chochote,mganga alianza kuongea, “Kijana hauna tatizo lolote ila huyu mkeo ndiyo anatatizo kubwa sana.Tena halina dawa Zaidi ya msamaha mzito ambao kwasasa utakuwa mgumu sana japo inawezekana kupunguza kidogo.Mmepoteza pesa nyingi mahospitalini wakati hata tatizo halihitaji vidonge wala sindano.”

    Mganga alichukua dawa kwenye kibuyu na kupeperusha kwa kuipuliza kwa juu kisha alichukua sahani lake na kutia kitambaa cheupe.Aliongea maneno yake ya kiganga harakaharaka bila ya kupumzika na muda mchache baadaye aliwambia wangalie kwenye sahani hilo.Ndani ya sahani hilo alionekana Salma akiwa na mama yake enzi hizo akiwa hai.Kuna siku mama yake aliongea maneno ya kumkanya Salma asimuache Tuntu kwa hali yoyote kutokana na shida alizowatatulia.

    “Mmeona?Hiyo ni radhi ya mama yako kwani umemsaliti yeye pamoja na kijana aliyekuwa muhimili wa maisha yako.Ili kuliondoa tatizo hili kuna mawili,uolewe na yule kijana au kijana akusamehe na aridhie wewe uendelee na ndoa yako.Sivyo sahau kupata raha ya ndoa popote pale mpaka unakufa.hakuna dawa nyingine.”Mganga aliimba nyimbo zake za kienyeji.

    Wote walishusha pumzi.Salma aliinama chini kwa aibu. “Nilikuuliza kuna mtu yeyote mliwahi kuwa na ugomvi ukasema hakuna.Haya anayosema mganga yemetoka wapi?”Hashim aliongea kwa hasira.Mganga aliwatuliza na kuwaomba walifanye kazi suala hilo ili kunusuru ndoa yao.

    Walimpatia mganga pesa ya huduma kasha walifunga safari na kurejea Dar es salaa.Njia nzima hakuna aliyemsemesha mwengine.Suzan alijarinu kuanzisha maongezi ya hapa na pale ili kuwaondoa kwenye mawazo lakini ilishindikana akaamua kufunga bakuli lake.Baada ya kufika nyumbani Hashim alifunga kila kitu cha Salma nakumuomba atangulie nyumbani kwao kisha atamfuata kesho.

    “Mume wangu kwanini unanifanyia hivi?”Salma aliongea huku akilia. “Nahisi leo naweza kukuchinja bora tu uende nyumbani kwenu kesho nitakuja tuyaongee.Siwezi kuishi na mwanamke mnafiki kiasi hiki.”Hashim jazba ilikuwa asilimia tisini na tisa.Alimpigia dereva tax aje kumchukua Salma na kumpeleka Magomeni kwa wazazi wake.Dereve alikuja kumchukua Salma na kumkimbiza nyumbani kwao kwa ajili ya usalama wake.

    “Mzee nitakuja kesho tuyaongee vizuri.Naomba uandae wazee wenye busara hapo ili tuyajadili.Sawa baba.”Hashim alimjibu baba yake Salma alipompigia baada ya kumuona binti yake ghafla huku akiwa Analia.

    Kesho yake mida ya jioni Hashim aliwasili nyumbani kwa akina Salma nakuwakuta wazee watatu pamoja na baba yake Salma akiwemo.Hashim alienda na mzee mmoja pamoja na rafiki yake Mutani.Waliyazungumza kwa kina na busara lakini msimamo wa Hashim ulikuwa ni kumpa taraka na kumuacha kwa amani.hatimaye Hashim alimuacha Salma kwa Amani bila ya ugomvi huku akimpa haki yake kama ilivyokawaida ya dini ya kiisalam.

    Salma alilia sana mithili roho kukaribia kuchomoka.Mambo yalimuendea kombo kiasi cha kukonda mpaka hatamaniki.Aliukumbuka ule msemo usemao kuwa usitupe mbachao kwa msala upitao.Tuntu sasa alianza kuonekana wa thamani.

    Juhudi za kumtafuta Tuntu zilianza kuchukua hatamu.Suzan alichukua jukumu hilo la kuhakikisha Tuntu anapatikana kwa udi na uvumba.Kwa kuwa Tuntu alikuwa kishabadilisha namba,ilikuwa vigumu kumpata hivyo aliamua kwenda kumtafuta chuoni kwao.Siku ya kwanza hakupata kuonana naye bali alipewa namba yake tu.

    “Halo! Unaongea na Suzani hapa.” Tuntu alikata simu baada ya kusikia jina hilo.Suzan alipiga tena mara ya pili Tuntu hakupokea simu.Ilibidi apige tena kesho yake. “Suzan sitaki kusikia mambo ya Salma inatosha mniache na maisha yangu tafadhali.”Tuntu aliongea baada ya kupokea simu.

    Suzan alimuomba waonane kuna jambo muhimu sana.Tuntu alikubali kuonana naye na kesho yake walipanga wakutane nyumbani kwa Tuntu alikohamia Keko baada ya kutoka Kurasini.Suzani alienda na Salma siku hiyo.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Mimi nimeshakusamehe kitambo sana.Endelea na maisha yako na mimi nina maisha yangu.Suala la mimi na wewe kuwa wapenzi sahau katika akili yako.Unakumbuka siku ile tukiwa chumbani kwa Jamse nilikuambia kauli gani?”Tuntu aliongea kwa hasira baada ya Salma kumuomba msamaha.

    “Uliniambia nichunge sana.”Salma alijibu. “Nadhani umeona umuhimu wa kujali fadhila za watu waliokutoa kwenye tatizo fulani.Suzan,mimi kuanzia leo sina kinyongo na huyu Salma.Nipo radhi kabisa aolewe na yeyote ampendaye na asinijue kuanzia leo.Nimemaliza kuongea sijui kuna lingine?”

    “Tuntu shetani alinipitia nakupenda Tuntu!”Salma aliongea huku akitokwa na machozi kamasi ikimchuluzika.Tuntu hakusema chochote bali alichukua funguo zake na kuwataka watoke nje afunge chumba chake.

    “Suzan nimekuheshimu sana mpaka kukaa chini na kusikiliza upuzi wenu.Pisheni nifunge chumba changu niondoke nina mambo mengi ya kufanya.”Tuntu aliwatoa kama mbwa kisha alifunga chumba chake na kuondoka.



    MWISHO.


0 comments:

Post a Comment

Blog