Search This Blog

Friday, November 18, 2022

KILIO CHANGU - 1

 







IMEANDIKWA NA : DEO MASSAWE



*********************************************************************************



Simulizi : Kilio Changu

Sehemu Ya Kwanza (1)



Ilikua siku ya tarehe 6 mwezi wa pili,siku hiyo kwa wanafunzi katika shule mbalimbali walifanya maadhimisho ya kupinga vitendo vya unyanayasaji wa wanawake hasa kitendo cha ukeketaji kwani tarehe hiyo ndo ilikua maalumu duniani kote. Katika shule moja ya msingi iliyopo Tengeru mkoani Arusha basi kulifanyika maandamano ya wanafunzi huku wanafunzi wakishika mabango yenye maandishi mbalia mbali ya kukataa vitendo hivyo. Katika maandamano hayo kulikua na mwanafunzi aitwae Genes aliekua darasa la saba, nae alikua kiongozi wa maandamano hayo yaliyokua yanaanzia Tengeru hadi uwanja wa sheikh Abed uliopakana na kituo kikuu cha mabasi ya mkoani. Walipofika maeneo ya Sanawari basi wanafunzi wote walisikitika kumuona msichana anaeshangaa maandamano huku akilia kwa sauti ila hawakujua analia kwa sababu gani,Genes alipomchunguza aligundua ni msaidizi wa kuuza vyakula kwa mamalishe kwani alisimama pembeni ya viombo na mwenyewe alibeba vikombe na maji, http://deusdeditmahunda.blogspot.com/"huyu mtoto mzuri mbona analia mwenyewe,? ngoja siku nikija mjini nitampitia hapa nikuulize maana ni mzuri sana " Genes alikua tayari kashaanza kutamani wanawake kwani ndipo alifika umri wa kabalehe kwa hiyo alisemea tena "nakuja kuongea nae tu na kigezo ni hiki hiki kumuuliza kwa nini ulikua unalia? na lazima ataongea na mimi maana huku shuleni nikiongea na akina asha wananambia bado sijakua mara sijui kaoge" alijisemea huku akiendelea kuongoza kundi la wanafunzi wenzake kuelekea Uwanja wa Sheikh Abeid, Baada ya ule msafara kupita eneo lile la Sanawari alipokua analia mtoto wa kike mama mmoja alifoka, "we Miriam nakufukuza kazi sasa hivi, nakwambia osha vikombe nawe unaanza kulia hebu fanya kazi wewe huoni kama nakulea kama mama yako" aliongea mama huyo mbele ya huyo msichana wa kike aitwae Miriam na hapo Miriam alijikaza na kuendelea na kazi zake huku akiomba mungu aendelee kumpigania hadi siku ya mwisho kwani aliishi maisha ya mateso na alilkua mtu kulia mara kwa mara ingawa hata mama aliyekua anaishi nae hakujua sababu ya Miriam kulia ovyo na mama huyo hakuwahi kimbembeleza kujua kinachomliza mara kwa mara labda kutokana na kua sio mama yake. Jioni ilifika na wanafunzi wa shule ya akina Genes walikua tena katika maandamano ya kurudi kurud shuleni na hapo Genes alikaa makini kuangalia sehemu aliyopo yule msichana, "nataka nimuone huyu mdada tena kama atakua amenyamaza" alijisemea moyoni. Kwa mbali alimuona na ghafla akamshuhudia tena kaanza kulia na mbaya zaidi alimuona mama alietoka na mwiko na kumpiga kichwani huku akiambatanisha na maneno makali ambayo yalimsikitisha Genes "pumbavu zako we mtoto wa kike ina maana ukiona watoto wa shule unaanza kulia hapa kazini kwangu umekuja kulilia shule au umekuja kufanya kazi? ebooooh kama ungetaka kusoma shule ungebaki kwenu usome shenzi wewe peleka wateja maji ya kunawa mikono na saiv nitakufumua futikaaaaaa!" alifoka sana mama huyo nao wanafunzi kama kawaida wakiona mtu anapigwa walianza makelele, "oyoooooo,!! weeweee!! hasira za mumeo usimtolee mfanyakazi wako weeweeee" walicheka sana na kufurahia ila Genes pekee alidondosha chozi kuona jinsi msichana mdogo kama yule anavyoteseka kwani ingebidi mda huo awe shule. Usiku huo Miriam alilala huku akiwa na mawazo sana kwani alijiona kama sio mtu huku duniani kwa mateso aliyokua anapata alifkiria maisha aliyopitia tokea akiwa mtoto na alifikiria kitendo kilichomfanya awe mazingira yale kwa mda ule na kuona kweli amepitia mengi, "sasa nitateseka hivi hadi lini, heri ningebaki nyumbani tu nikakubaliana na ile hali iliyojitokeza ila huku nafanyishwa kazi ngumu huku nikiteswa kiasi hiki ni bora ningekubaliana na ile hali ya kule nyumbani" alijisemea Miriam huku akikumbuka yaliyomtokea maishani mwake hadi yeye kuwa mazingira yale hivyo kutoa machozi kwake ilikua sawa na mtoto wa tajiri kutabasamu aonapo wazazi wamemletea zawadi. Genes nae usiku kama kawaida kitanda kimoja na mtoto wa Mjomba wake aitwae Dany hivyo alilala huku akiwaza kwa nini yule msichana aliwaona akalia na alitamani sana kujua kwa nini na pia alimtamani hadi awe mpenzi wake, alipotelea usingizini huku mawazo yakiwa kwa yule msichana. Mwendo wa saa kumi na moja asubuhi Dany aliamka kukojoa katika kopo lilokua mvunguni na kurudi kulala ila kabla ya kupotelea usingizini aliskia Genes akiwa anaongea ndotoni ila aliskia maneno yake tu nayo yalikua hivi "jaman mbona mchana ulilia hapa ulipigwa na mama yako kwani umemfanyaje ??" "aah unadanganya sasa we umenionaje kwenye kundi la watu wengi vile na ukiniona sasa unalia ?" "me nilikupenda sana na nikasema nitakuja kukubembeleza ndo mana leo nikaja hivyo tusogee hapo nyuma ili mama yako asije kunipiga mwiko" "sogea basi nikusalimie kwa busu kwani wewe huangalii tamthiliya za wazungu wanavyosalimiana" usinishike kidudu changu jaman naskia mkojo wa ghafla achia huko toa mkono wako nitakukojolea ondoaaa" Dany aliogopa kusikia kaka yake anataka kukojoa kitandani hivyo akaamua kumshtua. Genes alishtuka na kumkumbuka mwalimu wake wa darasa la tano wa sayansi alivyowafundisha kuhusu kubalehe na kuota ndoto pevu ambazo huja wakati asubuhi, "kweli mwalimu hakudanganya" Genes aliongea huku akikagua nguo yake ya ndani na kuikuta imechafuka. Dany yeye alikua hajui chochote kwani alikua anasoma darasa la tatu. "hakika huyu mwanamke lazima nitamtafuta tu aniambie sababu za kulia na kama ni msaada nitampa maana kaniotesha ndoto tamu huyu Dany hata amenishtua wa nini angeniacha nimalize hata kumpigia busu" alijisemea Genes huku akijiandaa na shule na siku hiyo ilikua ijumaa na jumamosi ndio alipanga kuenda kwa msichana aliemwotesha ndoto nzuri na tamu, "hii ndoto itakua Kweli tu siku moja ngoja kesho nimuibukie pale anapokaa ila sasa huyo mama yake hatanitoa na mwiko kweli ? ila me ndio chali ya Arusha naweza kukuibia soksi bila ya kukuvua viatu au kukuvua shati kabla ya koti" hakika Genes alipagawa ghafla kwa huyo binti hivyo alienda shule kisha jioni alirudi nyumbani mawazo yote yakiwa kwa huyo binti na kabla ya kulala akamuonya Dany, "we Dany siku ukiskia naongea usiku usinistue tena" "apana kaka niliogopa usije kukojoa kitandani maana niliskia unasema unakojoa" Dany alijibu "hata nikikojoa kwani we unafua mashuka ? we usiniamshe tena" Wote walilala huku Genes akiomba mungu aote tena ndoto ya usiku uliopita. Usiku huo ulikua zamu ya Miriam kuota jinsi alivyolia mbele ya wanafunzi waliopita barabarani na aliota akisema hivi, "we hapo mbona wenzako wananicheka na wewe unanililia au unanionea huruma?" "njoo nkupe mkono wa hongera" Miriam aliota akitamka maneno hayo ila alipotaka kunyoosha mkono basi aligusa ukuta na hapo akashtuka kwani alilala akiwaza kitendo kila na hapo sura ya Genes ilikua kichwani mwake.. Asubuhi ya tarehe 8 mwezi huo wa pili palikucha vizur na hali ya barid ilizoeleka katika jiji la arusha ila kwa Miriam kukaa jikoni mda mrefu alipenda kuvaa nguo nyepesi zilizoonesha chuchu kuchomoza kama mkuki ikilinganishwa ndio kipindi alivunja ungo. Wateja wakiume waliokuja kula chakula kwake walimtania kwa kusema "ziwa konzi mama kila saa ni saa sita je ukikua kidogo hatutauana kweli?". Maneno hayo yalimfanya Miriam awe anacheka cheka na kukimbia kuogopa mtu asimguse maana kila alipokua anaosha mteja wa kiume basi mteja hufanya kumgusa kwa mbali kitu kinachofanya aruke kama chura na anapomwaga maji basi mama mlezi wake humgombeza kwani pia mama aliona wivu kwa kila mwanaume kumtamani mtoto huyo, " yani kila mwanaume anamuona tu huyu mtoto ambae hajui hata kufua chupi na mimi mama lao nikiwa hapa?". Jumamosi hiyo Genes aliamka mapema akavaa zake ambazo Dany ndo alifanya kazi ya kumwambia umependeza au la hivyo alibadili nguo hadi pale alipojiona ametoka bomba, "huyu mtoto lazima anisikilize tu" aliongea Genes huku akitinga kofia yake na kuondoka hakika kwa uvaaji wake basi hakua mtindo wa mwanafunzi kwani alivaa suruali ya kubana na viatu vikubwa akawa anatembea kama mwanapolo alietoka Mererani kukagua migodi ya Tanzanite akapanda daladala ya kuelekea Sanawari.



"Sasa nitaanzaje na huyu demu maana kaniingia ghafla sana hebu kwanza niandae mistari nisiende kuaibika" Genes alijisemea akiwa ndani ya daladala tena siti ya mwisho,

"kwanza nitaanza kuagiza chai ili niweze kukaa eneo lile,alafu nikinywa nitaomba maji ya kunywa,ila sasa na hivi nilivyovaa nikiomba maji kwa mamalishe sintachekwa? ila mimi mtoto wa mjini bhana hapa ni kutumia akili tu" Genes aliendelea kuwaza mwenyewe huku akijipanga kuenda kumwona binti aliyemuona siku moja na kumpenda.

*********

Miriam alikua akiendelea na kazi na wakati huo alikua anakata kitunguu kwani ilikua mida ya kutengeneza kachumari kwa wale waliokua n uwezo wa kunywa supu asubuhi.

"we Miriam hadi nikupige pige ndo unaniskia nishakwambia uwe unakaribisha mteja sasa huyo mteja nimemuona amesimama hapo nje kwa mda na wewe upo tu" aliongea mama mlezi wa Miriam

"nisamehe mama cjamwona" Miriam alijibu huku akiangalia mlangoni,hapo alimwona kijana alievaa vizuri sana hadi mwenyewe akajiuliza "mbona tangia nimekuja hapa cjawahi hudumia mteja aliependeza hivi" hapo alimwonesha sehemu ya kukaa nae akakaa huku akiufunika uso wake wake kwa kofia na miwani kubwa basi hapo Miriam akahisi ni mtoto wa mkuu wa mkoa.

"nikuhudumie nini kaka" Miriam aliuliza kwa lugha ya kumbembeleza mteja,

"nipe maziwa na chapati moja laini ya moto kiasi" Genes alijibu kwa sauti ya upole hadi Miriam akafurahi kumhudumia mteja mstarabu na msafi asiependa uchokozi kama wengine walivyokua wanamchokoza,

"alafu huyu ni mtoto mdogo tu sasa itakua katoa wapi pesa za kununua nguo nzuri kama hizi?" Miriam alijuuliza huku akimmiminia maziwa.

"we Miriam nataka nitoke kidogo nafika hapo Ngaramtoni kutoa oda ya nyama na maziwa nakurudi hakikisha shughuli za hapa zinaenda vizur" mama mlezi wa Miriam aliaga akabaki Miriam na baadhi ya wateja walioingia kabla ya Genes hivo nawao wangeondoka kabla Genes.

"afadhali huyu mama kaondoka sasa lazima niongee nae vizur tena huko anakoenda harudi mapema" alijisemea Genes.

Mama kuondoka pale shughuli kwa Miriam zilikua nyingi hivyo alihangaika huku na huko,

Licha ya watu wote kuondoka na Genes kubaki tu na Miriam pale aliogopa kuongea kitu ila kwa bahati mbaya Miriam alimwagikiwa na mafuta yaliyokua yakikaanga mapaja ya kuku na hapo Genes alihitajika kumpa msaada kwani Miriam alipiga kelele za uchungu maana aliungua miguuni kuanzia magotini,Genes aliinuka na kumfuata haraka

"hapana usinishike kaka nitakuchafua alafu mama yangu akija atanifukuza kazi we endelea kunywa tu chai yako" Miriam aliongea huku akijirusha kukataa msaada wa Genes,lakini Genes licha ya kukataliwa masaada alifungua kabati na kwa haraka alitoa yai bichi na kulipasua kisha kumpaka kama huduma ya kwanza..http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

"jaman angalia ukijichafua mama yangu akija akiniona ukinisaidia basi atanipiga naomba uniache tu chukua sabuni hapo unawe mikono" Miriam alimwambia Genes huku akiwa bado na maumivu,

"hakuna shida hata nikichafuka nitanawa tu kwani afya yako ni muhimu sana,kwani huyu nj mama yako au ni nani kwako sikaaga kuenda Ngaramtoni ?" Genes nae aliongea kwa mfumo wa maswali,

"huyu mama ni historia ndefu imenifanya niwe nae" Miriam aliongea kwa upole huku machoz yakianza kumtoka upya,

"hebu niambie kwa kifupi maana leo sio mara ya kwanza kukuona,pia kwa leo nilikuja hapa ili kuzungumza na wewe maana juzi tulipita hapa wanafunzi wengi nikakuona unalia ndo leo nikapanga nije kukuona na kukuuliza sababu ya kulia" Genes aliongea kwa sauti ya kubembeleza

"hebu vua kofia yako" Miriam aliongea kwa mshtuko huku akivuta kumbukumbu ya sura ya kundi la wanafunzi waliokua wanaandamana ambapo kuna mmoja aliemuonea huruma ambapo pia alimuota usiku huo,

"ha kumbe nini wewe hata hufananii mwanafunzi jaman umependeza sana" Miriam aliongea huku akiwa na aibu kwani hakutarajia kama angekua yule mwanafunzi ambae ashwahi muona akipigwa na mwiko,

"asante sana ingawa sijapendeza,ondoa mikono machoni basi Miriam kwani siushapona simama ukae hapa unambie kwa nini ulikua unalia juzi maana mimi sikufurahi hata kidogo" Genes aliongea huku akimwinua Miriam na kumkalisha kwenye kiti,

"mimi nimekwambia ni historia ndefu sana,sasa hata nikikuelezea wewe huwezi nisaidia" Miriam alijibu kwa unyonge.

"we nieleze tu hata kwa kifupi alf tuangalie namna ya kukusaidia kwani nitaongea na baba yangu akisaidie" Genes aliongea kwa huruma na hapo Miriam alipata moyo wa kumuelezea kwa kifupi,

"ngoja tukae basi hapa vizuri nikuelezee japo kwa kifupi ili niweze kuendelea na kazi zangu maana mama akija atanichapa" Miriam alisema

"we nielezee tu maana mama yako huyu hatarudi mapema sababu Ngaramtoni ni mbali kidogo kutoka hapa" Genes alimuelewesha Miriam umbali wa pale Sanawari na Ngaramtoni na hapo ndipo Miriam akaamini mama hatarudi mapema hivyo alizima majiko yote tayari kwa kuongea,hivyo walikaa kwenye kiti kikubwa cha wateja na hapo ndipo Miriam alianza kumuhadithia.

********

Katika barabara ya kutoka Sanawari kuekekea Ngaramtoni mama mlezi wa Miriam alipanda daladala ambapo alikaa kiti cha dirishani kwa huku akiongea na mtu kwenye simu,

"Sasa hapa nipo kwenye daladala mataa ya Mianzini, naomba uwe makini kunisubiria kwa simu maana mwenyewe............" kwa bahati mbaya kumbe aliongea na simu huku kioo cha gari kikiwa wazi hivyo simu yake ikawa imedokolewa na vijana waliokua wanatega maeneo yenye foleni hasa hasa kweye taa za barabarani, hapo hapo mama hakua na sababu ya kuendelea na safari tena kwani alikua anaenda kuonana na mtu ambae wamejuana tu kwenye simu na alimfuata kufanya nae ngono ili aweze kujiingizia kipato kwani kazi yake ya kuuza chakula haikukidhi mahitaji yake kutokana na kunyanyaswa na viongozi wa jiji na manispaa.

Alishuka kwenye gari na kuvuka upande wa pili kupanda daladala ya kuenda Sanawari,

"huyu binti nimemuaga naenda kuchukua nyama sasa narudi bila simu hakika mungu hapendi haya mambo ya kujiuza" Mama mlezi wa Miriam aliongea huku akizipongeza sehemu zake za siri kwa kuponea chupuchupu kwa siku hiyo na hapo akapata fundisho la kuongea na simu pindi awapo kwenye gari,

"twende twende twende Sanawari Maji ya chai Tengeru hadi USA tunafika panda mama malizia siti moja hapo twende twende mama ingia na viatu" yalikua maneno ya konda ambapo mama Miriam akipanda daladala hiyo,

"huyu mtoto sijui nitaeda kumkuta kaunguza au kaepua kibichi alisema mama huku akiwa kakunja uso kwa hasira.

**********

"kwa kifupi mimi naitwa Maria Lizery, nilizaliwa Manyara,na kuanza kusoma huko huko ila nilipofikia darasa la nne nilikimbia nyumbani kwa kuogopa kufanyiwa tohara yaani walitaka kunifanyia mila ya kumkeketa mwanamke lakini nilikichukia sana kitendo hicho ambacho dada yangu alifanyiwa ila kwa bahati mbaya akavuja damu hadi akafa,pamoja na kitendo hicho kulikua na mbaba aliekuja kwetu kuniandaa kua mke wake ndio maana niliamua kukimbia na kuja hapa Arusha mjini kukwepa mila hizo, najuzi mlipopita hapa na mabango yenu nililia sana hadi usiku nilikuota kwa kitendo chako cha kunionea huruma klinifariji sana sababu tokea naishi mimi sijawahi onewa huruma na mtu zaidi ya kuchekwa na kila mtu" Miriam alishindwa kuendelea na maongezi akajikuta anainama chini akilia machozi.

"sawa Miriam usiogope nitakusaidia kwani kuna shirika la afya linaitwa WHO (world Heath organization) na lilituma mwakilishi wake alietuachia namba zake za simu katika tamasha la juzi sasa nitawasiliana nae aweze kunisaidia usiteseke tena kwani alipinga sana kitendo cha ukeketaji kwani huhatarisha sana maisha yako" Genes aliongea kwa huruma sana akilengwa lengwa na machozi kwa kujua tatizo la msichana yule ila pia alifurahi kusikia Miriam kamuota usiku kama yeye pia alivyomuota. Waliendelea kuongea hadi Miriam akajisahau kuendelea na kazi.

********

"We mama vipi tunaenda ofisini haupo mbona unatukalisha na njaa?" aliongea kijana mmoja alipokutana na mama Miriam

"kwani msichana wangu hayupo hapo ? nilieda hapo Mianzini kwa haraka ila mbona ofisini msichana nimemwacha!?" alijibu mama Miriam kwa mshangao,

"msichana wako wako yupo ndio ila yupo na kisharo fulani hivi wanapiga stori namuuliza ugali upo anasema mama hayupo eti,kijana mwenyewe ni mdogo tu ila anampapasa miguu" huyo kijana alimueleza mama Miriam.Kumbe wakati huyo mteja anaenda ndipo Genes alikua anampaka Marian yai bichi.

"haa anapapaswa miguu ?hebu twende nikamuone huyo mwanaume mwenye jeuri ya kucheza na binti angu ina maana nae huyu binti anaanza kunizibia riziki zangu? huyo mwanaume angekuja kupapasa hii yangu iliyoshiba" alifoka mama Miriam huku akiongeza mwendo kwani alikasirika zaidi ukizingatia kaibiwa simu.



"sasa mimi nataka kuondoka saiv basi,ila nimekupenda sana nataka tuwe wachumba" alisema Genes huku akiwa na aibu sana,

"mimi naogopa mama asijue maana ananitesa sana" Miriam nae alijibu kwa aibu,

"wewe kuhusu mama usiogope maana kwanza nitaenda kuongea na wale viongozi wa afya na watetezi wa haki za wanawake ili wakutetee upate haki zako za msingi,pia nahakikisha hutapigwa tena na huyu mama ovyo, sawa Miriam ?" Genes aliongea kwa kubembeleza

"sawa nimekubali maana hata mimi nilivyokuona mara ya kwanza nilikupenda sana,sasa naomba basi tupendane usicheze na wasichana wengine wala kuongea nao huko shuleni ili usije kuniacha,Miriam aliongea kwa hisia huku akiwa na uso wa furaha,

"sawa Miriam sitacheza na wanawake hata kidogo, sasa chukua hii namba ya simu unitafute mda wowote" Genes aliongea huku akitoa karatasi yenye namba za simu na kumkabidhi Miriam.

Miriam alipokea karatasi na kuificha kwenye pindo la sketi huku akisema ,

"mimi leo usiku nitaiba simu ya mama nikupigie nayo"

"sawa ngoja niende basi chukua hela ya chai" Genes aliongea huku akitoa hela ya maziwa aliyokunywa ila Miriam alijibu,

"we sikudai maana ni mume wangu".

********

"Pumbavu zako nani mumeo hapa leo utasema yote!" ghafla mama yake aliingia na kukuta Miriam ndo anaagana na Genes.

Genes alitoka nduki lakin hakuweza kumkwepa mama Miriam kwani alimwagiwa maji machafu usoni

"yaani we umeona mwanangu ndo anatoka maziwa tu unataka kuja kuchezea we ndo umemlea ?" mama Miriam aliongea kwa kufoka,

"jaman mama msamehe huyo hajanichezea hata wewe siumemwona saile" Miriam alisema

"na wewe kimya mshenzi mkubwa wewe nakwambia leo utanikoma unashindwa kutoa huduma ya chakula eti umepakatwa na mwanaume, tena mwenyewe mtoto mwenzako je akikupachika mimba hata hela ya kukupa ukatoe anayo?" Miriam alifokewa huku Genes akizibuliwa kibao kimoja kilichomfanya aanguke mtaroni, ila alijitahid kusimama na kukimbia kuelekea nyumbani.

************

"Huyu mtoto alikuja hapa kabla hajavunja ungo na sijawahi kumuona akiwa mwanaume wala kimhisi kama kashaanza kutoka na wanaume hivo basi lazima nimchunguze huyu leo usiku" alijisemea mama mlezi wa Miriam kimoyo moyo huku akitaka kumjua huyu mwanaume mdogo anaemchanganya Miriam.

Usiku ulifika na Miriam alikua akijiandaa kupumzika,ila kabla hajalala alishangaa mama yake kuingia chumbani ghafla bila hodi,

"we Miriam leo asubuhi nimekufikiria sijakupatia jibu yule mwanaume ulikua nae anakupa hela au anakuja hapa kukupakata bure tu"

"hapana mama kweli hajawahi kunipakata hata siku moja" Miriam alijibu kwa huruma ya kushawaihi ili asipigwe,

"je hajawahi kukulalia?"

"hapana mama hajawahi hata"

"hebu njoo hapa maana ulikuja hapa ukiwa bado mdogo nataka nikukague kama bado wewe hujawahi kukutana na mwanaume" mama Miriam alisema huku akikitazama kidole chake cha kati,

"sasa mama unataka kunifanyaje?"Miriam aliuliza kwa unyonge

"we nakwambia njoo hapa vua nguo zote leo utajuta na umalaya wako hata kama unalaliwa mbona pesa unayopata sioni?"

"apana mama mimi sitaki kufanya hivo na hata kama nikifanya sitaki kujiuza mama" Miriam aliongea kwa hasira kwani hakutaka kufananishwa na wanawake wanaojiuza,

"Hujiuzi eh pole huyo mwanaume wakumpa mwili bure ni wawapi au ana nini ?" mama alijibu kwa hasira huku akimvua nguo kwa hasira.

Alilainisha kidole chake kwa mate kisha akaanza kukiingiza kwenye uke wa Miriam,nae Miriam hakua na chakufanya kwani alishazoea mateso na alijua pale atakapogoma basi atapigwa au kufukuzwa.

Alianza kulia kwa chinichini huku akijikaza sana kwani aliskia maumivu makali sana,

"we hujawahi kweli kulala na mwanaume au umejua nachotaka kufanya ukajipaka malimao?" Mama Miriam aliongea hayo huku akitoa kidole chake na kumwauru Miriam akinyonye kukisafisha.

"wewe hebu safisha hiki kidole changu umekipaka mkojo wako" aliongea kwa hali ya furaha, na kisha kutoka chumbani kwa Miriam.

"sasa hapa tayari nina elfu yangu hamsini" alijisemea kimoyomoyo mama Miriam kwani aliahidiwa pesa na mwanaume ambae hakuwahi kutoa mwanamke bikra hivyo mama Miriam katika shughuli yake ya kujiuza ndipo alikutana na hiyo tenda, nae alitafuta kwa mda ila kwa kukosa wengine basi aliamua kuja kwa Miriam na hapo akafurahi kwani kilichobaki ni namna ya yule mwanaume kukutana na Miriam tu naye apate elfu hamsini yake.

"Hello we Faridi mbona nakupigia simu unaringa kupokea?"

"hapana dada nilikua barabarani ndo nimeweka gari pembeni saiv,nambie"

"sasa nimepata katoto kenye bikra yaani kwanza kenyewe ukikaona utadata mwenyewe maziwa nyenyewe ni mchongoma yaani nimeamua kukupa mtoto wangu kabisa"

"haaa! mama kweli au unatania maana nishaitafuta kitu hiyo kwa mda nijue inakuaje tu ila sijawahi kufanikiwa kuipata kabisa, sasa saivi njiani kuelekea Rwanda na Burundi kisha nitafika Kongo,hivyo nitamaliza mwezi mmoja ndo nirudi huko Arusha sasa kazi kwako kumtunza ili wasije wajanja kufumua",

"we usihofu mimi ndo mama la mama kila kitu kwangu mpango mzima ni hela yako tu hapa utakua umekula mama na mtoto, na siunajua utamu wangu sasa hiki kitu ndo kwanza kinaepuliwa jikoni wewe ndo wakuchana kwenye karatasi" simu ilikatwa na mama Miriam alifurahi sana kwani yeye katika biashara yake ya kujiuza alikua pia anafanya kazi ya kutafutia wanaume aina mbalimbali za wanawake pale wanapohitajika.

********

Genes alifika nyumbani kupitia mlango wanyuma kujificha ili asionekane na mtu kwa jinsi alivyomwagiwa maji machafu usoni.Baada ya kuoga aliichukua cm yake na kuanza kukaa macho ili apigiwe cm na Miriam aelezewe kama wamemuacha mzima,

"mbona huyu hapigi simu au amesahau kwa kipigo kile nini?" Genes alijisemea huku akipata tamaa na kulala.

********

"Haya leo mwanangu jumapili ni siku ya kufua nguo hivyo mimi nakufulia zote" mama Miriam aliongea kwa huruma mbele ya Miriam hadi akashangaa kwa nini mama kawa na upendo wa ghafla hivo kunani,

"sawa mama ngoja me nioshe vyombo" Miriam alijibu,

Mama Miriam alianza tabia ya kumwonesha upendo uliopitiliza kwa sababu ya kumuandaa ili aweze kuja kujipatia zawadi yake,

"huyu mtoto ataniingizia hela ndefu hivyo ngoja nisimkasirishe asije kukimbia,najua nikiwa nae karibu sana hata huyu mwanaume akija nitamshauri tu kua kuna mwanaume anataka kukuoa hivyo amkubalie kulala nae na Baridi alivyo muoga kutongoza lazima nipate pesa wewe " alijisemea mama Miriam huku akitoka na furushi la nguo.

"mama usifue hilo gauni langu,liache tu nitaja lifua mwenyewe" Miriam aliongea kwa mshtuko kwani alikumbuka namba za Genes zipo kwenye pindo la mojawapo ya gauni lake alilovaa jana yake,

"kwa nini nisifue?"

"apana mama hilo nataka tu kufua mwenyewe"

"sawa ngoja nililoweke tu uje kuanika mwenyewe maana naona hutaki mama yako achoke sana sieti mwanangu?"

"ndio mama sitaki uchoke hata usipoliloweka nitaliloweka mwenyewe tu usiogope mama"

"mwanangu usiogope nipo kwa ajili yako" alisema mama Miriam huku akilizamisha gauni kwenye maji,ila na hapo Miriam akawa kama kabadilika ghafla hadi mama akamuuliza,

"mwanangu umenuna nini tena ?"

"hilo gauni mama lina.............."

http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



"Hilo gauni lina mkojo,jana usiku nimekojoa kitandani," Miriam aliongea uwongo ilimradi asije kupoteza namba za Genes,

"jaman mwanangu mbona ukojoe kitandani jana akati uliacha kitambo?"mama aliuliza kwa upole,Miriam aliendelea kuwaza kwa nini mama amebadilika na kua mwema kiasi hicho,

"jana usiku mama ulivyonisukumizia kidole huku niliumia nahisi ndio maana nilijikuta nakojoa kitandani" Miriam nae alizidisha uongo. Baada ya hapo Miriam alishuhudia gauni lake likianza kusuguliwa tena kwa umakini maana kashadai lina mkojo hivyo mama yake alilifua kwa umakini wa hali ya juu ilimradi asimkwaze tu.

Miriam nae aliumia sana moyoni kwa kupoteza namba za Genes,

"sasa Genes ataniwaza vibaya, yaani hadi amwagiwe maji machafu kwa ajili yangu alafu nimkatae? hapana" alijisemea moyoni Miriam.

********

Genes alikaa na mawazo huku akili yake ikitawala jina Miriam,

"hakika haka kademu kasiponipogia simu nitajua kalinichora tu na kunicheka jinsi nilivyopigwa kofi kubwa na kunyeshwa maji machafu" alijisemea Genes huku akirudisha daftari zake kwenye mkoba kwani alizitoa kwa ajili ya kusoma ila hakuweza kusoma kitu,

"ah kesho acha niwe wa mwisho mimi siwezi kusoma kichwa changu hakipo" alijisemea Genes kwa kukata tamaa kwani kesho yake jumatatu kulikua na jaribio la hesabu.

********

Baada ya mama Miriam kuanika nguo basi alitoka kutembea nae Miriam alipata nafasi ya kuenda kukagua kwenye lile pindo kama atafanikiwa kuipata iamba ile, ila hakufanikiwa kwani aliikuta karatasi umekatika vipisipisi, hakua na lakufanya,

"heri huyu mama angeendelea kunitesa tu maana ningefua nguo zangu mwenyewe" Miriam alijisemea kwa hasira kisha kuanza maandalizi ya kulala kwani tayari ilikua jioni na kama jumatatu huwa ni siku ya kazi hivyo jumapili huwahi kulala.

Mama Miriam alipunguza tabia ya kulala kwenye starehe,ilimradi akae akimchunga Miriam asije kutana na mwanaume na kumharibia mpango wake,

"angalau saivi huyu mama hatoki tena usiku kwenda kwenye vikoba maana nilikua muoga kulala mwenyewe ndani" akijisemea Miriam.

**********

Baada ya wiki mbili kuisha Genes alishindwa kuvumilia na alitamani kurudi pale kijiweni kwa Miriam lakini aliogopa kipigo,

"labda itakua alipigwa sana na mama yake ndo mana hata kanipotezea,sasa mimi nashindwa hata kusoma mpaka nimuone huyu angalau hata nimsaidie aweze kupata haki zake kwani pale alipo anateseka sana" Genes alijisemea akiwa kujilaza kwenye dawati.

Mama Miriam siku moja alitoka kwenda kujiuza,kwani kipindi hicho kulitokea ugonjwa wa kipindupindu uliosababisha vubanda vya kuuza vyakula vifungwe katika nchi nzima ya Tanzania,

"kila kitu leo ni mkosi tupu, yaani nakuja kupigwa na hii baridi yote ya usiku na sipati hata mia? ona watoto wadogo wanavyochukuliwa na matajiri dah kwangu wanakuja vibaka tu vinauliza kama naonjesha," mama Miriam alijisemea kwa hasira kwani alijipanga barabarani bila mafanikio yoyote hadi akawaza kumleta Miriam kule,

"umri wangu huu sasa naona umeenda saivi Miriam akija huku ndio atapata soko, sasa kibanda nimefunga leo siku ya tatu, kweli njaa itatuua sasa maana mtaji wangu ushakata" mama aliongea hayo akielekea nyumbani kulala hiyo ilikua saa kumi alfajiri "hebu ngoja nimpigie huyu dereva anaejiita Faridi nijue anakuja lini maana hali ya maisha inazid kua ngumu na mtoto anazidi kuiva tu" mama Miriam alijisemea huku akinyanyua simu yake mpya aliyoinunua,

"hallo unaongea na mama la mama hapa"

"ahaaa nambie mama la mama, mbona namba tofauti ?"

"we acha wahuni wa Arusha walinionesha cha moto juzi kati kwenye daladala"

"ahaa mama pole sana nipe habari"

"sina habari hata kidogo sema umechelewa kurud bhana na huyu Mtoto wako wakuja kupakata bado nazidi kumnoa kimawazo yaani wewe ukija unakula kilaini sana kama kutafuna big G kwa hiyo jitahid uwahi na uache uhuni wenu madereva wa malori nyie mnafanya sana umalaya,kila mwanamke mnakua mnamtaka hivyo ukichekewa zaid napandisha bei"

"wiki hii mwishoni nakuja mama maana nina hamu kweli, saivi nipo katika barabara moja iliyo katikati ya pori.

Hayo yalikua maongezi kati ya mama Miriam na dereva Faridi ambae ndie alitoa oda ya bikra ya Miriam. Na kwa mda huo alikua njiani kuelekea mjini Lubumbashi pamoja na utingo wake.

Katika hilo pori walilokua kulikua na hatari sana kwani makundi mbalimbali ya magaidi yalijificha huko mfano kikundi cha Mai-Mai, M23, hadi Boko haramu kutoka Nigeria.

Makundi hayo yalijikita katika pori hilo kwa ajili ya kuteka mali kama dhahabu na vyakula vilivyokua vikisafirishwa katika njia hiyo.

Utingo nae alikua na furaha ya Kukaribia mda wa kurud nyumbani kwani aliacha mke aliemuoa hata wiki haikuisha akapata safari hiyo basi nae alikua na hamu ya kurudi ili akaendelee na mapenz yakiwa bado ya motomoto nae dereva alikua na furaha kwani alikua anaenda kuonja kitu kwa mara ya kwanza.

Kwa umbali dereva aliona magogo yaliyopangwa barabarani akamwambia utingo," itakua magaidi hawa " utingo alitaka kuruka ila dereva akamsihi atulie kwanza,

" we shuka utoe magogo ndo kazi yako"

"Hapana suka me ni kuziba pancha" utingo alijibu kwa woga aliogopa kushuka asije kutekwa,

Baada ya kubishana kwa mda utingo alishuka na kuanza kutoa magogo ila ghafla dereva aliskia mlio wa risasi na kumuona utingo akiwa kalala chini akivuja damu kifuani na tayari wakaja watu watatu waliojifunika nyuso zao dereva akaanza kuhaha akajua tayar ashatekwa na akajua kifuatacho ni kufa au kuteswa na kukatwa kichwa kama wanavyofanya mgambo wa IS (Islamic state).





'Mama yangu nini kimenifanya nikawahi huku kwenye kifo ? yaani kuwahi ili nirudi kulala na mtoto ndo kunanileta kwenye kifo ?" alijisemea dereva Farid wakati akishushwa kwenye gari huku akimshuhudia utingo wake akigeuza macho na kukata roho.

"Wewe kijana umebeba nini?" aliuliza gaidi mmoja alieonekana kuongea kiswahili kwa shida na kwa haraka Faridi alitambua ni mkongo,

"nimemebebaba mchechele nananapeleka Lululubumbashi", alijibu Faridi huku akitetemeka kama mtu aliemwagiwa maji yenye barafu meno yaligongana kama gitaa,

"haya lala chini kabla ya kukuua leta simu yako hapa" alizid kuamrisha yule gaidi huku wenzake wawili wakiwa makini na bunduki zao,

"msiniue jaman kama ni mchele chukueni tu" Farid aliongea kwa huruma,

"wewe lazima ufe,kwanza hebu onja hiyo damu ya mwenzako inayotiririka chini" gaidi aliongea kumuamrisha Farid aonje damu ya utingo wake na bila ubishi Farid alikinga damu kwa kiganja cha mkono na kuanza kunywa damu.

Gaidi mmoja kati ya wale watatu aliondoka na kutokomea msituni na baada ya dakika tatu basi alikuja na kundi la kinadada kama mia mbili na kila mmoja alikua kabeba ndoo tupu na wanaume walikua kama hamsini na wote walikua wamevaa mashuka na kwa Farid alivyowachungulia kwa pembeni aligundua ni watu waliotekwa kwani aliona magaidi wengine kama kumi waliokua wanalinda hilo kundi la watu.

"Jaman leo nakufa kweli,kumbe watu wanatekwa hivi" aliwaza Farid huku akikumbuka lile tukio lililotokea nchini Nigeria la kikundi cha boko haramu kuwateka watoto wakike mia mbili na kuwabebesha mimba wote,

"Hizi ndoo naona ni zakuchota huu mchele" alijisemea moyoni baada ya kuona lile kundi ya kinadada likijipanga kutoka kwenye gari kuelekea msituni na hapo ndo akagundua watatumia ule mfumo wa kupokezana,na wanaume wenye nguvu walikua wakibeba magunia mabegani kuelekeza msituni.

Mwili wa utingo uliendelea kuvuja damu iliyoelekea mahali alipolala Farid tena mbaya zaid kulichimbwa tuta dogo ambalo liliielekeza damu mdomoni mwa Farid na kuamrishwa kuilamba na kuimeza.

Wale mateka walifanya kazi ya kupokezana ndoo kwa haraka sana na hapo Farid kwa kuchungulia kwa jicho moja alishuhudia walioishiwa nguvu kwa kushindwa kupeleka ndoo kwa mwenzake kama mwanamke aliminywa na plaizi kwenye chuchu zake na kama mwanaume alieanguka na gunia basi plazi ilitumika kuminya korodani.

"Sasa kama hawa wanafanyiwa hivi mimi je nitafanywa nini?" alijisemea Farid baada ya kuona karibu wanamaliza kupakua.

*******

"yule Miriam mbona alionekana kunipeda na mbona hajanitafuta tena?" Genes alijisemea baada ya kuona mda unazid kuenda na Miriam hajamtafuta,

"au itakua alipigwa sana siku ile au ameogopa jinsi nilivyomwagiwa maji?" Genes alizid kujisemea,

"au niende tena kwake nini?Genes alijisemea tena huku ila akawa anatikisa kichwa kutoka kushoto kwenda kulia kwa kukumbuka kile kipigo cha maji machafu na kofi alilopigwa na mama Miriam,

"apana sitoenda huko ngoja nisubirie tu atanitafuta" Genes alijisemea.

**********

Miriam aliendelea kushangaa kwa upendo anaoneshwa na mama aliekua akimtesa kipindi cha nyuma,

"hivi Miriam wewe unataka kuja kuolewa na nani" Mama yake mlezi alimuuliza huku akionesha uso wa furaha,

"mimi nitakuja kuolewa na mkaka mmoja mzuri sana tena hata wewe unamfahamu" Miriam alijibu kwa furaha kwani hakumuogopa tena mama yake mlezi,

"haa Mirian mbona me simjui huyo mwanaume?" Mama alijibu kwa mshangao ingawa alimhisi ni yule kijana aliamwagia maji siku moja,

"haa mama siyule siku moja ulimkuta nikiwa nae pale kijiweni ?" Miriam alijibu kwa furaha ila alishangaa mama kununa kwa mbali,

"ahaa sawa mwanangu lakini huyo mbona kama hakufai ? kwanza hana pesa wala hana gari wala nyumba" Mama Miriam aliongea kama vile anampa Miriam ushauri,

"mama yaani mimi sitaki mwanaume mwenye gari wala pikipiki me nahitaji mwanaume mwenye upendo wa kweli tu basi gari tutanunua wote na hata nyumba tutajenga wote" Miriam aliongea kwa kujiamini ingawa hakujua kama Genes yupo katika mazingira gani kwa mda huo.

"sawa mwanangu uwe na upendo huo" mama aliongea kwa haraka huku moyoni akiwaza "wewe hujui mipango yangu, huyo mwanaume unaewaza hana lake hapo mwanaume ni Faridi tu alete pesa hapa" mama alijisemea moyoni.

*********

Baada ya masaa matatu tayari mchele ulishapakuliwa wote na hapo Farid alianza kusali na kuomba mungu aweze kuachwa hai,jambo ambalo lingekua vigumu kufanyika kwani wengi wa madereva walioingia kwenye mikono ya magaidi wa msitu huo basi huuwawa kinyama.

"sasa huyu dereva tumfanye nini?"aliongea gaidi mmoja

"huyu situmuue?" mwenzake alijibu na tayari akaandaa bunduki yake,

"hapana tusimuue kwanza tumtese kidogo kwanza" gaidi mwingine alitoa wazo lake

Baada ya wote kuafiki kua wamtese hapo walimvua nguo zote na kumfunga kamba miguu na mikono.

Gaidi mmoja alichukua wembe na kukata masikio yan utingo na kumlisha dereva,baada ya masikio basi utingo alikatwa sehemu zake za siri na Farid alilazimishwa kutafuna na kumeza.

Viungo vidogo vidogo vya utingo viliisha na hapo gaidi mmoja ambae alishawahi kupigwa risasi ambayo ilimafanya apoteze uwezo wa kumtungisha mwanamke mimba basi alikua na hasira na hakufurahi kuona mwanaume mwenye korodani hivyo alichukua wembe na kumfuata dereva Farid ili nae amhasi kwa kumtoa korodani zake.Farid alipoona gaidi anamjia kwa na wembe basi alianza kulia kwa uchungu kwani alihisi atakatwa masikio.

*****

"Kwanza sianzi kukutaka hizi korodani zako kwanza,nataka ziliwe na wadudu na uteseke kidogo" yule gaidi alieshika wembe kwa aliji ya kumhasi Farid alijisemea huku akirudisha mikono chini na kumgeukia mwenzake na kumuamuru kwa sautihttp://deusdeditmahunda.blogspot.com/

"hebu mlete yule mwanamke wa kusambaza kisonono" huyo gaidi alimuamrisha mwenzake kwa sauti ya juu ambapo Farid alisikia na kumuona alietumwa kuleta mwanamke wa kusambaza kisonono akielekea msituni hapo Farid alirudisha kumbukumbu zake miaka kumi na tano iliyopita na kukumbuka mazungumzo aliyowahi kufanya na daktari huko mkoani Mbeya,

"daktari me naumwa katika uume wangu kunatoka usaha na ninawashwa kwambali" Farid alianza kukumbuka jinsi alivyomwambia daktari,

"unaumwa tokea lini ? na umekutana kimwili na mwanamke mara ya mwisho lini ?"daktari nae alimuuliza,

"nilikutana na mwanamke siku mbili ndo nkaanza kuhisi haya maumivu",

"ahaa basi itakua ni kisonono au kama watu wanavoita gono umeambukizwa maana mwanaume huona dalili ndani ya siku mbili,hivyo basi unastahili kuanza dozi mara moja utapona usijali,ila pia napenda nkufahamishe kua mwanamke mwenye ugonjwa huo hua haoni dalili mapema ila huwashwa sana sehemu zake za siri hasa katika njia ya uke ambapo hupenda sana kufanya ngono kwani ndio inakua njia ya kumkuna,hivyo basi mwanamke unaemtongoza siku moja na kukupa mapenzi basi jua huyo anawashwa hivyo basi angalia kama ni mwanamke anaebanwa au ni wakujiuza na kama sio mwanamke anaebanwa au anafanya biashara basi mwanamke kukupa mapenzi kwa haraka sana kuna sababu zake mojawapo ni huo ugonjwa wa kisonono unamfanya awashwe na kutaka kuingiziwa kitu cha kumkuna" daktari alimaliza na hapo Farid akakumbuka jinsi alivyomsalimia tu yule dada nae akajileta na hapo ndo akamwambukiza kisonono.

Farid alikua anakumbukia yote hayo ila ghafla alikatizwa kukumbuka kwa kumuona Mwanamke aliesimama mbele yake, usoni alikua mzuri na alikua na kifua kilichoumbika na maziwa yaliyochongoka

"we dereva huyo mwanamke anataka umpe mambo" gaid mmoja aliongea kwa ukali, na hapo mwanamke kuskia a napata mambo kutoka kwa Farid alifurahi sana kwani yeye alikua mojawapo ya mateka ila yeye alikua na kazi ya kuambukiza watu kisonono ili wateseke tu,

Mwanamke alimsogelea Farid na kuanza kumshikashika ila Farid kwa kua alikua kafungwa kamba alitulia tu.

"Mlalie kwanza umsafishe kwa mate yako na ulimi wako" gaidi mmoja alitamka huku akimwelekeza mwanamke namna ya kulala ili Farid aweze kumsafisha.

Farid hakuamini macho yake katika tukio ambalo angetakiwa kufanya kwani aliona wadudu wadogo wakitambaa katika sehemu za siri za mwanamke yule,

"mungu wangu sasa hapa nikigusa na mdogo tu huu ugonjwa utanishika mdomoni" Farid alijisemea kwani pia alikumbuka daktari alimwambia jinsi ugonjwa huo wa kisonono hushika sehemu za midomo pale mtu anapolamba nyeti za mtu mwenye ugonjwa huo,

"fanya haraka mwanamke huyo awe msafi nakupa dakika moja au nije na wembe nikate huo ulimi,nyie mnapewa mchele mpeleke kwenye kambi za majeshi ya serekali ili wazid kupambana na sisi ?" huyo gaidi alitamka kwa ukali nae mwanamke tayar alishamsogezea Farid karibu kabisa ili aweze kusafishwa kwa ulimi na kwakua Farid alikua kafungwa kamba basi hakua na jinsi alianza kusafisha wadudu ambao ndio bakteria wa ugonjwa wa kisonono nao walikua wamekua wakubwa sana kwa kukosa tiba,Farid alivumilia harufu kali kwani kila alipojaribu kutoa kichwa kilichokua katikati ya mapaja ya mwanamke basi alitekenywa na kitako cha bunduki shingoni na hapo aliendelea kumsafisha mwanamke.

"haya sasa huo mdomo tayari ushaharibika sasa fanyeni mapenzi", gaidi aliongea kwa hasira na hapo Farid alikaa mkao wa kufanya mapenzi na hapo alifanya kwa shida kwakua alikua kafungwa kamba.

Baada ya nusu saa Farid alikua katikati ya pori akiwa kazungukwa na mateka wengine,alisikitika kuona madereva wenzake aliofikiri wameaga dunia,

" kumbe kuna watu wengi walioko hai na sisi tunasema wamekufa?"Farid alijisemea moyoni.

*********

"Huyu Farid ananichezea akili yangu nini?" mama Miriam alijisemea baada ya kupiga simu ya Farid na kuikosa hewani kwa siku mbili,

"ila atakua ndo anarud na yupo sehemu isiyo na mtandao vizuri" mama Miriam aliendelea kijipa matumaini kwani maisha yalizidi kua magumu zaidi kwani kazi ya kupika vyakula ndo ilishasimama.

Miriam kila siku aliendelea kushangazwa na upendo wa mama mlezi wake kwani hajawahi kumuonesha upendo kiasi kile.

*******

Genes aliendelea kuumia moyo kila siku kwani shuleni hakusoma kwa amani maana mawazo yote yalikua juu ya Miriam ila aliogopa sana kufika maeneo ya akina Miriam kwani aliogopa sana kuaibishwa tena,

"ila lazima wiki ijayo nitajikaza niende huko kwani wataniafanya nini mbona watu wanauawa kwa ajili ya mapenzi sasa mimi kumwagiwa maji tu ndo nikate tamaa,mwanaume ni marufuku kukata tamaa" alijisemea Genes huku akifunga daftari lake kwani alishindwa kuendelea kusoma na matokeo yake yalianza kua mabaya kadri siku zilivyozidi kusonga mbele.

*******

Baada ya siku tatu Faridi alikua tayari ashaota vipele vya mfano wa mtu aliyeungua kwa moto au mafuta kwani vipele vilimwota mdomoni na Kwenye sehemu za siri na uume wake ulitoa usaha na aliwashwa sana ila kwakua alifungwa kamba mda wote basi hakua na jinsi hata kujikuna.

"mungu naomba unisaidie kwani maumivu nayopata ni heri kufa kuliko kuendelea kuishi pia nisamehe kwa mawazo ya kuenda kumharibia mtoto wawatu maisha kwani najua kabisa mimi ni mwathirika wa ukimwi ila naona wazo la kuenda kumwambukiza mtoto mdogo ili ausambaze kwa watoto wenzake basi umeniadhibu kwa hilo" Farid alijisemea kimoyo moyo akijuta kwani lengo lake la kutaka kutembea na mtoto ni kusambaza ugonjwa wa ukimwi kwa mtoto akiamini nae mtoto atausambaza kwa watoto wenzake na kisha atakufa na wengi ila alikua akilia kwa uchungu kwa mawazo yake hayo.

Siku ya tano Farid alikua hafai kutazamwa mdomoni na maeneo ya karibu kwani alikua kaharibika sana ukiachilia mbali sehemu za siri hata muwasho wake ulimtesa sana alijihisi kama maiti inayotembea kwani alijua baada ya siku kadhaa uume wake utakatika kabisa.

"Mungu angu me ikifika kesho najiua" Farid alijisemea kwa hasira ya maumivu kwani hakutaka kuendelea kuteseka.

Kesho yake ilifika nae alimtega gaidi aliekua anampa chakula kwa kumuwekea chini kama mbwa,

"yaani sasa chakula kinaletwa nashindwa kula sababu yenu hata cjui kosa langu kama ni ugomvi wenu na serikali msinihusishe mimi ambae napelekea wananchi waliokosa chakula kwa ajili ya malumbano yenu" Farid alijisemea huku akisubiria anaemletea chakula kwani kwa mda huo Farid alikua kashafungua kamba za mkononi na alijipanga kumnyanganya gaidi bunduki na kumuua naye ajiue..





"Mungu naomba upokee roho yangu maana mda mfupi ujao nitakua mbele ya meza ya hukunu" Farid alijisemea huku akijiweka sawa kujirusha ili adokoe bunduki na afanye mauaji,

Baada ya dakika moja na nusu tayari Farid alikua kazungukwa na magaidi kama ishirini kwani alifanikiwa kudokoa bunduki ila alipojaribu kufyatua alishtukia ndani hapakua na risasi hivyo gaidi aliita wenzake kwani alishangaa sana kwa kitendo ambacho Farid alitaka kufanya kwani hakijawahi kutokea kufanywa na mtu yeyote ambae ametekwa,

"huyu alitaka kuniua kabisa sema bajati mbaya hapakua na risasi kwenye bunduki yangu" huyo gaidi aliwaelezea wenzake ambao hata wao walishangaa sana kitendo hicho, na kila mmoja aliwaza nini cha kumfanya ili awe funzo mbele ya mateka wenzake.

"kwanza huyu sindio nilitaka kumhasi ila mungu akanijia na kuniambia nisimhasi sasa kama kajaribu kuua basi Leo utakufa kwa mateso makali sana"gaidi mmoja nae alisema huku akimshika na kumtundika juu kwa kumfunga kichwa chini miguu juu, hapo Farid alianza kuteswa kwa kuminywa vipele katika sehemu zake za siri ambapo vilitoa usaha na pia hata mdomoni pia kuliminywa,alipata maumivu makali na alilia kwa uchungu ila hapakua na msaada,

"hebu leta wembe hapo leo nataka kujua mirija ya mkojo na ya kupitisha shahawa maana nashindwa kuelewa kwa nini kama ukiwa unaskia mkojo alafu ukaanza kufanya mapenzi mkojo hautoki lakini shahawa hutoka" Farid aliskia maneno hayo kutoka kwa gaidi mmoja na hapo Farid akajua kweli mda wa mateso ndo huo unaaza, na hapo kweli akaona wembe umeletwa.

**********

"Sasa Miriam hapa inabidi tuhame maana kodi ya nyumba inaisha na hakuna kazi hapa na siku sio nyingi chakula kitakua shida" mama mlezi wa Miriam alimwambia Miriam kwani ashamsubiri Farid na Farid mwenyewe haonekanai na kwenye simu hapatikani.

"Basi mimi utanipa nauli kidogo nirudi nyumbani kwangu maana nimekufanyia kazi mda mrefu" Miriam aliongea kwa huruma sana,

"kwa kweli mwanangu sina hela yoyote kwanza hivi vitu vya ndani inabidi niviuze ili nikarudishe marejesho ya hela nilizokopa kwa ajili ya ile biashara ambayo ugonjwa wa kipindupindu ulituharibia" mama Miriam alijibu huku akiwa na uso wa huzuni.

Miriam aliingiwa na hofu ya kukaa bila makao kwani aliamini huyo mama akiuza vitu akimtoroka basi ataishi kwa shida maana tokea aliishi mjini aliweza kuahidiwa kusaidiwa na mtu mmoja tu ambae ni Genes ila kwa wakati huo hakujua kama Genes anamkumbuka,

"ila makosa ni yangu kwani namba ya simu nilipewa ila nikashindwa kuihifadhi,huenda hata saivi angekua kashanipa msaada wa kuenda nyumbani" Miriam alijisemea kimoyo moyo,

"Ila mwanangu usiogope nyumbani utaenda ngoja tutajua namna ya kupata hela jumamosi ijayo tutauza hivi vitu nilipe madeni alafu jumapili kuna mahali tutaenda kutafuta pesa usiku je utakua tayari ili upate angalau nauli ?" mama mlezi wake aliongea kwa kumnong'oneza,

"ndio mama nitakua tayari kutafuta hata nauli maana nikizidi kukaa huku nitakufa" nae Miriam alijibu kwa sauti ya upole.

********

"Jaman wakubwa naombeni tu msinifanyie ukatili huo heri mniue tu" Farid aliongea kwa unyonge huku akiamwangalia yule alieshika wembe kwa jicho la huruma kwani tayari uume wake ulianza kuchanwa mfano wa mtu anaemenya ndizi ya kupika hakika alipata maumivu makali na alizid kulia kwa uchungu,

"huyo mtu mbona anawaangalia kwa huruma hivyo mtoboeni macho kama Samson alivyofanyiwa" gaid mmoja alisema maneno hayo ambayo Farid aliyaskia kwa makini na hapo alishuhudia kisu kikija karibu na jicho la kushoto na baada ya sekunde mbili jicho lilikua lishaharibiwa na hapo alishuhudia tena kisu kikikarbia jicho lake la kulia na baada ya sekunde mbili alikua kipofu alibaki kuskia sauti tu,

"sasa umekua Samson ila hutafanikiwa kufa na watu wengi unakufa mwenyewe" Farid aliskia maneno hayo kutoka kwa gaidi mmoja.

Farid aliteswa sana kwani alichanwa sehemu mbali mbali za mwili kwani kila alietaka kujua kiungo cha binadamu basi aliruhusiwa kuchunguza kwa Farid.

Damu ilianza kumuisha na hapo alianza kulegea kwa hakuweza kuomba msaada kwa mikono tena na hapo moto uliwashwa chini na akaungua hadi kukata roho.

Hicho kilikua kitendo kibaya kushuhudiwa kwani vijana wengi wa Afrika kutokana na ukosefu wa ajira walikua wakijiunga na makundi mbalimbali ya kigaidi ili kujipatia kipato ila kwa kikundi cha Mai-Mai basi vijana waliojiunga huko kwa kuahidiwa pesa nyingi walipoona kitendo alichofanyiwa Farid asie na kosa basi waliogopa kuendelea na mafunzo waliyokua wakipewa na walipojaribu kutoroka basi walikamatwa na kuuawa kwani wengine walikua na nia ya kuja kutoa taarifa ya makundi yanayotafuta vijana hasa kwenye mitandao ya kijamii ila hakuna aliefanikiwa kutoroka mzima,

"ningejua nisingekubali kujiunga na hiki kikundi cha kigaidi kama mambo wanayofanyia watu ndo haya basi" yalikua maneno ya kijana mmoja aliekua anajaribu kukwepa mishale pale alipoonekana akitoroka kwenye mafunzo huko msituni ingawa nae aliuwa kikatili kwa kwa kukatwa kichwa kwani haikuwezekana kwa mtu kutoroka maana angeenda kutoa siri .

*******

"Weekend (mwisho wa wiki) hii nitaenda kwa Miriam liwalo na liwe sitaogopa tena lazima nikamwone mke wangu hawezi kuniumiza kichwa changu hivi" Genes alijisemea moyoni. Alipanga safari ya kuenda kumuona Miriam ila kwa kuogopa kuenda kupigwa tena basi aliamua kukaa chini na kuandika barua ambayo alipanga kuenda nayo ili ampe Miriam na kukimbia hivyo jumatano usiku alijifungia chumbani na kuanza kuandika barua,

"yaani leo ndo siku ya kuandika mashairi yenye degree na mwandiko ulioenda shule tena leo ndo natumia ule mwandiko wa kufanyia mtihani wa taifa" Genes alijisemea huku akijiweka sawa na kuanza kuandika,



Dear,Miriam.

Natumai unaedelea vizuri mpenzi wangu Miriam,mimi tokea ile siku nimekuja kwako ndo nikapigwa na mama yako hadi leo nimekua silali wala sili chakula kwa ajili yako hata shuleni siwezi tena kusoma kwani nakupenda sana na wewe umekataa kunipenda,sasa naomba nikuambie tena nakupenda sana naomba nikubalie nitakupa pesa kwa sababu baba yangu ni tajiri na mama yangu ni tajiri.Hata usiku nakuona ndotoni unanijia hadi natamani kukugusa mwili wako ila nashtuka,hivyo naomba tu unikubalie niwe mpenzi wako ili niwe na raha maana hata saivi nilikunywa maji kwenye glasi nikakuona sasa nateseka sana moyoni,Miriam ukinikubalia nitakuja kulala na wewe nikufanyie kama wafanyavyo wacheza tamthiliya za kifilipino kwani nafurahi sana pale wanapokumbatiana na kutomasana sehemu mbali mbali za mwili huku wakipigana mabusu kila mahali.Miriam naomba nikubalie jaman ila kama hutakubali basi usinichukie kwani bado nina nia ya kukusaidia kurudi nyumbani.Ukimaliza majibu yaandike nitakuja siku ingine hapa ndo unipe au unitafute kwenye namba ile ya simu niliyokupa natumai unayo.Nakupenda sana Miriam I LOVE YOU Mwaaaah.

Wako nikupendae,

Genes.

Baada ya kumaliza kuandika Ali tafuta bahasha ya kaki akaiweka na hapo hakutaka kuipeleaka tupu aliingia chumbani kwa mama yake ambapo aliinua godoro na kuchukua noti saba za elfu kumi kumi ambazo alizimbatanisha na barua na kuziweka Kwenye bahasha,http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

"aah mama hatajua bhana maana hizi noti zipo nyingi hapa" Genes alijisemea kwani mama yake alikua na tabia ya kuhifadhi pesa ndani.

Baada ya kuifunga bahasha vizuri aliinua godoro na kuiweka tayar kusubiri jumamosi ili aende nayo kwa Miriam.

****

"We Miriam amka tuanze kuandaa mazingira ya kuondoka hapa" mama mlezi wa Mirian alimwamsha Miriam ili waweze kuandaa vitu kwani vitu vyandani vilikua vinapelekwa kwenye mnada, wote walishirikiana kusafisha mazingira hayo ili waache nyumba ya watu ikiwa safi,

"sasa mama nitapata wapi hiyo pesa kesho" Miriam aliuliza kwani alishindwa kujua hela itapatikana wapi siku hiyo ya jumapili wakati vitu vinauzwa jumamosi.

"we nishakwambia kesho usiku kuna mahali nitakupeleka na pesa itapatikana tena kwa wewe itapatikana haraka na utaenda kwenu" mama Miriam aliongea kwa hasira hadi Miriam akaogopa na kukaa kimya.

*******

Genes aliamka asubuhi na mapema ila akajisema "leo jumamosi sitoki nyumbani kabisa hadi kesho jumapili ndo nitaenda kwa Miriam" hivyo alirud kitandani na kuendelea kulala kwa kukusanya nguvu za jumapili hiyo.

*******

Mama Miriam na Miriam waliuza kila kitu katika nyumba yao na kulipa madeni yote hivyo wakabaki mifuko mitupu na wakapewa nafasi ya kulala kwa usiku huo wa jumamosi ili jumapili asubuhi waondoke.

Asubuhi hiyo ya jumapili waliamka asubuhi na mapema na hapo Miriam alizid kushangaa ni wapi pesa zinaenda kupatikana

"kwani mbona naambiwa nivae chupi nzuri nakupuliziwa marashi na mbona navalishwa nguo fupi kama za mtoto" Miriam alijiuliza maswali hayo bila kupata majibu na hapo walianza safari ila Miriam hakuelewa wanaelekea wapi kwani ilikua ni jumapili mida ya saa nne asubuhi.

Mama Miriam alimpeleka Miriam katika bar moja iliyokua Kaloleni ambapo ilisifika kwa wanawake kujiuza na hapo alikaa na kumwagizia soda. Hadi kufika saa tisa mama Miriam alikua ashapokea oda tatu za wanaume wakimtaka Miriam,

"hapa lazima nipate hata elfu 40 nimpe hapo 20 za nauli" alijisemea mama Miriam akisubiria usiku ufike ambapo ndo wanaume hao walikua wameahidi kuja.

********

"Yaani hapa nipo tokea saa tano na saivi ni saa tisa huyu Miriam kaenda wapi sasa alafu sijui itakua wamehama hapa mbona pako ovyo hivi hata zile meza hakuna tena" Genes alijisemea huku akiwa kachoka kwa machungu ya kumkosa Miriam,

"yaani narud na hii barua niliyoiandika kwa ustadi hivi" Genes aliendelea kujisemea,

"ila kwa kua nimeaga naenda shangazi basi sirudi nyumbani naenda kutafuta gesti huko mjini nilale huko nitumie hii pesa" Genes aliongea huku akitoa ile bahasha na kuchana ile barua na kuweka pesa yake mfukoni akapanda daladala kuelekea katikati ya mji kutumia pesa.

*******

"Mama huyu ni nani?" Miriam aliuuliza alipoona mama yake mlezi akipokea hela kisha kumkabidhi kwa mwanaume ambae tena alikua mlevi sana,

"we nenda nae" mama Miriam alimjibu Miriam.

Ila Miriam tayar aligundua yale mazingira ni ya wanawake kuuzia mwili kwani kila mwanamke aliyeonekana maeneo yale alikua kavaa nusu uchi.

Miriam alichoropoka katikati yao na akatokomea gizani.

"acha nikafie sehemu ingine na sio hapa" Miriam alijisemea huku akikimbia kuelekea asipokujua tena usiku wa saa mbili.

"Bila shaka hapa ni kituo cha mabasi" Miriam alijisemea pale alipoona mabasi yaliyojipanga na mengine kuingia na kutoka.

"Shkamoo baba naomba msaada wako" Miriam alimfuata baba mmoja na kumsemesha

"msaada gani binti" huyo mbaba alimjibu kwa uso wa huruma,

"kuna mama yangu alikua ananiuza ila nimemtoroka na hapa sina kiasi chochote cha pesa na nahitaji kufika kwetu kwa hiyo naomba unisaidie,

"sawa binti nitakusaidia mahali pa kulala" huyo baba alimjibu kwa uso wa huzuni ila moyoni akiwa na furaha kwani alijua siku hiyo kapata binti mzur tena mdogo wa kulala nae.

"Twende nikupeleke mahali ukalale" huyo baba aliongea huku akitembea kuelekea hotel Aquline iliyokua karibu na kituo kikuu cha mabasi ambapo ambapo alipanga kumchukilia chumba kisha badae aje kumfuata huko.

"Dada kuna chumba hapa nataka huyu binti alale hapa",

"ndio chumba namba tisa",

"nashukuru sana ngoja nimpeleke huyu binti"

Yalikua mazungumzo kati ya dada wa mapokezi na baba aliyejitolea kumsaidia Miriam na hapo Miriam aliingizwa chumba namba tisa ila huyo baba akamsihi asifunge mlango kwani atatuma chakula kiletwe,hapo alidanganya kwani alitaka akaage nyumbani kua ampata safari kisha kurudi huko na bila kupinga Miriam aliacha mlango wazi kwa kuurudishia huku akimshukuru mungu kwa kupata msaada.

********

"Sasa mda wa kulala umefika ngoja nitafute pakulala ila sijaamini kama ndo Miriam sitamuona tena" Genes alijisemea huku akimfuata dereva boda boda na kumuuliza

"Vipi broh,hapa wapi nitapata chumba cha kulala?"

"Hapa karibu ni hapo Hotel Aquline arifu,nipe buku langu nikurushe hapo fasta" dereva boda boda aliwasha pikipiki na kuelekea hotel Aquline.

"dada vipi chumba nitapata"?http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

" ndio lipia chumba namba tisa"

Genes alikua tayari Kwenye lifti akienda chumba namba tisa kama alivyoambiwa ila ghafla alichunguza ufunguo aliopewa

"huyu dada nae vipi mbona ameniagizia chumba namba tisa ila ufunguo huu ni wa chumba namba sita ?" Genes alijiuliza swali hilo akiwa mlangoni wa chumba namba tisa ambapo ndipo Miriam alikua ndani akisubiria chakula ale ndo alale hivyo kwa mda huo alikua kajilaza na mgongo akiendelea kumshukuru mungu kwa kumuepusha na yule mama.

"Ila huyu dada itakua kachangaya funguo ngoja niangalie hiki namba tisa mbona hakijajifunga vizuri huenda kipo wazi" Genes alijisemea huku akisukuma mlango wa chumba namba tisa..









ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog