Search This Blog

Friday, November 18, 2022

SITOWEZA KUKUSAHAU - 2

 






Simulizi : Sitoweza Kukusahau
Sehemu Ya Pili (2)




Mwanga ule wa tochi nyekundu uliendelea kuelekea pale alipo Ramso chini ya mti.Ramso alitetemeka sana kwani hakujua kitu gani kinakuja mbele yake.Akajivuta huku bega linamuumiza kupita maelezo.Akajibanza nyumba ya mti na mwanga ule ukampita,cha ajabu hakuona mtu yoyote ambae alikuwa anauongoza moto huo,ulikuwa moto peke yake tena una kimbia kwa kasi isiyo ya kawaida.Njaa na maumivu ya bega lake ziliendelea kumtafuna na kumuumiza zaidi,mbaya zaidi yupo katika msimu ambao hakuweza kuufahamu kabisa.Akajaribu kuinuka na kufanikiwa kwa hilo kisha kwa mwendo wa kupepesuka akaanza kutembea kuelekea mbele zaidi.Hakufika hata hatua kumi alijikuta anaanguka na macho yake yakawa na giza lililomfanya asiweze kuona mbele kabisa.Akiwa katika usingizi mzito mara akahisi kama kuna mtu anamchezea begani kwa kitu cha ubaridi kama barafu.Alitamani sana kuyafumbua macho yake yalini alishindwa.Uguso huo kwenye bega lake ulioambatana na ubaridi ulianza kupoa na Ramso akajisikia afadhali maumivu ya bega lake linatulia.Alichokisikia ni kufungwa kwa mlango kwa nguvu na kuachwa peke yake mle ndani.Ghafla akashikwa na usingizi mzito na kulala.

“Mamaaaa nakufaaaaa” sauti ya Gadna ilisikika toka nje ambapo mama yake peke yake ndiye aliyekuwa anasikia akiwa jikoni anapika.Haraka akatoka na kukimbia mpaka nje ambapo alikuwa gari iliyokuwa imemchukua mwanae inatimka mbio mithili ya gari za mashindano.

“Gadnaaaaaaaaa mwananguuuuuu”Mama Gadna aliita kwa sauti iliyoambatana na kilio.Akaacha chakula kinaungulia kisha akaenda mpaka kwenye kituo cha taksi na kuwaomba madereva hao waifukuzie gari iliyokuwa imemteka mwanae.Kitendo cha haraka dereva huyo akaweka mtambo kwenye herufi D na kuchomoa gari kwa kasi.Wakaanza kuifukuzia gari hiyo.Kutokana na jitihada za dereva huyo ya kukimbiza gari wakafanikiwa kuiona gari hiyo nyeusi ikiwa inakimbia sio kifani.Mwendo huo usio wa kawaida,watekaji wale wakapata wasiwasi kuwa kuna uwezekano wa gari hiyo linawafuata wao.Katika nje ya mji wa Durban nchini Afika kusini ndiko gari hizi zilikuwa zinafukuzana mithili ya magari yanayooneshwa katika muvi mbalimbali za wamarekani.Mmoja wa watekaji alichukua bunduki yake na kutokezea kwenye dirisha kisha akaanza kufyatua risasi gari.Dereva huyo alianza kuyumba mara baada ya kupigwa na risasi ya kifuani iliyopita mbele ya kioo chake,sasa gari ikaanza kwenda msobemsobe,dereva huko hakuwa analiongoza gari kabisa zaidi ya kulala tu kwenye siti,alikuwa tayari amepoteza maisha.Gari hilo likaacha njia na kuanza kwenda pembeni kabisa kulikokuwa na jiwe kubwa.Punde gari hiyo ikagonga jiwe kwa nguvu na kugawanyika vipande tupu.Mama Gadna bado alikuwa yupo ndani ya gari hiyo huku anahema,lakini kuhema kwake kuliambatana mabonge ya damu mazito tena kwa mfululizo.

Gadna alikuwa amefungwa kitambaa cheusi usoni na kushindiliwa kwa kitambaa kikubwa mdomoni ili asipate kupiga kelele ya aina yoyote.Dereva wa gari hiyo aliyeonekana kuwa mahiri sana akailaza kona na kushika njia ya kuelekea katika jengo lililojitenga peke yake nje ya jiji la Durban,ni kama kilometa kumi hivi kutoka mjini.Walipofika ndani wakamtupa Gadna mbele ya Mzee ambaye alikuwa ana mvi kichwani.Akaichukua bastola yake na kuikoki kabla hajamuelekezea mtoto huyo akasimama na kuitoa simu yake iliyokuwa mfukoni.Akajaribu kupiga namba mara kadhaa lakini jibu likawa lile,ni kweli namba ya Ramso ilikuwa haipatikani kabisa.Hakutaka kupoteza muda,akaichukua bastola yake na kuelekezea kwenye kichwa cha Gadna kisha akafumba macho na kufyatua risasi iliyompasua akichwa Gadna,hapohapo akaanguka chini na damu zilizochanganyika na ubongo zikaanza kuvuja.



“NOOOOOOOOOOO!” Ghafla Ramso akaamka kutoka usingizi,mara baada ya kuota ndoto mbaya juu ya familia yake iliyopo ncjini Afrika kusini.Yapata kama mwezi sasa hakuweza kuonana na familia yake hiyo.Yupo katika hali mbaya ya kiafya,hakuwa anapata huduma mzuri kwenye kile kibanda cha msamalia mwema amabye alimkuta polisi akiwa hajiwezi kabisa.Ndoto hiyo ikaanza kumtoa machozi Ramso bila kutarajia,kwa kweli alikuwa na wasiwasi mwingi sana kwa familia yake.Kelele zake kutoka ndani ya chumba alichokuwa amelala,zilimfanya mwanamke huyo aliyekuwa anapika kutoka na kuingia chumabani humo.Kitu kilichomshangaza Ramso ni baada ya kumsikia mwanamke huyo anaongea lugha ambayo haielewi kabisa.Akabaki kumtizama asijue cha kumjibu,mama yule akatoka nje na baada ya dakika chache akaingia akiwa na binti mmoja aliyekuwa na nywele ndefu kiasi,huku mwili wake ukiwa na rangi ya maji ya kunde.

“What’s your name?(Unaitwa nani?)” aliuliza binti yule kwa lunga ya kiingereza.

“Ramso”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Can you speak swahili language?(unaweza kuongea kiswahili?)” akauliza binti yule na hapo ndipo walipoanza kuzungumza kiswahili huku Mama yule akiwa anatazama asielewe kinachoongelewa.Binti huyo alimuuliza maswali mbalimbali na kumtafsiria Mama msamalia mwema.Ingwa Ramso alikuwa anaulizwa maswali ambayo aliyajibu kwa kumdanganya,alikuwa bado anatokwa na jasho kutokana na ile ndoto.Hakujua ilimjia kwa sababu gani ‘Mmmh lazima niiwahi familia yangu’.Mama huyo akatoka nje na kuwaacha Ramso akiwa na binti huyo wanaendelea kuongea macho kadhaa.Siku kama tatu zilipita hali ya Ramso ikaanza kuwa safi kutokana na kutumia dawa za miti alizokuwa anapewa na Mama huyo.Binti yule alikuwa karibu sana na Ramso akihakikisha kuwa anamsaidia kuwasiliana na Mama huyo.

Siku moja wakiwa kandokando ya kisima,Ramso ambaye alikuwa kavaa nguo zake zilezile alizokuja nazo,alimsindika binti huyo mwenye umbo la bashasha kuteka maji katika kisima hicho.Binti huyo aliyevalia kijikhanga kifupi kilichoishia juu ya magoti,alimuacha mdomo wazi Ramso baada ya kumuachia mapaja yake wazi kutokana na kuinamia kwenye shimo hilo lenye maji.Akashindwa kuvunga na kujikuta akimuongelesha.

“Hivi ulisema unaitwa nani dada?” Ramso aliuliza

“Mmmmh mara hii umesahau?”

“Ndio nimechanganikiwa sana yaani”

“Umechanganikiwa na nini?”

“Tuachane na hayo kama vipi”

“Hamna usijari mi naitwa Tiffah” alitaja jina lake.

Alipomaliza kuteka maji akamuomba Ramso amsaidie kuiweka ndoo kichwani,japokuwa mkono wake mmoja ulikuwa haujatangamaa vizuri akajitahidi kumsaidia ila cha ajabu Tiffah akagandisha kabla haijafika kichwani na kugusana sehemu ya chini ya maumbile yako.Bila kujarajia Ramso akapatwa na msisimko wa aina yake,haikuwa kwa Ramso peke yake bali hata kwa Tiffah nae ilikuwa hivyohivyo.Wakajikuta wanaiachia ndoo na kumwaga maji.Tiffah akahisi aibu mno,akajiona kama mwanamke wa kujilainisha mbele ya wanaume.

“Samahani Ram” aliomba msamaha.

“Bila samahani, nawe pole kwa kumwaga maji,mi mkono wangu mbovu” alijifanya kujitetea.

“Usijari nitachota tena” Tiffah alichukua ndoo na kuinama tena,safari hii alianza kumtega Ramso kwa kumtingishia mzigo wake bila aibu huku anamtazama kwa jicho la kuiba.Ramso akaingiwa tena na mshawasha wa kidudu cha ngono mwilini mwake.Akajikuta anatazama huku na huko kutazama kama kuna watu wanaokuja katika eneo lile.Alipohakikisha kuwa hakuna alama ya ujio wa mtu yoyote akajaribu kumsogelea Tiffah karibu na kutaka kumshika kiuno,ila akawa anasita kufanya kitendo kama hicho.Wakati huo Tiffah alijua kabisa Ramso kuna kitu kinamsumbua na ndio kwanza akaongeza kabisa ya kujipindua pale kisimani ili tu amdatishe kijana huyo aliyekuwa na uchu zaidi ya mwezi mmoja tangia aachane na mke wake Afrika kusini na kwenda nchini Tanzania kikazi,ambapo baada ya kazi hiyo mbaya na halamu kumfikia puani akajikuta anaingia kwenye matatizo makubwa sana ya kidunia hususani kutafutwa kwa kosa la ujambazi sugu pamoja na kumjeruhi polisi.Safari hii Ramso mzuka ulimpanda kweli na hakutaka kabisa kuiachia ile bahati iliyokuwa mbele yake.Akajikuta anamshika Tiffah sehemu ya nyuma na kuivuta khanga yake,kitendo ambacho kilimfanya Tiffah ageuke kwa kasi na kumtandika kibao Ramso cha shavuni.

*****



****

Gari za polisi pamoja na wanajeshi wa Kenya ziliendelea kumiminnika kwenye hotel hiyo ya TOWER ROYAL ambapo ndipo bomu linalosemekana kuwa la nyuklia limetegwa.Wateja wote waliokuwepo ndani ya hotel hiyo waliamulishwa watoke nje ili kupisha kazi za wanajeshi pamoja na polisi hao kwenda kulitegua bomu hilo.Ving’ora vingi vya magari ya kijeshi na polisi yalikuwa yameimalisha ulinzi katika hotel wakihakikisha kabisa hakuna ghasia zozote zitakazojitokeza katika eneo hilo.Aliyekuwa anaongoza msafara ni Inspekta Makurumla ambaye alijua fika sehemu lilipo bomu hilo,huku pembeni yake akiwa mkuu wa mawasiliano ambaye ndiye aliyegundua jengo hilo lililopo bomu zito.Watu wapatao saba waliingia kwenye lifti na kupandisha juu ya mjendo huo,mpaka walipofika chumba hicho husika.Wakafungua mlango kwa uangalifu na kuanza utaratibu wa kulitoa ni kama walivyoagiza wenyewe bomu baada ya kupewa pesa na serikali ya Kenya kuwa,kazi ya kulitoa bomu hilo ni la kwao wenyewe wanajeshi na polisi na kulipeleka mpakani ambako watapokelewa na wenyewe.

Walitoa godoro,ila wote wakajikuta wanaanza kukimbiza mle ndani na kuchangnikiwa wasijue mlango uko upande gari.Aliyekimbia bafuni alikimbilia,aliyejilaza chini na kuziba masikio yake aliziba ili mradi tu aepukane na mtego ule.Bomu hilo ambalo lilikuwa linatoa sauti ya king’ora kidogo na kuwaka taa nyekundu huku ikisoma sekunde,wakajikuta wanaogopa mno,kwani walikwishajua kuwa muda wowote bomu hilo linakwenda kulipuka.Lakini ilikuwa ni kinyume chake,baada ya sekunde zile za bomu kumalizika,taa na mlio wa bomu ukakata na kuingia ukimya.Mmoja mmoja alianza kujitokeza sehemu anayoijua.Wote wakaanza kuchekana mara baada ya kumuona mkuu wa mawasiliano anatokea ndani ya kabati la nguo la chumbani humo huku macho yakiwa mekundu asiamini kama kweli mzinga ule haujaripuka.

“Mkuu vipi hahaha” alicheka mwanajeshi mmoja.

“Unacheza kifo wewe” alisema mkuu wa mawasiliano huku akishusha pumzi ndefu.Hatimaye wakafanikiwa kulitoa bomu lile na kuliingiza kwenye gari ya wanajeshi.

“Kuanzia leo katika hotel hii na zingine zote,hakikisheni mnaweka kamera za CCTV ili kubaini kila mambo yanayofanyika kwa kila chumba cha mteja wenu,lakini sio kamera peke yake,mna wajibu wa kukagua kila mtu anayetaka kuingia katika hotel hii,oneni sasa mmeitia hasara serikali.KUWENI MAKINI NA MTEKELEZE HAYA NILIYOYASEMA” Mkuu wa mawasiliano nchini Kenya alitoa agizo hilo kwa wanaomiliki hotel wote.



Hatimaye gari za wanajeshi zipatazo tatu zilikuwa limepamba moto kuelekea mpakani mwa Somalia na Kenya ili kulirejesha bomu la waasi,kama walivyoagiza baada ya kupata pesa kutoka serikali ya nchi hiyo.Kweli wakafika mpakani humo na mara kipaza sauti chao kikasikika sauti inayowaelekeza wakunge kona kuelekea kaskazini mwa nchini Kenya maeneo ya Kolbio.Ndipo walipofika wakaona kuna sehemu ipo na uwazi mkubwa.Wakaarishwa washushe bomu hiyo na kuondoka mara moja bila kutazama nyuma.Wakatii amri na kufanya kama walivyoambia.Walipohakikisha wameliweka chini wakaanza kurudi nyumanyuma mpaka kwenye gari.Ghafla risasi moja iliyotumwa na mdunguaji wa kundi hilo ikampata mwanajeshi mmoja aliyechelewa kupanda kwenye gari.Hapo ndipo walipoanza kushambuliana na risasi katika mafuasi wa Mzee Kibangara na wanajeshi wa Kenya.Wafuasi ambao walikuwa hawaonekani kabisa kutokana na kujificha ndani ya pori waliendelea kuwashambulia wanajeshi hao vikali mpaka wakaanza kuchanganikiwa.Dereva wa gari ya mbele ya msafara huo akaanza kurudi nyuma kwa kasi ili apate kuindia kwenye njia ambayo walipitia mara ya kwanza.Kabla haijakaa vizuri gari hilo ikadunguliwa na kombola zito lililoisambalatisha kabisa.Gari na watu wanajeshi wote walipo ndani waligeuka na kuwa majivu ndani ya sekunde mbili.Ilikuwa kama mchezo wa muvi kufuatia na shambulia hilo liliwateketeza wanajeshi wa Kenya.Gari mbili zilizobakia zilishika njia hiyo na kutoka kwa kasi huku wakirusha risasi pasipo kuona mtu yoyote.

http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

***

Kofi zito lilitua chavuni mwa Ramso kufuatia na kumshika sehemu nyeti Tiffah ambaye alikuwa anateka maji kwenye kisima.Tukio hilo lilimfanya Ramso ashangae kwani ni ghafla haswa,hakuamini kama kweli ni yule Tiffah ambaye alikuwa anamtega au mwingine.Akabaki ameduwaa huku akiwa amejishika chavu lake lililonaswa na kofi la binti huyo.Tiffah akachukua khanga yake na kuirudishia haraka sana kwenye maungo yake na kuinyakuwa ndoo ya maji kisha akajiweka kichwani na kuondoka zake huku akimuacha Ramso pale kisimani.Mambo hayakuwa mazuri kabisa kwa Ramso kwani alishindwa kueleweka kwa nini Tiffah amebadilika ghafla na kuwa kama mbogo.

Akakata shauri na kuamua kurudi nyumbani kiunyonge kama mtoto aliyekosa ziwa kwa mama.Zikapita siku tano bila ya Tiffah kukutana na Ramso kitendo ambacho kikapelekea Ramso kutoelewana na Mama mwenyeji wake kwa lugha,kwani yule aliyekuwa anamsaidia kutafsiri alipotea ghafla mbele ya mboni zao.Kwa jinsi mama huyo alivyokuwa anaongea mfulilizo bila kujibiwa kilimchukiza sana.Wakajikuta wanakorofishana na Ramso akatimuliza katika kibanda hicho.Kama mwanaume aliyejipokoa kutoka kwenye ajari ya ndege iliyoanguka kwenye ukondo wa bahari,akajifariji kuwa hawezi kuteteleka na dunia kivyovyote.Akakaza moyo na kuanza kushuka bondeni huku asikujue anakoelekea,akavuka mto uliokuwa na maji kidogo na kuendelea na safari yake.Lakini kabla hajafika mbali,alikoswa mshale mmoja uliotoka upande wa kulia mwa njia aliyokuwa anapita na kwenda upande wa pili.Upande wa pili nao haukuwa nyuma ukarusha mshale kuelekea upande wa kwanza.Sasa yakawa majibizana baina ya hizo pande mbili.Vita vya makabila nchini humo viliendelea kulindima.Mishale pamoja na mikuki ilikuwa linarushwa kama ni kitu cha kawaida.Ramso alianza kutambaa chini ya njia hiyo kwa kasi ili asije pigwa na mishale ambaye tangu iazane hakujua chanzo ni yeye au sio.Akafanikiwa kupita kwenye tukio hilo la vita vya makabila.Sasa akakaribia kufika katika kijiji kimoja chenye watu wachache mno.Ni baada ya kutembea umbali wa kilometa tano,ndipo akakutana na mtu mmoja aliyevalia nguo kuukuu.Afueni huku walijua kidogo lugha ya kiingereza .Ramso aliweza kuwasiliana na mtu huyo na kupokelewa.

“Naweza kupata usafiri kwenda mjini?” aliuliza Ramso.

“Hapa ndugu yangu hakuna kwa kweli,sisi tunatumia punda na farasi kufika kijiji cha pili,huko ndio utapata usafiri mwingine utakaokufikisha mjini” alieleza jamaa huyo.Ndipo alipoamua kumsaidia Ramso kwa kumpatia punda atakae mfikishe sehemu hiyo..Ndani ya masaa mawili walikuwa njiani tayari huku wakipasua porini na kuingia tena barabarani ambako hakukuwa na dalili yoyote ya usafiri wa kisasa.Usiku ukawafikia njiani kabla hawajafika kijiji walichokuwa wanakitarajia.Wakaamua kumpumzika kwa kukoka moto ndani ya pori hilo.Baridi iliyokuwa inapiga ilianza kupozwa na moto huo.Mwenyewe wa Ramso ambae alijitolea kumsaidia kumfikisha kijiji hapo,akainuka na kuchukua kisu cha aina ya sime na kutoka alipo Ramso.Ramso hakuelewa kabisa anaenda wapi kwani ni ghafla sana na alitoka bila kuaga.Baada ya dakika tano alirudi akiwa amembeba swala begani aliyevuja damu kwa wingi kutokana na kuchomwa na sime la jamaa huyo.

“Wanyama hao ni wajanja sana,umempataje pataje?” aliuliza Ramso.

“Hawa kwangu sio wajanja kabisa kwangu,ni mchezo wa dakika mbili tu” alitamba jamaa huyu huku anambanika swala huyo kwenye moto baada ya kuchomeka miti miwili pembeni mwa moto na kuichukua nyama iliyotundikwa katikati ya mti uliowekwa juu ya moto.Ndani ya dakika kama ishirini,nyama hiyo ilikuwa tayari imekauka na sasa wakawa wanajisevia.Mara ghalfa akatokea mnyama pembezoni mwao aliyekuwa na meno makali.Alianza kunguruma kwa sauti huku akija sehemu walipo.Cha ajabu jamaa huyo hakuogopa hata kidogo.Akanyofoa pande la nyama na kumtupia mnyama hiyo,akaidaka na kutoka mbio.Walipomaliza kula,wakajilaza mpaka inatimia saa kumi na moja alfajiri ndipo wakashtuka kutoka usingizini.Haraka haraka wakapanda punda wao na safari yao ikaendelea .Walifika kwenye kijiji walichokuwa wanakusudia majira ya saa tano asubuhi,ilikuwa safari ndefu sana.Ramso akamshukuru sana jamaa huyo kwa msaada wake.

“Umenisaidia sana,kaka sina cha kukupa ila nina amini kuwa Mungu atakutangulia,na ninakutakia safari nyema yenye amani” Ramso alimshukuru.Baada ya kuagana Ramso alianza kutembea kwa mwendo wa dakika thelasini alikwisha fika sehemu ya watu ambayo ilikuwa na baskeli.Alipofakiwa kupata safari ikaanza ikiwa ni saa sita nusu mchana.

****

Mchezo wa kuteka na kuwatishia mataifa mbalimbali uliendelea kwa kasi,ambapo wafuasi wapatao kumi walikuwa kwenye bahari ya hindi upande wa Somalia.Boti mbili za kisasa ziliendelea kutalii huku na huko ili mradi wapate kuona viumbe vyovyote vinavyoitwa binadamu kwa lengo la kuwateka nyala na wajipatie pesa.

“This we call plundering” mmoja wa wafuasi hao ambaye alikuwa anavuta bange alisema.Mkononi alishika kombola la kudungulia ndege au chombo chochote kikubwa.Hakika walijizatiti katika suala hili.Wakati wanaendelea kuzunguka huku na kule katikati ya bahari,wakaiona boti kubwa ilikuwa inatoka pwani ya kenya kuelekea upande waliopo.Harakaharaka wakageuza boti zao na kuanza kuifukuzia boti hilo.Kwenye dakika mbili mbele walikuwa wamezunguka boti hilo lililokuwa na wazungu ndani yake.Wafuasi hao ambao walikuwa wameziba sura zao walitoa mitutu yao na kuanza kuwata jambajamba wazungu hao.

“Hey come! Come” waliita kwa sauti kubwa.Kweli wazungu hao walisogeza boti yao bila kupinga na watekaji hao wakarukia ndani yake.

“Don’t kill us,we’ll give you a lot of dollars(msituue tutawapa dola za kutosha)” walilalamika wazungu hawa.Wakaingia ndani ya boti hilo na kukutana na samaki wengi wakiwa wamepekiwa kwenye sehemu maalumu.

“Where did you get this all fishies?(Mmepata wapi hawa samaki wote?)”

“In water(kwenye maji)” jibu hilo lililotolewa na mzungu na kumfanya mfuasi aliyekuwa anauliza swali kumtwanga tako la bunduki.

“F*ck you,I will kill you all(pumbavu nitawaua wote)”

“Sorry,you will kill my dad(samahani utamuua baba yangu)”binti wa kizungu alianza kutoa chozi mara baada ya baba yake kupigwa tako la bunduki.

“Keep quiet,close your mouth,mother f*ck(kimya,funga domo lako,pumbavu)” binti huyo akanyamazwa kimya.

“Mkuu naomba niendelee na huyu binti” alisema mfuasi mmoja”

“Sawa” jamaa huyo akamchukua binti huyo kwa kumbeba begani,na kuanza kuondoka naye.

“Where you going with my daughter”

“I’m going to f*ck her” jamaa huyo alisema huku anaingia nae ndani ya chumba.Japokuwa binti huyo alikuwa anampigapiga na kumuuma mgongoni lakini hakuweza kuteteleka hata kidogo,alichokuwa amekipanga ni kwenda kumgegeda mtoto huyo wa kizungu.

“Noooo!” mzungu aliinuka kwa kasi na kumpiga teke la sehemu za siri jamaa huyo aliyekuwa kamuweka chini ya ulinzi.Moja kwa moja akadondokea kwenye maji na hapo akaanza kumkimbilia mtoto wake aliyekuwa amebebwa na mtekaji………………



Kitendo cha mfuasi huyo kupigwa teke mpaka kwenye maji,kiliwachukiza sana wenzake.Mmoja kati ya hao aliyeona vizuri alikuwa ni jamaa aliyeshika bunduki ya kulengea.Alichokifanya ni kumuweka mzungu huyo kweny tageti na kufytua risasi iliyomsambalatisha kichwani.Huo ndio ulikuwa mwisho wa maisha ya mzungu huyo,ndio hawa jamaa hawana huruma hata kidogo,mioyo yao ilijawa na ukatili kupita kiasi,kila kiumbe kitakachokiuka maadili yao basi kwao ilikuwa kama nyama yao,lazima wamshambulia ipasavyo.Mtekaji aliyekuwa amembeba binti huyo aliingia nae chumbani kwenye hilohilo boti na kumvua nguo zote huku akitumia nguvu katika hilo.Alipohakikisha yupo uchi wa mnyama akafungua zipu yake ya ngwanda lake na kuutoa mkuyati wake.

“I don’t like,don’t like mummmmy(sitaki sitaki Mamaaaaa)” alijaribu kujitetea binti huyo lakini jitihada zake hazikuzaa matunda,alichoambulia ni mkuyati huo kuingiza ndani ya kizazi cha kichanga.Vitendo vya ubakaji viliendelea kushamili hususani kwa waasi hawa waliokuwa na roho za kikatili.Akatoka huku akiwa anavunga zipu yake mara baada ya kumaliza kumpa kazi binti wa kizungu.

“Ana utamu au ujinga tu?” aliuliza mfuasi mwingine.

“Aaaah umesikia wapi watoto wa kizungu ni wabaya?,nenda kale mzigo utaelewa mwenyewe” jamaa huyo akaruka mpaka chumbani na kumbaka binti huyo ambaye alikuwa anatokwa na damu sehemu zake za siri.Walipomaliza kila kitu wakamwaga mafuta ya petroli kwenye boti hiyo na kuiwasha moto,moja kwa moja ukamteketeza binti wa kizungu pamoja na maiti ya baba yake.

****

Ramso alikuwa kwenye basi sasa,huku akiwa na njaa mno,hakuwa na pesa yoyote kwani begi lake lilikwisha enda na maji kwenye ndege aliyokuwa anasafiri nayo kutoka Dar es salaam kwenda Afrika kusini.Japokuwa alianza kupata matumaini ya kufika mjini,alikuwa na wazo la kumpigia Zulfa simu ili amtumie pesa kidogo itakayomuwezesha kupanda ndege ya Afrika kusini.Wakati anawaza hayo yote,mara basi likasimamishwa na askari wawili wakaingia ndani.Akaongezeka na wa kike,kisha wakaanza kukagua pasipoti zao.Moyo wa Ramso ukaanza kumuenda mbio asijue nini cha kufanya.

“Oooh My God,what is this?(Mungu wangu,nini hiki?)” alihamaki kutokana na kitendo hicho cha askari hayo kukagua basi hilo.

“Hey you,give us your passpord(Hee wewe,hebu tupe pasipoti yako)” alizungumzo askari huyo wa kike.http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Passport!(Pasipoti)” Ramso alishangaa kusikia hivyo,kwani hakuwa na kitu kinaitwa pasipoti wala felipoti.Alihisi haja ndogo inataka kumtoka.Ikamlazimu awe na akiri ya ziada na kichwa kichemke ndani ya sekunde mbili na kutoa majibu kwa kasi iliyotarajiwa.Hapo hapo akaanza kuigiza kuwa yeye kama chizi,kila alichoulizwa,yeye alijibu kitu kingine,kujichekesha kwa sana ndio ilikuwa mbinu mbadala kwake,akaanza kumshikashika askari kama chizi aliyelogwa kwa mara ya pili.Kilichomshinda askari huyo pale Ramso alipoanza kuvua shati na kuweka begani huku akijipigapiga tumbo lake kama mtu aliyeweuka.

“Hee! Is this man is crazy?(hee! Huyu kijana ni chizi?)” alimuuliza mtu wa pembeni yake lakini hakupata jibu lolote.Askari wote walijaribu kumpiga maswali lakini Ramso alikuwa amechizika kabisa,anaongea vitu ambavyo havipo kwenye sayari hii ya tatu.Wakamuacha huku wakiendelea kukaguwa wengine.Walipomaliza wakairuhusu gari hiyo kuondoka.Ramso akavaa shati lake na kutulia tuli kama sio yeye ambaye alikuwa ameweuka ndani ya dakika tano zilizopita.Abiria wote wakaanza kumkodolea macho Ramso kwani hawakuamini kabisa tukio alilolifanya kwa askari hao.

“Watu wana mbinu nyingi!” alijisemea abiria wa pembeni yake.Hatimaye basi hilo ikawa limefika stendi na watu wote wakaanza kushuka na kuelekea anakokujua.Msongamano wa watu ulikuwa mkubwa mno.Alichokifanya Ramso kuingia kwenye duka moja ambamo ndani yake kulikuwa na mama mmoja akishughulika na kazi zake.Akamsalimia kwa ukalimu na kutaja tatizo lake.Kutokana na ukalimu huo,Mama huyo akajikuta anampatia simu Ramso.Ndipo alipomaliza mazungumzo yake na Zulfa kutoka nchini Tanzania na kuambiwa kuwa atarushiwa pesa ndani ya dakika kumi.Kweli kama ilivyokuwa,pesa zaidi ya milioni moja na nusu za kitanzania ziliingia kwenye simu hiyo.Lakini kiasi hicho kilitakiwa kitolewe kwenye benki tena kwa mfumo wa fedha za kigeni.Akamwambia Mama huyo kuwa ataitumia simu hiyo kuitolea pesa benki.Kwa bahati mzuri benki ilikuwa karibu na sehemu hiyo.Ndipo mama huyo akamtafutia mtu wa kwenda naye,ili asije kulizwa simu yake.Ndani ya benki kulikuwa na mstari mkubwa sana.Watu mbalimbali waliokuwa wanaongea lugha ya kireno walikuwa wameshika vifurushi vya pesa mikononi mwao.Ramso akaunga mstari uliokuwa unashughulikia na masuala ya fedha za kigeni.Tumaini jipya la kufika Afrika kusini lilianza kumjaa kichani mwake na kujikuta anaaza kuiwaza familia yake jinsi atakavyoikuta.Mawazo hayo yalimtoa kiakili ndani ya benki ile na sasa akijikuta yupo Afrika Kusini,akaja kushtushwa na kelele za watu waliokuwa wanapiga yote mle ndani.Benki hiyo ilikuwa imeingiliwa na majimbazi ambapo walikuwa wameshika silaha mzito mno.Wakaanza kuongea kireno lunga ambayo haikuwa rafiki sana kwa Ramso.Naye akalaa chini huku akifuata ishara wanazoambiwa wateja wenzake.Akashika mikono yote miwili kichogoni huku amelala kifudifudi.

“Close your eyes(funga macho yenu)” alisema mmoja kwa sauti ya kufoka.Wote wakafanya hivyo.Ramso hakuwa amefumba kwa sana kwani alikuwa anatazama kijicho cha kuibia.Akawaona watu hao wanaanza kuwasachi watu na kuchukua vifurushi vya pesa.Ramso aliwaza na kuwazua jinsi gani atalikabili tukio lile,kwani kama angeliruhusu simu yake ichukuliwe,basi lazima milioni yake na nusu itachukuliwa na yeye kuendelea kusota ndani ya Msumbiji.

***

Zulfa alilia kwa uchungu akiwa pembeni ya kaburi la Mama yake huko Londo mkoani Lindi.Leo alikwenda kufugailia kabiri hilo ikiwa ni miezi tano miaka tano sasa imepita.Kila alipokuja kulifagilia kaburi hilo alishindwa kujizuia kabisa machozi kumtoka.Akayaachia yamwagike mfululizo.Pembeni yake kasimama shangazi yake BI BAYOKA.Alikuwa na kazi la kumbembeleza mwanae Zulfa apunguze kulia kwani yote ni mi mipango ya Mungu tu na inapaswa katekelezwa kwa kila binadamu.

“Nyamaza mwanangu usilie,utaumwa na kichwa” alisisitiza Bi Bayoka.

“Mama inaumaa” Zulfa alilia kwa uchungu sana.Bi Bayoka alimchukua Zulfa na kwenda naye nyumbani.

“Shangazi niambie nani aliyemuua Mama,lazima nilipe kisasi” Zulfa aliongea kwa hisia kali huku akiwa na hasira kali ya kulipa kisasi kwa aliyemuua mama yake.

“Mwanangu ni stori ndefu sana”

“Niambie Mama mimi siwezi kuvumilia hali hii”

“Sawa ila inabidi uwe makini sana,kwani baba yako ni mtu hatari sana” alisema Bi Bayoka.

“Hatari yake kwangu sitojari,nina uchungu sana na Mama yangu”

“Ndio najua”

Wakati wanaendela na maongezi hayo,simu ya Zulfa ikaita kutoka kwenye mkoba wake.Akaichomoa na kukuta namba ngeni tena isiyo ya kawaida kabisa.Zilikuwa ni namba sita peke yake +577995.Akasita kuipokea kwani ilikuwa sio namba alizozizowea kuziona tangia akamate simu maishani mwake.Kwa ujasiri wa aina yake aliipokea na kusikiliza bila kuongea.

“WE KNOW WHERE YOU ARE,WE’RE REMINDING YOUR BETRAYAL(Tunajua uko wapi,tunakumbuka sana usaliti wenu)”

“Tunahakikisha kuwa lazima tukitenganishe kichwa chako na mwili wako,muda wowote kuanzia sasa” sauti hiyo mzito iliongea kwa hamaki.Hakika Zulfa alianza kuogopa mno,akaanza kujutia kitu gani alichokubali kujiingiza kwenye mpango fyatu kama ule wa kushirikiana na majambazi kuharibu supamaketi.Moyo wake ukaanza kupwita huku jasho likawa linamtiririka mwili mzima.

“Vipi tena mwanagu?” aliuliza Bi Bayoka kwa mshangao baada ya kumuona Zulfa amebadilika muda kwa muda mfupi kiasi kile.

“Hamna kitu shangazi” alimficha.

“Mimi Shangazi yako pekee,naomba uniweke wazo,kama kuna tatizo nikusaidie” alisema.Zulfa akainuka na kuingia ndani,baada ya dakika mbili alitoka nje akiwa na begi lake.

“Shangazi naomba niondoke,maana kuanzia sasa hapa hapanifai”

“Jamani mwanangu mbona unanifanyia hivyo eeh,hapakufai nimekutendea nini mama yangu?” shangazi yake akaanza kuangusha chozi.

“Sina maana hiyo shangazi,nilipenda kuendelea kukaa na wewe lakini natafutwa mimi” aliongea kwa hisia kali sana Zulfa.

“Unatafutwa na nani”

“Nitakuambia mama,ni watu hatari sana” Zulfa alipanda gari yake aliyoinunua baada ya kupewa pesa na Mzee Kibangara,japokuwa zilikuwa ni halamu alijifariji hivyo hivyo,alinunua nyumba kubwa iliyopo mbezi mwisho.Akashika barabara kuu iendayo Lindi mjini na kwa kasi ya ajabu alianza kukanyaga moto kama hana akili mzuri,safari ya kurejea Dar es salaam ikapamba moto.



****

Mfumo wa teknolojia uliokuwa unatumiwa na wafuasi wa Mzee Kibangara ulikuwa ni wa hali ya juu mno.Waliweza kutambua wapi alipo adui yao kwa kutumia simu yake.Ndio kama ilivyokuwa kwa Zulfa,alitambulika kuwa yupo sehemu fulani kutokana na simu yake kuwa hewani bila kuzimwa.Kikundi cha watu tano wenye silaha mzito kiliandaliwa madhubuti kwenda kumuua Zulfa popote alipo.Kwa bahati mzuri wakafanikiwa kutambua kuwa,Zulfa amenunua nyumba mpya maeneo ya Mbezi.

Wakaingia kwenye gari yao aina ya BMW X5 na kuanza safari ya kelekea mbezi.

“Halafu huyu demu leo lazima nikambake,sikubali,anatusumbua watu na madevu yetu namna hii” alijitapa jamaa huyo aliyekuwa na kipara huku kidevuni akiwa na ndevu zilizojikusanya kama kifungu cha nyuki mzingani,kama wanavyopenda kuita UCHEBE.

“Acha uboya,mimi ndio mkuu wenu,lazima niwe wa kwanza kumra”

“Ukuu kitu gani bana”

“Sasa wewe bisha,hautaamini”

“Sitoamini nini?”

“Kwa hiyo unabishana na bosi wako sio?”

“Sio nabishana,unataka kujivisha umwamba,wakati umwamba wenyewe wa dakika tano tu” alilalamika jamaa huyo kama mtoto mdogo.

“Kausha basi” wakanyamaza na gari iliendelea kukata magari yenzake(Overtake).Wakiwa kwenye mtaa wa kimara suka,mara wakapitwa na gari aina ya Hopper.

“Sasa wewe unapitwaje na kigari cha kisenge kama kile?” alifoka mmoja wao.Hapo hapo dereva huyo alipachika gia mbili kwa mkupuo na kukanyaga mafuta kwa kasi.Mambo yalianza kuwa moto barabarani,watu wote walikuwa wanashangilia gari hilo ilivyotoa mlio mkubwa kama gari za mashindano.Askari barabarani walipojaribu kuipungia mkono gari hiyo ilikuwa kazi bure,ndio kwanza dereva huyo aliweka gia nyingine.Ukichaa wa Dereva huyo ulikuwa umepandishwa na gari aina ya Hopper ambayo ilikuwa inaendeshwa na msichana mrembo aliyevalia jinsi nyeusi iliyomkaa vizuri maungoni mwake,tisheti ya rangi ya kijivu mbele yake ikiwa imeandikwa kwa maandishi makubwa yaliyosomeka ‘STORY ZA SWEDY’ yaling’aa ipasavyo,masikioni mwake alikuwa kavaa eleni ndogo zilizonakishwa kwa dhahabu.Usome alipiga miwani yenye tintedi.Kazi aliyokuwa nayo msichana huyo ni kukanyaga mafuta kama hana akili mzuri,hakuwa mwingine bali ni Zulfa ambaye alitoka Lindi majira ya saa tatu asubuhi na sasa yalikuwa ni majira ya saa tisa alasiri.Alichokuwa anawaza ni kufik nyumbani kwake Mbezi mwisho ili ajiandae na kupambana na adui wake ambao wanadai kuwa wanafahamu alipo.Alipofika akafungua geti haraka na kuingiza gari ndani.Akaingia chumbani kwake moja kwa moja na kuchukua bastola yake ndogo,akaziweka magazini za kutosha kwenye kimfuko kidogo.Akachukua na kisu akakichomeka kwenye buti lake kubwa na kuanza kutoka nje.Ila kabla hajafungua mlango gari yenye sauti kubwa ukafunga breki kwenye maegesho ya magari…………………………http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



Kama alifundishwa konfu China,Zulfa akaruka sambasoti na kujibanza nyuma ya mlango.Wafuasi hao waliokuwa na silaha mzito wakavunja mlango na kuingia ndani.Uzembe waliotumia ni kitendo cha wote kuingia ndani bila kubaki baadhi yao nje.Huo ndio ulikuwa mpenyo wa Zulfa ambaye alikuwa nyuma ya mpango kuwafyeka wote risasi za miguuni,ni mwendo wa sekunde kama tano tu.Zulfa alikuwa haraka mno,damu ilimchemka,akapinduka tena na kuruka shofa ya juu,ikamkanyaga mmoja kwenye jeraha lake.Ukelele mkali ukamtoka.Zulfa akatoka nje huku akikoswakoswa na risasi kutoka kwa wale baadhi ya wafuasi waliokuwa wamelala chini huku miguu yao imepigwa na risasi.

“F*ck you(mpumbavu wee)” aliambulia kumtukana tu na wasiwe na uwezo wa kumkamta.Zulfa akachukua gari yake na kulisha haraka akaondoka zake.

“Sasa tunaenda kusema nini sisi kwa bosi?” aliwauliza wenzake yule aliyekuwa anajiita bosi njiani.

“Bosi si ndio wewe” alisema yule jamaa mwenye kipara ambaye aliapa kumbaka Zulfa.

“Acha usenge,nipo siriaz”

“Sasa mimi nipoje?” wakaanza kukoromeana wawili hawa.Wakaanza kujikongoja na kuingia ndani ya gari lao.Tayari walikuwa wamemkosa Zulfa.Kilichobaki kwao ni kutafuta majibu ya kwenda nayo kwa bosi wao.

*****

Kichwa cha Ramso kilifanya kazi zaidi ya kompyuta za usalama.Aliwaza ni kitu gani atafanya ili aondokane na lile tatizo.Sasa jambazi aliyekuwa anasachi watu na kutoa vibunda vya pesa alikuwa karibu yake.Mkononi alishika bunduki aina ya RIFLE alisogea alipo Ramso na kumtuliza kwa kofi la kichwani.

“Show your Money(onesha pesa zako)’ alifoka kwa hasira huku akionekana kuwa na haraka mno.Hapo hapo Ramso hakutaka kumpa nafasi ya kuongea tena,akabetuka kwa kuzunguka na tumbo na ndani ya sekunde mbili alikuwa kalalia mgongo na kumchukuwa yule jamaa kwa mtama uliomfikishwa mpaka chini.Ramso akaiwahi bunduki hiyo ya Rifle na kumuweka chini ya ulinzi.Alimshika roba huyu akiwa nyuma yake na bunduki hiyo ikiwa kichwani mwake.

“All put your guns down before killing this f*cking bitch(wote weka bunduki zenu chini kabla sijamuua huyu fala)” alifoka Ramso na kuwafanya majambazo hao waweke silaha zao chini.

“Put your hands up(nyoosha mikono juu)” kilichokuwa kinaendelea hapo ni kutii amri tu.Wakafanya kama walivyoambiwa na baada ya dakika chache polisi waliingia ndani.Cha kwanza walichokifanya ni kuchukua silaha zile za majambazi.Walikamatwa kizembe sana.Ghafla mmoja wa majambazi alimgeukia polisi haraka na kuichukua bunduki.Akaanza kucharaza kila askari mmoja mmoja,lakini aliambulia kupiga askari watatu mara kabla Ramso hajamtandika risasi mbili za kifuasi.Akaanguka chini na kupoteza maisha.

Akatoka mzee moja toka chumba kimoja cha benki huku akiwa ametokwa na macho kama panya aliyebanwa na mtego.Hakuamini kabisa kama kweli Ramso kijana mgeni machoni mwake ameweza kunusuru madolla ya pesa yaliyokuwepo ndani humo.Alikuwa meneja wa benki hiyo,alimkaribia Ramso na kumtazama usoni huku akiachia tabasamu pana.Sio meneja peke yake ambaye alionesha mshangao kwa watu mule ndani bali hata kwa wateja wote walitokea kushangaa kitu kama kile alichokifanya Ramso,hakika kilikuwa sio kitu cha kawaida kwa mtu yoyote kuwageukia majambazi wale.

“How you?(Habari yako?) meneja akamsalimia.

“Fine sir(salama mzee)”

“My name is Dr.Salvatory Philipo”

“I’m Ram” alijibu kwa kifupi Ramso.Wateja walianza kumpongeza kwa ujasiri aliouonesha mbele yao.Meneja alimuita ofisini kwake na na kumkubadhi zaidi ya milioni kumi za kitanzania.Haikutosha wateja ambao walichukuliwa pesa,walianza kumpatia pesa kila mtu.

“Chukua milioni saba hizi zitakufaa,mimi walinichukulia bilioni mbili,kama sio wewe ningezimia hapa leo kama sio kupoteza maisha na msingi wa kampuni yangu” alisema baba mmoja ambaye alikuwa na kitambi kikubwa.

“Asante sana”.Ramso akatoka ndani ya benki hiyo huku wateja na wahudumu wote wakiwa wanamtazama shujaa wao,mpaka alipopotea mbele ya macho yao.

“Mama asante sana,chukua hii simu yako,ina pesa milioni moja na nusu zitakusaidia”

“Nashukuru sana mwanangu ubarikiwe,hakika SITOWEZA KUKUSAHAU” Mama huyo alingea kwa furaha isiyo ya kifani,hakika mtaji wake uliongezeka ndani dakika chache tu,hii kutokana na ukarimu wake kwa kila mtu.Ramso akaondoka zake huku yule Mama akimtazama mpaka alipozama.Akafika mpaka kwenye duka la nguo na hapo alinunua nguo ambazo alihisi zingempendeza zaidi.Akachukua suruali nyeusi na shati jeupe huku chini alimalizia na kiasi kirefu,unaweza kusema kuwa ni Afisa usalama.Kichwani alichukua kofia ya mduara,ni kama zile anazopenda kuvaa msanii maarufu wa Marekani ‘NE-YO’.Akachagua tena nguo zingine alizopendezwa nazo kisha akalipa pesa na kuondoka.Alitembea kwa mguuni ndani ya nusu saa alijikuta anashangaa kwenye jengo moja lililo ndefu,lilikuwa limeandikwa QUALITY CLASSIC HOTEL.Akakenua mdomo kwa furaha na kuingia ndani.Alipoingia tu akakutana na mapokezo mazito kutoka kwa wahudumu hao waliovalia nguo za kazi.

“Karibu sana kaka”

“Asante sana,kuna huduma gani humu?”

“Eeeh we mgeni eeh?”

“Ndio”

“Kweli,humu vyumba vya kulala wageni,kuna huduma ya vyakula aina mbalimbali,kuna huduma ya massage na zingine nyingi sana” alieleza msichana huyo aliyekuwa na sketi fupi na shati la mikono mirefu lililombana vizuri maungoni mwake.

“Sawa nataka chumba cha kupumzika” alimueleza shida yake mhudumu huyo.Akafanya utaratibu wa malipo na kupewa chumba kilichokuwa na kila kitu ndani yake,kuanzia taulo,kabati la nguo,bafu na kadhalika.Akavua nguo zake chakavu na kuingia ndani ya bafu.Taratibu akafungulia maji kwenye jokofu kisha akaanza kuseberebuka na maji hayo aliyokuwa na uvuguuvugu.Mwili wa Ramso ulikuwa haujapata maji muda mrefu,alitumia lisaa lizima kuchezea maji,hii kutokana na utamu wa maji aliyoyakosa kwa kipindi kirefu.Alipotosheka akajifunga taulo yake na kurudi kitandani.Akafungua begi lake ambalo alihifadhia nguo.Akaanza kuzivaa kwa majaribio nguo moja baada ya nyingine.Wakati huo alikuwa anajitazama kupitia kioo kilichokuwepo ukutani.Akajikuta anatabasamu mwenyewe kwa jinsi alivyopendeza.

“Uuuh I’m a Ne-yo meen” alibweka kwa sauti huku akijichonganyonga kama Msanii Neyo alivyofanya kwenye miziki yake.Mzuka wa kucheza ukawa umempanda na sasa akawa anaimba mpaka wimbo mmoja wa Neyo unaoitwa One In A Million.



"One In A Million"

“Jet setter

Go getter

Nothing better

Call me Mr. been there done that

Top model chick to your every day hood rat

Less than all but more than a few

But I've never met one like you



Been all over the world

Done a little bit of everything

Little bit of everywhere

With a little bit of everyone

All the girls I've been withhttp://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Things I've seen it takes much to impress

But sure nough your glow it makes your soul stand out from all the rest



I can be in love

But I just don't know

Baby one thing is for certain

Whatever you do it's working

Other girls don't matter

In your presence can't do what you do

There's a million girls around but I don't see no one but you



Girl you're so one in a million

You are

Baby you're the best I ever had

Best I ever had

And I'm certain that

There ain't nothing better

No there ain't nothing better than this



You're not a regular girl

You don't give a damn about the loot

Talking about I can't do it for you

But you can do it for yourself

Even though that ain't so

Baby cause my dough don't know how to end

But that independent thing I'm with it

All we do is win baby



I could be in love

But I just don't know

Baby one thing is for certain

Whatever you do it's working

Other girls don't matter

In your presence can't do what you do

There's a million girls around but I don't see no one but you



Baby you're so one in a million

You are

Baby you're the best I ever had

Best I ever had

And I'm certain that

There ain't nothing better

No there ain't nothing better than this

Girl you're so one in a million

You are

Baby you're the best I ever had

Best I ever had

And I'm certain that

There ain't nothing better

No there ain't nothing better than this



Diamond girl………………”



Kabla hajamaliza kuimba wimbo wote ulango ukagongwa.Akasitisha kuimba na kwenda kufungua mlango.

“Yes”

“Nimekuletea chakula” alisema mrembo huyo aliyekuwa ameshika kijisahani kilichojaa nyama iliyochomwa.

“Sawa karibu” Msichana huyo akaingia na kuweka chakula mezani.

“Kaa umependeza” aliaanza uchawi wake wa kumsifia Ramso.Macho yake alianza kuyalegeza kama kuku aliyepatwa na mdondo.

“Asante”

“Ila kama kuna huduma yoyote ile unahitaji mimi nipo”

“Sawa”Ramso hakuwa na muda wa kumjibu kiurefu kijibinti hicho.

“Na yale mambo ya chachandu usisite mimi nipo kwa ajiri yako”

“Sawa sawa nenda sihitaji mwanamke mimi” alifoka Ramso na kumfanya msichana huyo kushtuka kidogo.Kiunyonge,akawa anaondoka huku anageukageuka nyuma,Ramso hakuwa na haja ya kufanya kitu chochote kile kwa wasichana zaidi ya mke wake tu Mama Gadna.Alimpenda sana mke wake,mtoto mwenye asili halisi ya Kirwanda.Mrefu aliye na shingo ya twiga,nywele zilizolaliana mgongoni,rangi yake maji ya kunde,hakuwa anatumia mkorogo wa aina yoyote.Akavua shati na kubaki kifua wazi huku akiwa anajitazama kwenye kioo na kumuachia msichana mgongo.Kitendo kile kilimdatisha mno mhudumu huyo,hakika katika kitu anachokipenda kwa mwanaume kama kuwa na mwili uliojengeka vizuri kama wa Ramso,hisia za kufanya mapenzi na Ramso ziliamka kutoka kwenye chumba chake na kuzipeleka ubongoni ambapo zikafanyiwa kazi na kutumwa kwenye macho na macho nayo alituma hisia hizo mpaka kwenye mikono ambapo sasa mikono ikawa imekufa ganzi na kujikuta msichana huyu ambaye bado yupo mlangoni kurudi nyuma haraka na kumshika Ramso kiunoni.



****



****

Kitendo cha majambazi wale kuvamia benki ila kwa bahati mbaya wakajikutwa wapo mikononi mwa polisi,kilimuudhi sana jamaa ambaye alikuwa ameshibiana misuli,mwili mzima ulikuwa umetapakaa tatu,kifua chake kama kabati kilituna kwa mbele unaweza kusema kuwa alipigwa ngumi ya mgongo.Hakupendezwa hata kidogo.Mbele yake kuna TV ambayo kila kituo anachopeleka ndani ya nchi hiyo ilikuwa inatoa habari kuwa ‘SHUJAA WA KIGENI AOKOA MABILIONI YA PESA’.kitendo hiki kilimfanya awe na hasira mno.Watu wake wamekamatwa kizembe na mtu aliyesababisha ni Ramso ambaye alioneshwa kwenye TV.Video iliyorekodiwa kwa kutumia kamera za CCTV zilimuonesha Ramso kamshika jamaa yake shingoni huku akimuoneshea bunduki kichwani,killichomuudhi zaidi ni kumuongezea na matusi.Akainuka na kuingia chumbani kwake ambapo alichukua bastola zake mbili na kisu kidogo cha kufyetuka.Akatoka nje na kuwaitwa wenzake watatu ambao walikuwa wanavuta sigara.Wakaingia kwenye gari na kulitoka nduku huku wakielekea kwenye QUALITY CLASSIC HOTEL.Lengo kubwa kwao lilikuwa ni kumtia mikononi Ramso na kumfundisha adabu.

Wakafika mpaka mapokezi na kumkuta mwanadada aliyekuwa na wenzake.Wakapita bila kuuliza kwani walijulikana kwa ubabe mno katika mji ule.Wakafika kwenye ukumbi ambao watu mbalimbali wanakutana na kucheza mziki.Kila aina ya starehe ilikuwepo katika jengo hili hali kadhalika wasichana waliokuwa wanajiuza,nao waliangaika huku na huko kujirahisisha kwa wanaume.Wakafika mpaka kaunta na kuchukua wayne na kuanza kubugia,walichokuwa wanakitaka ni stimu ziwakolee ili wakamchangamkie vizuri Ramso.



***

Kitendo cha Ramso kushikwa kiuno na mhudumu huyo kilimfanya ageuke na kumsukuma mbali msichana huyo ambae aliingiwa na pepo la ngono.Hata msichana mwenyewe alijishangaa kwa kitendo cha kumshika Ramso ‘eeh nimemshikaje shikaje?’ alijiuliza mwenyewe.

“Wee fala toka chumbani humu mara moja,hivi ndivyo mnavyowahudumia wateja wenu?” alifoka kwa jazba Ramso.

“Samahani kaka”

“Kuwa na heshima”

“Nisamehe buree”

“Haya ondoka basi” .Msichana huyo alifungua mlango na kuondoka zake huku kichwani mwake akiliwaza na mwili wa Ramso jinsi ulivyokuwa umejengeka kisawasawa.Akaanza kula chakula alicholetewa na mhudumu huyo.Alipomaliza akachukua begi yake iliyojaa pesa.Akazimwaga kitandani huku akifurahia mno.Akawa anazihesabu,mara azirushe ili mradi tu awe amefurahi.Wakati anaendelea na zoezi hilo,mara mlango ukaanza kugongwa tena.Akaziweka pesa zake kwenye begi na kuzificha mahali pazuri.Alipohakikisha amezihifadhi,akatoka na kufungua mlango.Ghafla akakutana na ngumi mzito puani.Hapo ndipo damu zikaanza kumvuja.Hajakaa vizuri ili ajitete,akapigwa teke la tumbo,akabakua chakula chote alichokuwa navyo.Jamaa huyo aliyekuwa ameshibiana huku akiwa na wenzake wawili.Wakaanza kumpa mkong’oto Ramso huku wakipokezana.Hawakujari kabisa kama wapo kwenye hoteli ya watu.Kilichofuata kwa Ramso ni kuanza kupiga mahesabu ya kujikomboa katika mateso hayo.Hajatulia akapigwa teke la begani,hapo ndipo alianza kutoa sauti ya juu kutokana na maumivu aliyokuwa anayapata.Watu hao walivyogundua kuwa bega la Ramso ni bovu,wakaanza kucheza na mkono huo huku wakichapa kwa buti zao ngumu kama chuma cha pua.

*****

Mzee kibangara tayari alikuwa kwenye ndege kuelekea nchini Sudan Kusini.Lengo lake kuu ni kukutana na tajiri mkubwa wa nchi hiyo.Tayari alikuwa amekwishafika na kuingia kwenye hoteli ambayo alipelekwa na watu waliotumwa na tajiri.Wakati yupo chumbani kwake akachomoa bastola zake na kuziweka kitandani kisha akaingia bafuni kujimwagia maji.Baada ya masaa kama matatu,alifuatwa na gari mbili maalumu zilizotoka ikulu ya nchi hiyo.Gari hizo zikawasili ndani ya hekalu na Mzee kibangara akakaribishwa vizuri na tajiri huyo ambaye alionekana kuwa na furaha sana kwa ujio wa Mzee Kibangara.

“Karibu sana mzee Kibangara” alitoa salamu raisi.

“Salama,vipi ndugu yangu”

“Salama ndugu yangu”

Wakaletewa chupa ya pombe kali kila mmoja na kuanza kunywa.Stori mbili tatu ziliendelea bila wasiwasi.Kilichomleta Mzee Kibangara nchini Sudani kusini ni kuipinga Sudan ya Kaskazini katika suala zima la kuteka maeneo yote yaliyokuwa na mali asili kama mafuta hususani maeneo ya Hijlig.

“Mimi nitawaonesha kuwa nina nguvu zaidi ya wao,siwezi kuachia visima vyote hivi vya mafuta,lazima damu imwagike” alisema raisi huyo.

“Vizuri sana mimi nitakuongezea silaha na majeshi,lakini lazima tugawane pasu kwa pasu,yaani asilimia 50 wewe na 50 mimi” Kibangara aliongea huku anashushia pombe kali,anafumba macho kidogo kwa uchungu wa pombe na kuendelea na mzungumzo.

“Ndio maana ndugu yangu nimekuita hapa,nina shida hiyo hiyo,wanajeshi wangu wameanza kuchoka kwa sasa”

“Basi ondoa shaka mzee mwenzangu”

****http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

Zulfa aligeuza gari yake mara baada ya kufika kibaha.Akaingia kwenye baa moja huku akihema kwa nguvu.Akanunua maji na kuyafakamia kama aliyekuwa ametupwa jangwani kwa muda mrefu.Mara simu yake ikaita na namba iliyokuwa inapiga ni ileile ya watu waliokuwa wanamtafuta.Akaikata na kuizima kabisa,akatoa na betrii.Alipomaliza akaingia ndani ya gari yake na kukanyaga mafuta mpaka sehemu moja iliyokuwa kimya,upepo mzuri uliokuwa unavuma mahali hapo,ulimfanya atabasamu na kufurahi.Mawazo kidogo yakaanza kumpungua kwani hakuona aina yoyote ya bughuza.Akaingia ndani ya hotel hiyo na kuketi kwenye kiti kimoja wapo na kuagiza chakula.Anapoendela kula anashtuka kumuona Inspekta Makurumla anakuja karibu yake akiwa na mke wake pamoja na watoto wake wawili.Anaikumbuka sana sura hiyo,alikumbuka jinsi alivyokuwa anateswa baada ya kukataa kutaja mtu ambae aliwatuma kuvamia supamaketi.Akageuka nyuma na kumpa mgongo Inspekta huyo.Akala chakula chake haraka na kutoka nje na kupanda gari yake.Sasa akawa na safari ya kurudi Dar es salaam.Ulikuwa Usiku wa saa mbili.Akakanyaga moto kama hana akiri mzuri,lakini hali iliyomshangaza ni baada ya kuziona gari mbili zilizokuwa zinamjia nyuma yake zikiwa katika mwendo kasi wa aina yake.Akajifariji labda magari hayo yalikuwa na mipango yake tu.Ghafla gari yake ikagongwa kwa nyuma na kumfanya ayumbe kidogo.Akagongwa tena safari hii gari inaenda kupoteza muelekeo,mbele yake kuna daraja.Akavuna mafuta kwa kasi huku anaiweka sawa,lakini jamaa hao hawakuwa nyuma kuipoteza gari ile.Bila kutegemea Zulfa akamshinda kuiwka sawa gari hiyo na kujikuta anakosa daraja na kuingia shimoni.Mto huo wenye kina kirefu na uliojaa maji,ndipo Zulfa alikuwa kaingia humo bila kujua.Gari ambazo zimesababisha tukio hilo zikasimamishwa na watu wapatao tano wakiwa wameshika bunduki mzito kama MK14 na wengine walishika bunduki aina ya AK-74u.Walipoiona gari ile imekita chini kabisa kwenye maji wakaanza kushuka mpaka bondeni,lengo lao lilikuwa ni kutaka kichwa cha Zulfa tu kama walivyoagizwa na bosi wao.

****

‘MWANANGU WEWE NI MTOTO WA KIUME,USIKUBALI HATA SIKU MOJA MWANAUME MWENZAKO AKAKUSABABISHIA KIFO,PAMBANA KADRI UWEZAVYO,YOU ARE A MAN,LAZIMA UPAMBANE MPAKA KUFA USIKUBALI KUONEWA.WE ARE BORN TO DIE,DUNIANI TUNAPITA,PAMBANA MWANANGU’ maneno haya yalipita kichwani mwa Ramso kama mkanda wa video,yalikuwa ni maneno ya mama yake siku za nyuma za utoto wake kabla mama yake huyo hajafariki dunia.Hakika maneno hayo yalianza kumpa nguvu mpya na kujikuta anapatwa na hasira mara dufu.Alipokumbuka kifo cha mama yake na maneno yake kama wosia kwake,akajikuta anabetuka juu kwa kasi na kumtandika mmoja wa jamaa wale.Akapita silaha zao kama hana akili timamu.Akachomoa kisu kutoka kwa yule jamaa mwenye mwili mkubwa na kumchoma kwenye paja la kushoto.Kelele ziliambatana na maumivu zilimtoka njemba huyo kama anayetolewa roho.Ramso kwa umahiri aliokuwa nao katika kupigana akateleza mpaka ilipo silaha iliyokuwa imeanguka chini na kuwaweka chini ya ulinzi wote.Akachukua kamba zilizokuwapo ndani ya chumba hicho na kuwafunga mikono ya nyuma.Akachukua midambala na kuwashindilia mdomoni mwao kisha akawafungia wote ndani ya kabati.Kamanda Ramso anatoka kinaume ndani ya chumba hiko huku akiwa na begi yake iliyojaa pesa.Anatoka mpaka nje ya hotel hiyo na kuingia ndani ya taksi.

“Nikupeleke wapi bosi wangu?” aliuza dereva huyo.

“Nipeleke airpot” alisema

“Ok dakika kumi tu” dereva alishika kindonga na kuweka kwenye herufi D na hapo akakanya mafuta kwa kasi.Mpaka inakuja kufika dakika ya nane walikwisha fika ndani ya airpot kubwa iliyojaa ndege mbalimbali za mataifa.Akamlipa pesa yake kisha akaingia ndani.

“Habari yako”

“Salama karibu kaka” alijibu mwanamke ambaye alikuwa anashughulika na kazi zake.

“Samahani ninaweza kupata tiketi ya kwenda Afrika kusini leo?” aliuliza Ramso.

“Ndio kuna ndege moja inaondoka saa mbili usiku,je unayo visa?” alimuiliza.Swali lilikuwa na ugumu fulani kwa Ramso kulijibu.Hakuwa na visa ya aina yoyote ile.

“Sina dada angu?”

“Sasa utasafiri vipi?’

“Kwa hiyo hakuwa uwezekano wa mimi kuondoka?”

“Upo ila uwe na hiyo Visa,pia lazima uwe na pasipoti,pasipoti unayo?”Swali hili lingine lilimpagawisha Ramso.Hakujua anaweza kupata vipi vitu hivyo kwani mji ule tayari ushaanza kumvia kutaka kumuua.

“Sasa sikia nenda hapo mlango wa mbele wenye langi ya bluu,unaweza kutengenezewa haraka tu”

“Sawa dada asante sana” Ramso alitoka na kuingia ndani ya chumba hicho.Huko aliwakuta watu wawili ambao walikuwa wanaendelea kubofya kompyuta zao.Akawalimia na kuwaeleza tatizo lao.

“Dola mia tano unayo?”

“Ninayo”

“Sawa subiri hapo dakika tano”

Ramso aliketi kwenye siti huku anakichunguza kwa umakini chumba kile.Walipomaliza shughuli zao,wakamgeukia Ramso na kuanza kumsikiliza.Kila kitu kikaenda sawa,Ramso alikwishapata visa na pasipoti.Akakata tiketi yake na kukaa chonjo muda wowote ule kuisubiria ndege iendayo Afrika kusini.Hatimaye ikafika saa moja na nusu usiku.Kila abiria aliweka mzigo wake kwenye mashine za kukagulia,kisha wenyewe wakawa wanakaguliwa pasipoti zao.Msururu wa watu waliokuwa wanakaguliwa ulikuwa mkubwa mno.Ikafika zamu ya Ramso kukaguliwa.Hapo Ramso alihisi haja ndogo inataka kumtoka,mkaguzi anaanza kuishangaa visa na pasipoti za Ramso.Ikawa ngumu sana kuelewa kuwa zile ni Visa za aina gani.

“What kind of Visa and Passport like these?(ni aina gani ya viza na pasipoti kama hizi?)

“What?” alionesha kutoelewa swali la mkaguzi yule aliyekuwa na macho mekundu na makubwa.Huwezi kumtofautisha na yule mtuamiji wa mirungi.

“You are a thief” alimuambia Ramso,Ramso akaanza kutetemeka kwa hofu kwani hakuelewa kabisa visa na pasipoti zake zimefanya nini.

“Police” mkaguzi huyo aliiita kwa sauti,kitendo cha sekunde tatu tu,polisi aliyekuwa amevalia sare zake alikuwa mbele ya mkaguzi huyo.

“This man have a fake visa and Passport,he is like a murder wanna to escape(Huyu kijana ana visa na pasipoti bandia,halafu kama muuaji anataka kutoroka)” alichochea mambo.Hapo hapo Ramso akawekwa chini ya ulinzi na kubebwa mzegamzega mpaka kwenye kituo kidogo cha polisi.Begi la pesa lilikuwa ndani ya ukaguzi.Akashindwa kuvumilia na machozi yakaanza kumlengalenga,kupoteza pesa nyingi kiasi kile,ilimuuma sana.Hakika alimlaani mno mtu ambaye alitengeneza visa na pasipoti zile.

“I must catch him” alifoka kwa hasira huku analia.Safari ya Ramso ya kurudi nyumbani kwake Afika kusini ilikuwa ina misukosuko mingi mno,alijutia sana kuja Tanzania,hakika hakupata kutuliza kichwa chake hata siku moja.Mwezi wa pili unakatika bila kuiona familia yake.

“Ingia ndani fala weee!” alitukana askari huyo huku anamshushia na teke la mgongoni Ramso na kuingia ndani ya chumba kidogo.





Ramso hakubisha,aliingia ndani ya chumba hicho na kufungiwa.Chumba kilikuwa imejaa kunguni waliokuwa na njaa kwa muda mrefu,hivyo kuja kwa Ramso ndio ilikuwa pona yao.Bila kukawia walianza kumzonga na kunyonya damu.Ramso alijitahidi kujibalaguza ndani ya chumba hicho lakini kunguni hao hawakuelewa kitu chochote.Nguo zake alizokuwa amevaa zilikaaza kulowa damu kutokana na kuwafinya baadhi ya wadudu hao ndani ya shati lake jeupe.

Baada ya masaa mawili,mlango ukafunguliwa na Ramso akatolewa nje.Aliyekuwa mbele yake ni mtu mnene aliyekuwa na kitambi,alikuwa na kipara juu ya kichwa chake yaani kiualaza.Akakili kuwa aliye mbele yake ni Meneja wa Benki ambayo iliingiliwa na majambazi.Kwa mara ya kwanza Ramso anapata tumaini,anapewa dhamana kutoka kwenye kesi ile.

“Asante sana Kaka,umeniokoa mno”http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

“Hapana shida,ila vipi kwani kwenu wapi hasa?”

“Ni Afrika Kusini,na nadhani ndege imekwishaondoka sasa hivi”

“Okay ila usijari,kamata hii itakusaidia mimi naenda kuendelea na shughuli zangu”

“Sawa kaka ubarikiwe” Ramso aliachiwa namba ya simu iliyoambatanishwa na kibunda kidogo cha pesa na Meneja akaondoka zake.Akachukua taksi haraka iliyomfikisha mpaka uwanja wa ndege.Cha ajabu aliikuta ndege hiyo ipo palepale haijaondoka.Abiria waliokuwa nje ya ndege hiyo,walionekana kujawa na hasira kupita kiasi.Kitendo cha ndege kuzima kiliwakwanza wengi.Wakaanza kuwatupia maneno wahusika wa ndege hiyo huku kelele zinapigwa mtindo mmoja.Ramso akapitiliza mpaka ndani kule alikotengenezewa visa bandia.Akasukuma mlango kwa fujo bila kujari chochote.Akamkunja shati na kuanza kumpa makonde ya nguvu.Alipohakikisha anavuja damu puani na mdomoni,akatoka nje na kuanza kukimbia kuelekea upande uliokuwa na giza.Baada ya nusu saa ndege hiyo ilianza kunguruma na abiria wakaruhusiwa kuingia ndani.Ramso hakuwa na ruhusa na visa hakuwa na Pasipoti itakayomruhusu aingie ndani ya ndege iliyo katika ulinzi mkali.Kama makomando wa muvi za kivita za nchini marekani,akanyatia kwa uangalifu bila kuonekana na kupanda chini ya ndege hiyo.Hakuona mpenyo wowote ule ulioweza kumruhusu aingie ndani ndani moja kwa moja.Ndege ikaanza kukimbia kwa kasi na kupaa angapi,tayari ilikwishaacha ardhi ya Msumbiji.Hali ilikuwa sio shwari kabisa kwa Ramso kwani upepo mkali ukanza kuvuma wakati Ramso bado hajapata nafasi ya kuingia ndani yake.Alihisi kizunguzungu,maluweluwe yakawa yanamsumbua na hapo akahisi kama anataka kuachia chuma ambalo alikuwa amejishikia.

***


ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog