Search This Blog

Thursday, November 24, 2022

FACEBOOK IMEHARIBU MAISHA YANGU - 1

 

     

     

    IMEANDIKWA NA : GEORGE IRON MOSENYA



    *********************************************************************************

     Simulizi : Facebook Imeharibu Maisha Yangu

    Sehemu Ya Kwanza (1)

     

     

    “"Reshmail Manyama want to be your friend.'confirm' 'ignore' ulikuwa ni ujumbe ambao macho yangu yalikutana nao nilipofungua mtandao wa kijamii wa ‘facebook’,sikumbuki kama nilijifikiria mara mbili kwani niliona ni jambo la kawaida sana kukutana na 'notifications’ kama hizo,na mara zote neno confirm(kubali) lilipata fursa ya kutumika.hivyohivyo hata kwa Reshmail nilifanya hivyo."You and reshmail are now friends" ndio ujumbe ulionisindikiza baada ya kukubali ombi lile kutoka kwa Reshmail.

    * * * * *

    Ni kijana mtanashati niliyebahatika kukutana nae pale chuo kikuu cha mtakatifu Augustine Mwanza,alijipenda kuanzia ndani ya chumba chake hadi mwili wake,ilikuwa ni nadra sana kumfumania akiwa amevaa nguo aliyoivaa jana,bila kumnyima haki yake nasema alikuwa anapendeza kila siku,macho yangu ya kipelelezi na kamera zangu za kipaparazi kamwe hazikufanikiwa kumjua aliyekuwa ubavu wa pili wa bwana huyu yaani 'MPENZI'. Ukipenda waweza kuniita kimbelembele lakini ukiniita hivyo basi majina hayo yatakuwa mengi pale chuoni kwani wengi walikuwa na shauku kubwa ya kujua siri hiyo na kamwe hawakufanikiwa.

    Binadamu hatuna dogo watu washaanza kusema eti huenda jamaa ana matatizo makubwa tu mwilini mwake ndio maana yuko peke yake licha ya kushobokewa na wasichana warembo, mh! mimi sikuwa mmoja wao lakin nilijiuliza pia kulikoni??

    Makala mbovu zilizokuwa zinaandikwa na gazeti la chuo lililojulikana kama ‘Saut voice’ ndo zilinizonivuta zaidi kutaka na mimi siku moja kuandika katika gazeti hilo lililokosa mvuto siku za hivi karibuni makala nzuri itakayorudisha heshima ya gazeti hilo.Taratibu nilijenga mazoea na hatimaye nikafanikiwa kumzoea "THE MOST WANTED" ucheshi wangu ndio uliomvutia zaidi kupenda kuwa karibu nami pamoja na mchezo wa mpira wa miguu kwani wote tulikuwa mashabiki wakubwa,haukupita mwezi mzima nikawa nina uwezo wa kuanza kazi yangu,ni mimi na Adam Michael kwenye meza moja chumban kwangu ananipa hadithi yake ya maisha yaliyomfanya awe kama alivyo.

    "Aah!! jamani Reshmail..." alianza Adam,yangu masikio na macho nikaanza kusikiliza kwa makini.





    Hadi anafika mwaka wa pili kimasomo chuoni mtakatifu Augustine Mwanza kitivo cha sheria Adam aliitumia simu yake ya mkononi kwa ajili ya kupiga,kutuma ujumbe (sms) na kupokea ni hayo tu na kwa upande wa pili alipenda sana kucheza michezo ya simu (game) ya kwenye simu.

    Alikuwa ni Hughorito Hamada ama maarufu kama 'HUHA'.hakuwa tu rafiki yake adam bali pia alikuwa ni mshirika wake wa chumba (room mate) na pia walisoma darasa moja la sheria pale chuoni,ni huyu aliyemuingiza Adam katika ulimwengu ambao hatausahau kamwe,tabia yake ya kupenda kuazima simu ya Adam aina ya Nokia Express music kwa dhumuni la kuchat katika mtandao maarufu wa kijamii wa ‘facebook’ ndio ilimshawish Adam naye kuanza kujiuliza kulikoni hasahasa alipokuwa anamwona Huha akicheka mwenyewe kila anapokuwa anachat,"Mh! we jamaa yangu chizi kweli yaani unacheka na watu usiowaona" Adam alimkebehi Huha alipokuwa anacheka na simu yake punde tu baada ya kuanza kuchat

    "Kwani we ukiwa unaota unaongea huwa kuna watu mbele yako?" Huha alijibu mashambulizi na Adam akabaki kimya na taulo yake kiunoni akaenda bafuni kuoga.

    "Mwanangu nimekuunga na wewe namba yako ya siri ni..,.." hata kabla Huha hajamaliza adam akamkatisha "Nini? huo upumbavu wako sitafanya kamwe bro" ..."Hv kwan inakuwaje huo upuuzi" Adam akajikuta anauliza baada ya kuwa amevaa nguo zake "Hii kitu inaitwa FACEBOOK,yan adam ukijiunga wewe hutoki na utakuwa nayo bize kweli" Adam alisikiliza kwa makin japo alijidai kufanya dharau machon,Huha hakujali aliendelea kutoa somo had Adam akapata mwanga,"Mh. Sidhan kama itanivutia bt i wil try". Alijisemea adam wakat anachukua simu yake.

    ****

    Tabia ya Adam ilikuwa imebadilika ghafla ni Adam na facebook,facebook na yeye,iwe barabaran,club,lecture room,hostel yani kasoro mskitini tu ndio Adam aliweza kuhfadh simu yake.Sio Huha wala rafiki yake yeyote aliyejua nini zaid ya facebuk kimemuathiri adam wa watu.Hakumuazima tena Huha simu,hakutaka mazoea na wasichana ni yeye na simu yake tu!! "Adam mbona washkaji wanalalamika eti wanakuomba urafiki facebook unachomoa? siku moja Huha aliamua kumuuliza Adam baada ya kuona tabia yake imekuwa ya ajabu mno kupindukia."Sitaki that's all". Ndio jibu fup alilopewa.kisha adam akajiondokea.Huha akabaki ameduwaa asijue la kufanya,mara ghafla adam akarudi tena "Huha naomba ukamwambie Halima simtaki,usiniulize kwa nini mwambie SIMTAKI!" adam alimwambia Huha kana kwamba alimfumania huyo halima.

    Mpenz msomaj Halima alikuwa binti matata pale chuon kwa kipind kile,Adam ndo alipata fursa ya kuangukia penz lake,penz lao chuo kizima walifahamu,gari ya Halima ilikuwa kama ya Adam..chumba cha Cha Halima kilipambwa picha na kad za Adam lait na Adam angekuwa anakaa peke yake basi hata yeye chumba chake kingekuwa had na nguo za ndan za Halima pamoja na pedi bas tu alikuwa anakaa na Huha.

    Huha alibak mdomo waz akijiuliza ni Adam au kivuli chake kinaongea.Alikuwa Adam sio kivuli.....



    Ubize aliokuwa nao mheshimiwa mbunge ulimkosesha raha mkewe bi.Gaudensia Ogunde,hakuipata haki yake ndoa kwa takribani mwezi mmoja sasa,mume alikuwa anachelewa kurudi na akirudi anakuwa amechoka sana kutokana na majukumu mazito ya kiserikali,na ikitokea siku akathubutu kujaribu kutoa huduma basi alikuwa hamridhish mkewe,taratibu mama akajaribu kuzoea lakini kuna wakat uvumilivu ulikuwa unamshnda,nyumba nzima alikuwa akiish yeye,mtoto wake wa kike na msaidiz wa kazi (House girl)."Mwanangu ni siku ya tatu baba yako halali nyumbani,najisikia mpweke sana kulala mwenyewe" bi.Gaudensia alimweleza mwanae kwa unyonge "Pole sana mamii hata mi sipend hyo tabia ya baba,leo nakuja kulala na wewe mama" alijibu yule binti mwenye miaka 17 akiwa ndio kwanza amemaliza kidato cha nne.Mama hakujibu kitu badala yake alimkumbatia mwanae kwa sekunde kadhaa kisha akamwachia huku machozi yakimlengalenga.

    Majira ya saa tatu usiku mama na mwana walikuwa kitandan wote wakiwa na night dress,kitanda kilikuwa kikubwa lakin umbali wao ulikuwa karibu mno,mapigo ya moyo ya mama yalikuwa juu sana,jasho lilikuwa likimtoka mtoto kwa kasi air condition iliyokuwa inapuliza haikuwa na maana tena mama na mwana walijikuta katika hisia nzito sana za mahaba,sio mimi wala wewe tunaojua walipoanzia.

    ******

    Reshmail Mtoto wa mwisho na pekee wa kike kati ya watoto wanne wa mbunge wa jimbo la Kinondoni Mheshimiwa Msuruli Haruna,hakupata kujua shida katika maisha yake na urembo aliojaliwa pia hakuufaham kwa sababu hakuwepo wa kumwambia kuwa yeye ni mrembo,kuta na fensi ya sen'gen'ge iliyozunguka mji wao haikumruhusu kutoka nje hovyo hovyo,tofauti na siku ya kwenda msikitini Resh alilazimika kusubiri hadi alipofikisha miaka kumi na nne alipojiunga na kidato cha kwanza katika shule ya st.marry's international ndio alipata wasaa wa kujumuika na wananch wengne wa Tanzania na nchi za jirani,elimu yote ya darasa la kwanza hadi la saba aliipatia katika jumba la kifahari la baba yake.

    Mazoea ya kuish maisha ya peke yake peke yake yalimtesa sana Resh kiasi kwamba hadi anamaliza kidato cha nne aliweza kuwa karibu kiurafiki na wanafunzi wachache na weng wao wakiwa wasichana tena watoto wa matajiri na vigogo mbalimbali wa serikali.Kampani kubwa ya Reshmail alikuwa ni mama yake mzazi,yalikuwa ni mazoea makubwa sana lakini yasiyoshangaza,mara nying walikuwa wanatembea pamoja huku wameshkana mikono huku wakifurah sana.

    Kidato cha tano na sita katika shule ya Arusha international school ndio kwa mara wa kwanza ilimpeleka nje ya jiji la dar-es-salaam.

    Resh alilia sana kutenganishwa na mama yake lakini hakuwa na jinsi ilimlazimu kuondoka,mama alishindwa kujizuia alilia kwa uchungu ambao mumewe hakuutambua maana yake. "Nitakuwa nakuja kukusalimia" bi Gaudensia alimnon'goneza mwanae wakati akipanda gari la baba yake kuelekea airport."Usiache mama".alijibu resh huku akimbusu mama yake shavuni.

    Mwanzoni ilianza kama utani pale Adam alipokubali ombi la Reshmail kuwa marafiki,walikuwa wakiulizana mambo ya kawaida sana huku katika orodha ya marafiki wa Reshmail ni Adam peke yake alikuwa mwanaume,"Mbona una marafiki wachache au ndo umejiunga facebook?" adam alimuuliza reshmail katika moja ya 'chatings' zao "No ni uamuzi 2 iam nt interested with boys i wonder why you?" "May be iam someone special,who knows" alijibu Adam, "You might be" alijibu reshmail."Yani hadi mchumba wako hujamweka kwenye orodha?" "Sina huyo mchumba unayemdhania" "What? msichana mrembo kama wewe,au hizi picha sio zako?" "Ni zangu kwani ukiwa mrembo lazima uwe na mpenzi?"alisisitiza Resh kisha akaendelea "Naona we upo kwenye uhusiano,hongera" aliandika Resh,ni wanaume wachache sana akiulizwa na msichana mrembo kama ana mpenzi halafu akubali na hata kwa Adam ilikuwa hivyo,"Mh! nimejiandikia tu,mi sina mtu nani wa kunipenda mimi?". Alidanganya Adam,"What! hawakioni hcho kifua chako au na wewe hiyo sio picha yako?"

    "Ni ya kwangu,Reshmail una utani wewe"

    "Sina utani nimekipenda sana"

    "Haya asante,kwako wewe sina la kusema unavutia kila upande"

    "Asante lakini we zaidi,Adam naingia kuoga nisindikize basi"

    "Wee,si umeniambia mnakaa wanne sa wenzako watanielewaje?" alijibu Adam huku akiamini kwamba hayo yote yanayotokea ni utani mtupu.

    "Kwa hyo ningekuwa peke yangu ungenisindikiza?" "Yeah? ningekusindikiza lakini ningefumba macho" alitania Adam.

    "Vp ninatisha sana au,yan hadi ufumbe macho sawa tu" alilalamika Resh,"Natania mrembo lakin si unajua tena nitajiumiza"

    "Ok! tuachane na hayo,simu yako inauwezo wa kufungua e-mail?"

    "Inafungua tena sasa hivi nilikuwa ninasoma emails" alijibu adam.

    "Ndio hii Adamboy@Yahoo.com?" "Yap ndio hyo" "Fungua baada ya dakika tano uone zawadi yako"

    Jasho jembamba huku mikono ikitetemeka,macho yakiwa yamemtoka Adam hakuamin anachokiona kwenye simu yake.







    Mazoea ya Reshmail na mama yake kujigeuza mtu na mpenzi wake yaliwaathiri sana wawili hawa,mara kwa mara Bi.Gaudensia alifanya safari za ghafla kwenda Arusha kufaidi penzi la jinsia moja kutoka kwa mwanae mpendwa,raha alizozipata hakuwa na muda wa kumfikiria mumewe tena,tabia hii ilimuathri sana Reshmail pale shulen,licha ya urembo wake hakuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume yeyote pale shulen bila kujalisha uwezo wao kifedha wala sura na utanashati wao,aliwaona hawana maana kwake zaid ya mama maskin Resh hakujua tamtam ya penzi la wanaume.



    Alikuwa ni Eveline,binti aliyekuwa anaish chumba kimoja na Resh,akiwa ni mzaliwa wa hapohapo Arusha anayezijua kona zote za Arusha,pombe,club na ngono ndio walikuwa marafiki zake wakubwa,alikuwa mchesh na mzuri wa sura lakin kubwa na jema zaid alikuwa mwelevu sana darasani katika mchipuo wa "H.G.E" pamoja na reshmail,ni jambo hilo lililowaweka wawil hawa karibu.



    Mshipa wa aibu haukuwepo kichwani mwa Eveline,na kama ulikuwemo basi haukuwa unafanya kazi vizuri,picha alizozipenda ni za uchi na movie za ngono ndio alizokuwa anaangalia tena kwa anapandisha sauti hadi vyumba vingne wanasikia.



    Ni huyu Eveline aliyemwingiza Resh katika maswali ya kwa nini,na inakuwaje "Mbona nikifanya na mama silii kama hao? alijiuliza Reshmail akiwa ndan ya kitanda chake huku pemben Eveline akiwa bize na laptop yake akiangalia filamu ya ngono "Ponographics" ......."Nitamuuliza Eve siku moja lakin nitaanzaje?" alijiuliza



    Mara zote walizokuwa wakipeana burudani kitandani au sakafuni Mama yake alikuwa ndiye mwalimu wa kila kitu,yeye ndio alijua wapi amguse,wapi amtekenye ili mradi kuleta raha na wote kuridhika.Lakini safari yake ya mara ya tano kwenda Arusha kwa mpenzi wake huyo haramu ndipo alipokutana na mshangao.



    Reshmail yuleyule aliyekuwa zuzu kitandani akihudumiwa kila kitu na mama yake ili aridhike alikuwa moto wa kuotea mbali.Alimgalagaza mama yake ipasavyo kwa ku2mia vidole vya mikono yake pamoja na ulimi wake kutambaa kila kona ya sehemu husika.



    Mama reshmail (Bi.Gaudensia) alijikuta akiongea lugha ambazo hazipo katika ulimwengu huu.Hoteli ya Tanzanite chumba namba 18 kiligeuka kama pepo kwa wawili hawa,mama alikuwa analia sana machozi ya furaha na mbaya na ya kuchekesha eti akasema "Darling UTANIOA eeh!" jaman raha zikizidi sijui kilimfurahisha nini mama huyu kwa mwanae.Kulipokucha Bi.Gaude alimrudisha mwanae shuleni kama alivyokuwa amemwombea ruhusa.



    "Mama huyu ni rafiki yangu anaitwa Eveline,Eve huyu ni mama yangu mpenzi" Reshmail aliwatambulisha baada ya kumkuta Eveline pale ofisini."Shkamoo mama" "Marahaba" alijibu mama bila kumwangalia usoni Eveline ambaye hakujali hilo sana "Punguza wivu sweet" Resh alimnon'goneza mama yake,ambae alitabasamu "Nakupenda mwanangu" "Nakupenda mama" waliagana mama akaondoka kurudi kwa gogo lake (Mumewe) huko dar.



    * * * * *



    "Ukitaka kuujua utamu wa ngoma ingia ucheze" ndio jibu alilopewa Resh baada ya siku moja kumuuliza eti anafaidika nini kuangalia filamu za ngono,mwanzoni alikuwa akiangalia kwa aibu san lakini baada ya kufanikiwa kuzihamishia kwenye "Laptop" yake mambo yakawa ya kawaida japo kwa kujificha,mara nying alijifunika shuka na kuweka earphone masikion kisha burudani.Ni mchezo huohuo mchafu Resh aliuiga na kwenda kujaribisha kwa 'mpenzi mama'.



    "Hivi Eveline kuna raha kufanya au kuangalia peke yake inatosha?" "Haha haloooooo! unalo shosti,wenzio wakata viuno we wafurahia miguno looh!" Vidole vikiwa juu kama muimba taarabu Eve alimchambua Resh,"Mh! shoga si unifunze kuliko kunichambua?" alijitetea resh kwa saut ya chini,"Ulisema huna bwana weye sasa kulikoni ya nini haya tuachie sie wamama wa shughuli" "Eve we ni rafiki yangu ngoja nikwambie ukweli.....mimi nampenda mtu ambaye sijui kama ananipenda au tutaendana"



    "Vipi hujawah kumwona au?"



    "Nimemwona kwenye picha"



    "He! una makubwa we mrembo au ndo yule kwenye kompyuta yako?"



    "Haswaa ndio yeye"



    "Hata kama hujamuona yule pale dume la ukweli,kile kifua usimlete kwangu nitakuibia," alitania Eve.



    kisha akaendelea "Najua hujui jinsi gani utampata niachie hyo kazi mimi ndan ya wiki moja nakukabidh mali yako." "Asante evely asante sana" alishukuru



    Ilikuwa ni picha ya binti mrembo sana akiwa amejifunga taulo kwa chini huku chuchu zikiwa nje,"Ndio natoka kuoga,vp nimetakata?" iliambatana na ujumbe ule. Adamu alibaki mdomo wazi,mh!! hivi inawezekana akawa Reshmail dah! alishangaa Adam.



    Akiwa bado mdomo wazi email nyingne iliingia ilikuwa picha tena,safari hii ilionyesha sehemu yote ya nyuma "NIPAKE MAFUTA" ndio ujumbe uliobeba picha hyo.



    Bila kujua muda gani na kwa misingi ipi Adam alikuta pensi laini ikiwa imembana,kuja kugundua chanzo ni sehemu flani kwenye mwili

    wake ilikuwa imeongezeka ukubwa (Ha ha ha ha wanaume dhaifu sana.



    ************************************************************?



    Majukumu ya hapa na pale yalikuwa yamembana sana Bi.Gaudensia ambaye ni mama yake na Reshmail,pia uwepo wa mumewe katika himaya yake ilimnyima kabisa raha mama huyu na alikuwa anakosa nafasi ya kwenda Arusha mara kwa mara kufurah na mwanaye jambo ambalo lilimtesa kwa takribani mwezi mmoja na nusu.



    Vipindi vya bunge vilipoanza tena ndio hapo nafasi ilipatikana tena,kwa muda wote ambao alikuwa jijin dar-es-salaam Bi.Gaude alikuwa akiwasiliana na mwanae karibia kila siku kwa njia ya simu,alijua ni jinsi gan hata mwanae huyo alivyo'm-mis' hvyo aliamua kumfanyia 'surprise' ya kwenda huko Arusha shuleni bila kumwambia ili kuinogesha furaha yao ambayo ilikuwa inakamilika kitandan.



    "Baba Resh mie kesho naenda kumsabah mwanetu,lakin hata simwambii nataka ashtukie tu,mama huyo"



    "Atashangaa kweli,msalimie sana mwambie nitakuja kumsalimia bunge likimalizika" "Haya,zimefika"



    * * * * * *?



    Penzi la ku-chat katika mtandao wa facebook lilikuwa limemchanganya sana Reshmail wa watu, Adam hakuwa nyuma kumpa maneno matamu ya hapa na pale ambayo kamwe alikuwa hajawah kuyasikia masikion mwake,Eve mwenyewe alimshangaa huyu shoga yake lakin hakuwa nyuma kumpiga tafu katika mpango mzima wa kumtia Adam majaribuni ndio maana alimshawish Resh kupga picha mbaya ambazo mwanaume yeyote akiziangalia lazima ajiulize mara mbilimbili kuhusu urembo asilia wa binti yule.



    "Mi nipo peke yangu siku hizi rum-mate wangu ameenda kwao babake anaumwa" "Don't tell me kuwa unalala mwenyewe"



    "Nitafanyaje sasa na wewe upo mbali?"



    "ooh! my ghosh! assume nipo hapo"



    "Aah,nitajiumiza bure tu mpenzi wangu"



    "Anarudi lini kwani?"



    "Mh! amesema atatumia kama wiki mbili hivi,njoo basi unipe 'kampan' kiaina"



    Yalikuwa mazungumzo kwa njia ya simu kati ya Adam na Reshmail yaliyokatishwa na na mlio wa 'low battery' katika simu ya Reshmail "Baby boy tutaongea kesho,pole sana na ninakupenda sana" alimaliza Resh na simu ikawa imezima.



    "Eveline nataka kwenda Mwanza" asubuh ya siku iliyofuata Resh alimwambia Eve.



    "He! makubwa haya,imekuwaje kwan shoga" aliduwaa.



    "Mi sijui lakin nataka kwenda tu" alisema Reshmail "Haya lini wataka kwenda?"



    "Hata kesho mi naenda tu" "Mh! sikuwez haya jiandae kutoroka coz ruhusa hapa kupata sahau" "Vyovyote poa ninachotaka ni kuondoka na kwenda Mwanza that's all" alijibu kijasiri Resh hali iliyomduwaza eveline.



    * * * * * *



    "Reshmail hayupo? mbona jana alikuwa hapa ofisin?" mwalimu wa zamu alikuwa anamuuliza mwanafunzi aliyeagizwa kumuita Reshmail baada ya mama yake kuwa amefika,"Hata mi sijui mwalimu"



    "Hapana sio jambo la kawaida reshmail kutokuwa mazingira ya shule tena jumatatu! hebu mwambie time-keeper agonge kengere mara moja" aliamrisha mwalimu.



    ******



    Hakuwa hata na chembe ya utani Reshmail wa watu,majira ya saa moja asubuhi tayari alikuwa kwenye gari la KIMOTCO ninalotoka Arusha kwenda Musoma kwa kupitia Mugumu Serengeti,kitu kinachoitwa hofu moyoni hakikuwepo hata kwa mbali,



    Ndani ya kipochi chake kidogo alikuwa na pesa taslimu za kitanzania shiling laki mbili zikisindikizwa na kadi ya viza ya CRDB iliyokuwa na uwezo wa kutoa shiling laki tano kwa siku mara nne yaani milioni mbili zilikuwa zimehfadhiwa katika acount yake ya akiba.



    Mamaa wa shughuli (Eveline) alikuwa pembeni ya Reshmail,hofu kwake haikuwepo wala hakuiwaza tayari alikuwa mzoefu wa mambo hayo.



    "Eveline yani akili ndo inakuja sasa hivi eti kwa nini tusingepanda ndege dah! gari linaenda taratibu hilo jaman"



    alilalama Reshmail kwa wananch wa kawaida waliomsikia walidhani ni mashauzi na majigambo ya watoto wa kike



    "Mh? shoga ulivyokuwa na hamu ungekumbuka hayo,tutafika weye acha papara"



    Gari lilizidi kuchanja mbuga za ngorongoro kwa kasi ya kawaida hadi majira ya saa saba tairi chakavu za gari hili zilikuwa tayari kwenye mbuga za Serengeti.



    Resh alikuwa macho anatazama safari inavyokwenda huku akihesabu masaa yanavyokatika kwa kasi huku mwisho wa safari ukiwa haufiki.



    Eve yeye alikuwa ameuchapa usingzi huku akiwa amejifunika uso wake kwa kofia yake nyeusi ambayo vumbi ilikuwa imeibadili rangi yake na kuwa ya ugoro.(Brown).



    "Eve Eve Eve,amka uone wewe" Resh alikuwa anamwamsha kwa fujo.



    "Angalia hii sms imeingia sasa hv" "Resh mazako kaja unatafutwa uko wap?"



    jasho jembamba likaanza kumtoka Resh lakin Eve hakushtuka sana.Walikuwa wametumiwa ujumbe mfupi na mmoja wa viranja."Eve tumeisha tumeisha"



    * * * * * * * *



    Ulikuwa mshikemshke wa ghafla pale shuleni mwalimu aliamuru kila mmoja aje mstarini hata kama ni mgonjwa,viranja walitii amri na kuita wanafunzi wote kwa haraka hakuna hata mwanafunzi mmoja aliyebaki ndani ya bweni.



    Wakiwa hawajui nini kinachoendelea mwalimu wa zamu aliyeitwa Mwl.Chipeta alikuwa mbele ya wanafunzi waliokuwa kimya kumsikiliza yeye.?Kabla sijatoa tangazo hili,ni nani anatambua mwanafunzi ambaye hayupo eneo hili? (Kimya)



    "Nani anaumwa na amepewa ruhusa?" (Kimya)



    "Kwa hyo wote mpo?" (Ndiooo)



    "Haya mchepuo wa H.G.E wote pita mbele" aliamuru mwalimu Chipeta na kwa haraka wakaanza kujongea mbele.



    "Mamaaaaa,"



    ghafla kelele ilisikika kuna mwanafunzi aliyekuwa mgonjwa alikuwa ameanguka chini kwa sababu ya kizunguzungu.Ustaarabu ukatoweka pale ghafla kila mwanafunzi akawa anasema lake,mara hivi mara vile. Hata mwalimu Chipeta alitimua mbio kuelekea kwenye tukio.



    Ni wakat huohuo Joyce ambaye alikuwa kiranja alipata mwanya wa kutuma ujumbe kwa Reshmail kumpa taarifa.

    *****?



    Roho ilikuwa inamdunda Reshmail kwa kasi sana,aliamin kila kitu kitakuwa wazi na atafukuzwa shule,



    "Eve watanielewaje wazazi mie mh! nimerokoroga" alijisemea Reshmail.



    "Upo na steringi lazima tushinde haka kavita kadogo" Eve alimpa moyo wa ujasiri Resh,"Naomba hiyo simu si ina salio kidogo"



    "Imo elfu tatu" Alijibu huku akimpa simu Eve.



    "Sihitaji zote hizo natumia shiling 60 tu hapa"Alijibu kwa jeuri Eve huku akionekana kujiamini zaidi.



    "Sasa hyo 60 itafanya nini shogangu au umesema elfu sitini?"Alitania Resh na wote wakajikuta wanacheka.



    "Dakika tano nyingi majibu mazuri yatakuja,chukua simu yako ikiingia meseji uisome mi nalala bibie tuliza roho yako hii sio movie ya kihindi eti stering anauwawa,hili picha la kichina stering anachomwa kisu bado anapona" alimaliza Eve na kushusha kofia yake ikafunika macho.



    Ni kama alivyosema dakika tano zilikuwa nyingi sana ujumbe kujibiwa



    "Na ufanye kweli mi narekebisha mambo nyie tanueni kwa raha zenu na pia kuhusu yule wa H.G.L vipi?" ulisomeka ujumbe.



    "Mungu wangu amakweli Eve steringi jamani yaani kirahisi hvyo" alijisemea Resh kwa sauti ya chini akidhani Eve amelala tayari "Futa sms ya huyo mjnga nitamalizana nae" kwa saut ya kivivu Eve alimwambia Resh.

    ****

    Ndege ya Precion Air ilikuwa inaondoka kutoka Musoma kwenda Dar-es-salaam kupitia Mwanza majira ya saa kumi na moja wakati basi la KIMOTCO lilifika saa kumi na nusu jioni,Resh aliona akipanda gari anaweza kuchelewa kwa Adam Mwanza japo hata umbali wa Musoma kwenda Mwanza hakuufahamu."Resh ndege ya wapi tunapata sasa hv jaman" Eve alimuuliza Resh wakiwa ndani ya 'Teksi? kutokea stendi kuu ya Musoma maeneo ya Bweri.



    "Tunajaribu steringi wangu"



    "Haya!! utamu na uchungu wa mapenzi mwachie aliyeyabeba" alitoa fumbo Eveline.



    "Dereva dereva zuia kidogo tafadhali" ghafla Resh alimwomba dreva naye bila hiana akazikanyaga breki bila kuuliza kulikoni. Mbio mbio Resh akashuka akaanza kutimua mbio kurudi nyuma huku akiwa peku viatu ameacha garini Eve,Dereva na wananchi wengine wakabaki kumshangaa.



    ?

    ****************************************



    Mwalimu Chipeta aliongoza zoezi zima la kumshughulikia mwanafunzi aliyeanguka pale mstarini,shule ya Arusha international ilisifika sana kwa kujali afya za wanafunzi hivyo tukio lile lilisababisha Mwalimu Chipeta kumsahau kabisa Bi.Gaudencia mama yake Reshmail na kwenda kushughulika ipasavyo kwenye lile tukio,



    Aliyekuwa ameanguka alikuwa Naomi Holela mwanafunzi aliyekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua na pale kilikuwa kimembana hasa kutokana na baridi iliyokuwepo nje.



    Gari ya shule ilifika haraka Mwalimu Chipeta na viranja wawili pamoja na 'matron' walimsindikiza Naomi hospitali.



    Akiwa ndani gari Mwalimu Chipeta alisikia simu yake ikitoa mlio wa kupokea ujumbe mwanzoni alipuuzia kutokana na ubize uliokuwa ukimkabili lakini punde alitoa simu yake na kufungua ujumbe ulioingia



    "Niaje ticha mi Wa ukweli nipo na Resh mbali kimtindo kama vipi rekebisha mambo huko mi nikija nakuletea geto yule Amina wa H.K.L,niandalie tu mapene yangu" uso wake ulisahau matatizo yote yaliyokuwa mbele yake, ni muda mrefu sasa tangu Mwalimu Chipeta muhitimu wa shahada ya elimu ya fasihi andishi katika chuo kikuu cha Dodoma alikuwa amemfukuzia binti mrembo wa kawaida tu Amina bila mafanikio tegemeo lake alikuwa ni Eve au Wa ukweli kama walivyomzoea ,bila kupoteza muda Chipeta alifungua sehemu ya ku'forwad' meseji na akaituma kwa Mwalimu Madege ambaye wote lao lilikuwa moja, alikuwa ni mwalimu Madege aliyeijibu ule ujumbe na kuulizia kuhusu yeye na mpango wa kumpata binti wa H.G.L.



    "Samahani wewe ndio mama yake na Reshmail "Mwalimu Madege aliuliza baada ya Bi. Gaude kuingia katika ofisi ya makamu mwalimu wa zamu .



    "Ndio ni mimi baba"



    "Kwanza samahan sana kwa usumbufu uliojitokeza"



    "Usijali na mimi niwape pole kwa matatizo yaliyojitokeza hapa"



    "Tunashukuru ndio mambo ya shule haya,eeh! mama nimepokea ujumbe sasa hivi kwamba mwanao yupo katika mbuga za Serengeti ambapo wanafunzi watano waliofanya vizuri walipelekwa kufanya utalii wa siku tano" alidanganya mwalimu Madege.



    "Jaman huyu mtoto mbona hakuniambia?... baba yake atafurahi sana akisikia maendeleo ya mwanae"mama Resh alijieleza kwa furaha iliyozidi wasiwasi aliokuwa nao.



    "Tuliwashtukiza hawakuwa na taarifa hata wao wameshangaa mno" aliendelea kupanga maneno huku akichorachora mezani kwa kutumia karamu isiyokuwa na wino.



    Moyo wa mama Reshmail uliridhika japo mwili ulikuwa na kinyongo kwa kukosa haki yake. Ilimbidi siku hiyo hiyo afunge safari kurudi jijini Dar na zawadi alizokuwa amemletea mwanae zikiwa mikononi mwake.



    * * * * * *?



    A.T.M ya N.B.C aliyoiona maeneo ya Nyasho ilimkumbusha kuwa kadi yake ni 'VISA' inafanya kazi mashine ya A.T.M ya benki yoyote bila kujali macho ya watu alitimua mbio pekupeku hadi kwenye mashine ambapo kwa bahati nzuri hapakuwa na foleni na mtandao ulikuwepo "You can withdraw up to 1000000 with your A.T.M card daily N.B.C WE CARE" kijitangazo kwenye kioo cha mashne kiliibua tabasamu la Reshmail,na bila ajizi akabonyeza chaguo la kutoa laki tano kwa mikupuo miwili na kutimiza kiasi cha milioni moja.



    kisha kwa mwendo wa mbio kama alivyoingia akatoka akisindikizwa na miluzi ya wauza mitumba wa Nyasho ambayo kwake haikuwa na madhara hata chembe



    "Samahani safari yenu imeahirishwa tafadhali hadi kesho asubuhi!" sauti nyororo ya mwanadada wa mapokezi aliyehusika na masuala ya Booking aliwaeleza mwanaume mmoja aliyekuwa na mpenzi wake wakitegemea kusafiri muda mfupi ujao kwenda Mwanza.



    Sura zao zilizokuwa na furaha zililegea na kuwa kama watakavyokuwa pindi wakipata wajukuu,"Haiwezekani huu ni upumbavu tena ujinga ujinga ujinga,yani safari yangu inahairishwa ghafla kama vile safari za baiskeli,hapana sipo tayari nas...."



    "shhhhh!!" kwa ishara ya kidole kimoja kuziba mdomo alinyamazishwa yule baba aliyetaka kuugeuza ukumbi ule uwanja wa mapambano na matusi.



    Kwa ishara nyingine yule dada akamwita akasogea pale alipo akamnon'goneza "Unawaona wale wasichana wawili,mmoja kimada wa mtoto wa raisi mwingne mtoto wa kamanda wa jeshi ni simu kutoka ikulu,kwa usalama wako acha kelele" alimwambia huku akimwelekezea walipo Resh na Eve.



    Bila kuhoji huku uoga ukimtawala hadhi yake ikashuka haraka haraka akamvuta mkewe wakaondoka wakawapisha kwa mbali Resh na Eve kama vile wanatema cheche za moto.





    Ni kweli nafasi zilikuwa zimejaa lakini pesa iliongea nafasi ya mtu mwingine wakapewa wao tena harakaharaka,huku mtendaji wa jambo hilo akiweka shilingi laki mbili na nusu kibindoni.



    Huku Resh na Eve wakipata nafasi katika ndege ya Precision Air kiulaini,kwa mara ya kwanza Eve anapanda ndege



    "Mh! ushoga nao raha wakati mwingine? alijisemea wakati muhudumu wa ndani ya ndege akitoa maelekezo madogomadogo.



    Ilikuwa kama safari ya kutoka Kimara Dar kwenda Mbagala,tayari walikuwa jiji la Mwanza



    "Eve rushwa tamu wewe,naamini haitaisha ona sasa tupo Mwanza tayari"



    Resh alimwambia Eve wakati wanasafisha macho yao wajue nini cha kufanya baada ya kushuka kutoka kwenye ndege.



    "Hoteli yenu ni nzuri?" Eve alimuuliza muhusika aliyekuwa ndani ya kigari kidogo kilichoandikwa Millenium Hotels kilichokuwa hapo kwa lengo la kutafuta wateja wanaotua na ndege uwanjani hapo,



    "Ni nzuri sana hautajuta kuwa pale.?



    "Mh! haya,Resh twende giza linaingia" Eve alimwita Resh wakajitoma ndani ya gari na safari ikaanza.



    "Darling umetoka kwenye michezo tayari pole mpenzi" ulikuwa ujumbe mfupi kutoka kwa Adam kuja kwa Resh,tabasamu pana likameza mdomo wake looh! lilikuwa tabasamu lililoelezea furaha ya moyo.



    Adam alituma ujumbe huo akijua Resh yupo shuleni tena ilikuwa siku ya michezo ambayo Resh alipenda kushiriki hasahasa mpira wa kikapu.



    "Mamaaaaa!!"

     

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog