Search This Blog

Friday, July 15, 2022

JULIETH - 4

 







    Simulizi : Julieth

    Sehemu Ya Nne (4)

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Lakini pia wakati huo huo upande wa pili kwa yule mtekaji mwenye kuitwa Roja alikuwa ameketi katika sofa akiwa ni mwenye utulivu mkubwa kana kwamba hakuna vulumai inayo endelea mita chache mbele yake alitoa pakiti iliyofungwa kama kifuko cha majani ya chai kisha akaipasua kulitoka unga mweupe ambao aliupachika katika kiganja chake kisha akasogeza karibu na pua yake kisha akavuta kwa mkupuo mmoja unga wote, alifumba macho yake taratibu kama mwenye kusikiliza radha fulani kutoka katika ule unga wa kulevya alio uvuta kisha akipiga chafya mbili tatu sasa alifumbua macho kwa utulivu mkubwa kisha akatizama tukio lililokuwa likiendelea mbele yake.

    Jullieth alikuwa amekandamizwa kwa chini huku jamaa aliyekuwa akiunguruma kwa ghadhabu akiwa amemkaba kooni nguo yake tayari ikiwa imekwisha chanwa.

    “Niachie wewe..aiii mie sita..sikaakii..aaagh..naa..nakufaa” Jullieth alilamaa, hakuna aliyejali kilio chake wale jamaa waliendelea kuchana nguo za Jullieth ili kutimiza lengo lao la kumbaka.

    Raja alitizama tukio lile kisha uso wake ukaonekana kukarahishwa na namna jamaa walivyo kuwa wakivutana na mateka wake.

    “Nimesema mcheze picha la ngono au mbakene?” hatiame Raja aliongea kibwege sauti ya kiteja ikimtoka.

    Wale jamaa walionekana kumwogopa Raja walistuka na kusitishwa zoezi lao wakiwa tayari kusikia malekezo mapya kutoka kwa kiongozi wao, hapo Jullieth alijikurupua pale chini na kutoka mbio eneo lile la sebule,ila hakuna aliye shughurika nae.

    “Nimesema mcheze sinema la ngono na siyo mambo ya kubakana hapa ninyi vipi ninyi.?..haya mleteni huyo mtu upesi.”

    Jamaa alisema kwa sauti ya kiteja lakini yenye ukali, wale vijeba wali walitoka pale upesi na kumsaka Jullieth katika ile ngome.

    Hazikupita hata dakika tano tayari Jullieth walikwisha mkwida kwa nguvu na kumleta katika ile sebeule kisu kikiwa shingoni mwake.

    Raja alikuwa amefumba macho yake kiteja huku yale madawa ya kulevya yakiendelea kumpa burudani ndani ya kichwa chake.

    “Haya chezeni picha la X majemedali wangu” jamaa alisema tena kiteja.

    “Hili haliwezi kufanyika kifanisi bila huyu demu kupata dawa kiongozi”

    Jamaa alisema na hapo Raja alimpa pakiti ile ya madawa ya kulevya ili wampe jullieth kwa nguvu.

    “Aahg..aaagh..sitaki..niacheni ninyi watu msinifanyie hivyo mie!..” Jullieth alilalama machozi yakimbubujuka.

    “kimyaaa!.. Ala!”.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Jamaa alikoroma kwa ukali macho makali ameyakaza kwa binti yule.

    Na hapo hapo alipasua ile pakiti ya unga wa Cocaine na kumsogelea Jullieth.

    “Mnataka kunivutisha madawa ya kulevya ninyi watu?”

    “Afadhali kama umelijua hilo..natumaini sasa huwezi kuleta ukinzani.”

    “Roja aliyekuwa ameketi hatua kadhaa alijibu upesi upesi huku akisimama na kusogea pale vijana wake walipokuwa wamemdhibiti Jullieth.

    “Kwanini mnanifanyia yote haya jamani eeeh…. kwani mie nimewakosea nini..na mnaonaje mkiniambia kosa langu.. pengine labda naweza kuwa na statement yenye mashiko mbele yenu na kuweza kutoa utatuzi wa hasira zenu dhidi yangu na labda mkabadili maagano hayo jamani pleaseeee..”

    “Hakuna namna yoyote ya kufanya hicho unacho kitaka kifanyike zaidi ya kutekeleza maazimio ya maamuzi yetu…uvutishwe unga..ucheze move la X..kisha uawe na mwili wako ukatupwe kesho huko katika fukwe za cocobeach…maakubaliano yetu sisi ni hayo tu mrembo hayo mengine ni ngonjera tu …unajaua huwezi kucheza picha la X bila kupata unga

    Na huwezi kufa kabla ya filamu la X.. ” Roja aliongea taratibu lakini sauti yake ikionyesha kumaanisha kile alicho kisema japo ndani yake kulikuwa na dutu za kejeli.

    “Whaaaaaat!..no…no.. I say noooo! Aagh! why you need to kill innocent person ? Na pia sio hilo tu vipi na hiyo midawa ya kulevya mie ya nini..hapana kwakweli sistahili kufanyiwa unyama huo..kwa kosa gani?..kwa dhambi ipi..? kwa athali gani iliyo wakuteni?..na kwa maumivu gan..

    Kabla hajamaliza yulee jamaa wa pili mwenye kuitwa Donii alimkamata kwa nguvu..na kumbania ukutani huku mikono yake yenye nguvu ikikandamiza kifua cha binti yule kwa nguvu. Jullieth alitoa yowe dogo la mstuko huku akijaribu kuruka hatua moja nyuma lakini tayari alikuwa amekwisha ingia katika himaya ya Donii.



    Jullieth Aliangua kilio hofu kubwa ya kubakwa na kuuawa ikiwa usoni mwake.

    Wakati huo huo Donii alisogeza kiganja chake kilicho kuwa kimetapakaa unga wa Cocaine karibu na pua ya Jullieth na ndani ya wakati yule jamaa aliyekuwa amembana Jullieth ukutani alichomoa kisu kilicho kuwa na makali na kukiweka karibu kabisa na shingo ya Jullieth.



    Jullieth Aliangua kilio hofu kubwa ya kubakwa na kuuawa ikiwa usoni mwake. Wakati huo huo Donii alisogeza kiganja chake kilicho kuwa kimetapakaa unga wa Cocaine karibu na pua ya Jullieth na ndani ya wakati yule jamaa aliyekuwa amembana Jullieth ukutani alichomoa kisu kilicho kuwa na makali na kukiweka karibu kabisa na shingo ya Jullieth. Jullieth alitikisa kichwa huku akitupa miguu yake kwa nguvu kujaribu kujiepusha na balaa lile la kuvutishwa unga wa kulevya. Lakini kila alivyotikisa kichwa chake ndivyo ncha kali ya kisu cha yule kibaraka wa Roja mwenye kuitwa Donii ilivyozidi kumchoma na kumtoa damu. Kelele zake hazikutoka kabisa kwani alizidi kumkandamiza koo kwa mkono wake wa kushoto. “Tulia, kunguru wa unguja mkubwa! Tulia!” alimfokea huku akizidi kumbana ukutani. Kidogo Jullieth alifanikiwa kuchomoa mkono wake wa kulia huku mkono mwingine wa kushoto akiwa amelishikilia gauni lake lililokuwa limechanwa na kumwacha matiti nje. Kwa nguvu zake alitumia mkono huu kutupa shambulio kali usoni mwa yule jamaa huku akiwa amechanua vidole vyake vyenye kucha ndefu, lakini yule kibaraka wa Roja mwenye kuitwa Donii alikwepa shambulio lile na hapo hapo akamkwaruza shingoni kwa kisu chake kikali huku akimchapa vibao kama mtoto. Jullieth alitoa kilio cha maumivu huku akihisi mchirizi wa damu ukiteremka kutoka pale alipokwaruzwa na kumlowesha kifuani na katika matiti yake. Jullieth alibaki akitweta na kutembeza macho huku midomo ikimtetema na moyo ukimwenda mbio wakati akiushuhudia mkono wa Roja ukimsogezea ule tena unga puani kwake. “Hapana... si..sitakii…!” Jullieth alibwabwaja bila mafanikio wakati Rojaa akimuwekea ule unga chini ya tundu za pua yake. “Usiogope super star wangu...najua sasa unaogopa ila utafurahi na roho yako kwa kukupatia raha hii. ” Roja alisema kwa sauti ya kiteja yenye kuvutaa ila ya kejeli. Jullieth alibana pumzi ili asiuvute ule unga haramu ndani ya mapafu yake, lakini hakuweza kubana pumzi kwa muda mrefu na alipozidiwa alivuta pumzi nyingi kwa ghafla, na hapo unga wote uliokuwa chini ya pua yake ulivutwa ndani ya mapafu yake. Macho yake yalisajili woga mkubwa sana, kwani alijua kuwa tayari alikuwa ameshauvuta unga ule… unga wa kulevya…dawa ya kulevya…unga haramu! Alianza kutetemeka mwili mzima huku akihisi kuishiwa nguvu za mikono na miguu..CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    “Ooh!...mtangazi wangu wa televisheni? Mbona kuna wenzako wengi tu wanaotumia Ngada{bangi} na hii kitu kabla ya kuingia katika vipindi vya TV na Redio ili wapate stimu? Kwani weee huwa hutumii hata Ngada? Halafu lililo muhimu ni kuwa kitu hii huwa tamu sana unapokuwa umeipiga kisha ukawa na mchizi kitandani..looh we acha tu utamu wake..” Roja alikuwa akimwambia kwa kuchombeza maneno ya kihayawani kabisa.. “mie huwa naipiga hii kitu halafu nampandia demu wangu yanii huwa nahisi niko paradise we subiri dakika chache uone itakavyo kukolea..utavua nguo yako ya ndani bila kuombwa” Alizidi kusema kama kwamba amepatwa na wazimu.. madawa ya kulevya ndiyo yalikuwa yakimwongoza Roja. Lakini wakati maneno yale ya kijuha yakitoka kichwani mwa Roja Upande wa Doni alikuwa ameendelea kumkwida Jullieth kisawa sawa pale ukutani. Jullieth akamakinika kwa maneno yale. Alimkazia macho ya kuuliza huku akimtazama kama kwamba ndio kwanza anamuona. Kichwani mwake alikuwa akihisi vitu vya ajabu-ajabu tu ambavyo hajawahi kuvihisi hata siku moja...na kweli ilikuwa ni hisia ya ajabu.

    Lakini Roja alikuwa anaendelea kumweleza Jullieth…anampa sifa nyingi za madawa ya kulevya.utamu wa ajabu wa kufanya ngono ilihali ukiwa umepata unga wa Cocaine.. Aliendelea kumchombeza wakati huo Donii alimwachia pale alipokuwa amembania katika ukuta sasa akawa huru..lakini ajabu akabaki amezubaa kama akili yake imesimama kufanya kazi yake sawasawa. Roja akaendelea kumchombeza. “Umepata Dope..raha isiyo kifani..raha ya ajabu mwilini..mwanaume anakupapasa mgongoni mwako..mikono yake inazunguka ubavuni..taratibu..anapanda katika kifua chako..mikono yake inabinya binya taratibu matiti yako…oooh mdomo wake unasogea shingoni kwako..anapitisha ulimi wake..haaachi kukunyonya huko anashuka hadi katika matiti yako..ANAYANYONYA matiti yako huku akikutomasa taratibu katika kitovu chako” “AAGHAHah!” Jullieth alitoa sauti ya mahaba na hisia kali na za ajabu mwilini lakini pia alijikuta akishangaa akilini mwake pale picha iliyokuwa ikichorwa na Roja ilipojidhihirisha akilini mwake. Ina maana anacho kisema huyu jamaa ni sahihi Kama anavyonifanyia mimi hivi sasa? Lakini mawazo yake hayakuwa yakienda sawa sawa kichwani mwake, kwani alizidi kupata mchanganyiko wa zile hisia za ajabu zilizomfanya ashindwe kutafakari zaidi juu ukweli harisi wa suala lile “Anhaa....umeeona dalili za utamu eenh?” Roja alimwabia baada ya kuona mabadiliko usoni kwake, na kuendelea, “…basi nakunyonya matiti yako taratibu nikiwa nakupapasa kwenye kitovu chako..halafu nasogeza mdomo wangu karibu na wako kisha..” Alisema Roja na kusita kisha Hapo hapo akamsogezea tena unga ule puani kwake. Jullieth alitikisa kichwa na kubwabwaja kwa taabu, kwani sasa mdomo wake uliuhisi hsuko sawa hata tone. “Ha..pa..na!” alisema kwa tabu madawa yale yakiwa yamemlewesha na akajikuta anauvuta bila kipingamizi ule unga mwingine. aliishiwa nguvu na aliangukia magoti pale sakafuni huku akitweta. Alijihisi kama kwamba alikuwa akielea hewani huku zile hisia za ajabu zikizitawala fahamu zake. Alikaa chini na kuinua uso wake kuelekea darini, nako aliona vitu vingi vya ajabu vikimshukia usoni mwake. Alifumba macho na kujisika kichwa mithili ya mtu aliyekolewa na midadi. Ule unga ulikuwa ukimlevya kwa kasi sana. Wale wanaume watatu walimtazama yule binti huku nyuso zao zikilainishwa na tabasamu pana, kwani walijua kuwa walikuwa amefanikiwa. Kuanzia wakati ule Jullieth angefanya lolote ambalo wangetaka na hivyo angeweza kufanikisha dhamira yao ya kucheza picha la X na yule binti na kujipatia fedha zaidi kwani kila mara wangeuza filamu ile ya ngono kwa pesa nyingi huko katika nchi za unghaibuni..lakini pia wangejipatia pesa zaidi kama malipo kwa mtu aliye waagiza kumfanyia kitendo kile Jullieth kwa lengo la kulipiza kisasi kwa yale aliyo yafanya Jullieth.. Roja alitoa simu yake ya mkononi na kupiga namba fulani na kuweka simu sikioni wakati huo Jullieth alikuwa amelowea katika bahari ya usingizi wa ajabu huku wale vibaraka wa Donii walikuwa wakifunga kamera eneo lile tayari kwa kucheza move la X na yule binti.. Roja alipiga ile namba na kwa sekunde kadhaa mzungmzaji wa upande wa pili ulipokea simu.. “Sema Roja” sauti nene ya kiume ilizungumza upande wa pili. “Bosi kazi imekwisha..tia pesa katika account upesi” “Kweli roja mbona imekuwa rahisi hivyoo”. “Hilo sidhani kama ni muhimu mkuu muhimu kwako ni kazi yako kufanyika na kutia pesa katika account”. “Vizuri Roja.. nipe Nusu saa kila kitu kitakuwa kama kilivyo pangwa.” Mzungumzaji wa upande wa pili alisema na kukuta simu. Roja aligeuka na kuona kila kitu kipo tayari na sasa ilikuwa ni kuwahimiza vijana wake kufanya mapenzi na Jullieth huku yeye akirekodi kwa kamera ndogo ya Canon kabla ya kumwua Jullieth na mwili wake kuutupwa katika fukwe za Cocobaech….CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    **************************

    ******** Jullieth alifumbua macho taratibu na kuyatembeza ndani ya sebule ile. Alihisi maumivu karibu mwili mzima na alishangaa kujikuta amelala sakafuni akiwa uchi. Alijiinua taratibu na kuegemea ukutani. Alipopeleka mkono wake katika sehemu ya uuke wake aligundua mara moja kuwa alikuwa ameingiliwa kimwili bila yeye mwenyewe kujitambua, ingawa kwa mbali alikuwa ana kumbukumbu ya kufanya tendo hilo. Alikunja uso na kuangaza tena mle sebuleni huku akihisi kichefuchefu na woga mwingi. Roja alikuwa akimwangalia huku akitabasamu kwa dharau akiwa amekalia sofa lile alilokuwa amekalia wakati akivuta ule unga wa cocaine huku wale vibaraka wake wawili wakiwa hatua chache kutoka pale. Uso ulimbadilika na macho yakamtumbuka. Alilinyakua gauni lake lake lililokuwa kando yake pale sakafuni na kujifunika mwili wake na kubaki akimkodolea macho wale wahuni huku midomo ikimtetemeka. “ni..ni..ninyi! Umenifanya nini…! Eeenh? Sema upesi…!” Hatimaye aliropoka kwa woga uliochanganyika na hasira huku akiendelea kumkodolea macho kwani alishapata jibu la kilichotokea baina yake na wale jamaa watatu mle ndani. Roja aliendelea kumkenulia tabasamu baya na la dharau. Jullieth alitikisa kichwa chake kwa nguvu kuukataa ukweli uliozidi kujijenga akilini mwake. huku na huku kwa kuchanganyikiwa na kumtazama tena Roja aliyekuwa akiendelea kumchekea kwa kebehi. “mme.., ..mmenibaka! Umeniba…” Hakuweza kumalizia kwani uzito wa jambo lile ulikuwa ukizidi kumwelemea kadiri alivyokuwa akilitamka neno lile na akaishia kuangua kilio huku akificha uso wake kwa viganja vya mikono yake. “Hapana Jullieth sio wote..ila ni mie peke yangu ndio nimekuonja kidogo”. Roja alisema kwa dhihaka kama kwamba alicho kizungumza kilikuwa kitu cha kawaida. Jullieth alipatwa na donge zito kooni.. “Niuweni upesi, mbwa nyie..sina thamani tena mimi ! niuweni haraka aaagh” Alisema kwa hasira huku machozi yakiendelea kumbubujika, na hasira zilimzidi alipoona kuwa Roja hakumtilia maanani hata kidogo. Na hata pale alipokuwa akizidi kumtazama kwa hasira yule jamaa, alimuona Roja akimtikisia kichwa kwa masikitiko ya kejeli. “Kweli unataka nikuue jullieth?Umeisahau raha ya ajabu niliyokupa muda mfupi tu uliopita? Sasa nikikuua utapata wapi tena raha kama ile, eeenh? Hapana miss super star… mimi nadhani wewe hutaki ufe, ila hutaki kusema…sasa na mimi kwa kukusaidia, sikuui!” Alimwambia kwa mbwembwe, na Jullieth hakuamini masikio yake. Alibaki mdomo wazi huku akimtazama yule jamaa. Hawa watu wanataka nini kwangu zaidi..na nimefanaya kosa gani hasa? Jullieth aliuliza akilini. “Ooo yeah! Kwakweli ilikuwa tamu vibaya mno,nilicho gundua katika mwili wako unasiku nyingi sana hujaonjwa..”



    .” Roja alizidi kumchombeza mithili ya mtangazaji wa redio wa kipindi cha usiku cha mahaba hali iliyozidi kumchefua Jullieth . Kwa fadhaa kubwa Jullieth alijikubalia moyoni kuwa alikuwa ametendewa unyama na udhalilishaji mkubwa kabisa mle ndani siku ile na hakuwa na namna ya kufuta kile kilichomtokea. Ee Mungu wangu wa mbinguni…kwa nini lakini umeacha nikutwe na mambo haya? Mara alihisi nguvu zikimwisha mwilini kama jinsi puto linavyoishiwa na upepo. Alibaki mdomo wazi akimtazama yule jamaa ambaye bado alikuwa akitabasamu kwa dharau. Alijaribu kujiinua akashindwa. Alijaribu kuinua mkono wake ili ajizibe mdomo kuzuia matapishi aliyokuwa akiyahisi kumjia kwa kasi lakini mkono wake ulikuwa mzito sana na hakuweza kuusogeza hata kidogo. Kwa uchungu alianza kulia huku akijitapikia kama mtoto mdogo na Donii akiendelea kumtazama kwa dharau. matapishi yalikuwa yamemtapakaa kuanzia chini ya mdomo wake, kifuani, tumboni, mapajani na hata pale sakafuni. Akiwa ameishiwa nguvu kabisa pale sakafuni, alianza kujihisi unyonge wa hali ya juu uliochanganyika na uchovu wa ajabu. Ah, sasa unyonge gani tena huu jamani…! Alijikuta akiikumbuka ile raha aliyoipata muda mfupi uliopita baada ya kuvutishwa ule unga wa ajabu. Hivi kweli inawezekana mtu kupata raha kama ile hapa duniani…? Simanzi ilimtawala alipogundua kuwa alikuwa anatamani kupata tena Burudani ile iliyotokana na kuvuta unga ule wa haramu. Hali ile ilimtia woga mkubwa na akaanza kutetemeka mwili mzima. “Ina maana na mimi ndio nimeshakuwa mlevi wa madawa ya kulevya? Cocaine! Lakini…si nimevuta kidogo tu! No...hapana, sijavuta…nimevutishwa…sasa kwa nini tena na mimi nautamani?” Muda wote huo Donii alikuwa akimuongelesha huku jamaa mwingine akiwa anarekodi kila kilicho kuwa kinaendelea kwa kamera ndogo ya video aina ya Canon lakini yeye hakuwa akitilia maanani maongezi wala tendo lolote lilikuwa likiendelea. “Mungu wangu! Kwa nini umeruhusu huyu baradhuli anivutishe maunga yake haramu? Oh! Mungu wangu! Mungu nisaidie nisitamani tena…Mungu wangu weee!….uko wapi wewe Mungu aaagh. Taratibu alianza kulia tena huku akijaribu kukabiliana na kizunguzungu kilichokuwa kikimjia kwa nguvu sana. Lakini ilielekea kama kwamba Mungu hakuwa upande wake, kwani ile hamu ya kuuvuta tena ule unga ilizidi kumkolea kadiri kile kizunguzungu kilivyokuwa kikizidi kumwelemea, na kadiri alivyokuwa anajitahidi kujizuia, ndivyo unyonge ulivyozidi

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    kumtawala. Alibaki akibubujikwa machozi huku akimtazama Donii kwa shingo upande huku akihisi kichwa kikimuwia chepesi sana. Alikuwa kama mbwa aliyekutana na Chatu, na akajua kuwa hana la kufanya isipokuwa kukubali kuwa chakula cha Chatu tu. Huku akiendelea kumtazama kwa dharau Donii alidondosha pakiti ndogo ya nailoni iliyokuwa na ule unga haramu ndani yake pale sakafuni, sio kidonge kama kile alichomvutisha hapo mwanzo. Huku akielewa fika ni kitu gani kilikuwa ndani ya kifuko kile, Jullieth alikitazama kifuko kile na kumeza funda kubwa la mate huku akihisi kasi ya mapigo ya moyo wake ikiongezeka. Alifumba macho na kugeuza uso wake pembeni katika jitihada ya kushindana na matamanio ya kukiokota kile kifuko, kukirarua na kuunusa kwa pupa unga ule. Machozi yalizidi kumbubujika. Donii alikuwa akimuangalia kwa makini, akiangalia jitihada yake ya kushindana na tamaa ya kupata Dozi nyingine ya unga ule haramu. “Matatizo gani haya…? Kitu gani kitaniokoa kutoka kwenye madhila haya? Au nikiuvuta tena ule unga hali hii itaondoka…? Lakini ule ni unga wa haramu…sitakiwi kuuvuta wala kuutazama…!” Lakini hata hivyo msukumo wa mwili wake na moyo ulishinda nguvu akili yake akajikuta anaokota kile kipakiti chenye unga wa Cocaine. Mungu wangu hatimae nimekuwa teja sasa Jullieth aliwaza kwa fadhaaa na masikitiko makubwa. Lakini hata hivyo masikitiko yake hayo yaliyeyuka akilini mwake huku hamu ya kubwia unga ule ikizidi kumwelemea. Alifungua pakiti ile ya Cocaine upesi upesi huku mikono yake ikimtetemeka uchu mkubwa ukiwa kifuani mwake. Hata hivyo kabla ya kufanikiwa kuchana pakiti ile ya lailoni Roja alimuwahi na kumnyakua ile pakiti ya madawa ya kulevya na kurudi hatua moja nyuma. Jullieth alipagawa. Akabaki anatapatapa pale sakafuni mithili ya mbwa mwenye njaa ya siku mbili. “Ayaaah!!..Kwanini mnanifanyia haya lakini jamani,. nipe hiyo dawa tafadhali” Hatimae Jullieth alilalama na kuweka matamanio yake hadhalini kwani sasa alikuwa akihisi baridi kama kwamba ametiwa katika kilele cha mlima wa theluji. “Sasa hapa naona tutakwanda vizuri….” Alisema Roja kwa kunong’ona. “Nitakupa tone dogo mno kama utakuwa tayari kufanya mapenzi na jamaa hapa…” Alisema Roja huku akinyoosha kidole kwa wale jamaa. Maneno yale yalimwingia sawia Jullieth na hakuwa na namna ya kukwepa ombi lile. Sasa alikuwa tayari kufanya lolote ilimradi apate ule unga ambao ungekata kiu ya ajabu iliyo kumba mwili wake Japo hakujua kama mwili wake ungeweza kuwamudu zile ‘njemba’. Roja alipasua kidogo ile pakiti na kumimina unga kidogo katika kiganja chake na kumsogelea Jullieth pale sakafuni alipokuwa akitapa tapa kama kwamba amepatwa na tumbo la kuhara. Alisogeza unga chini ya tundu za pua za Jullieth na hapo kwa pupa Jullieth aliuvuta ule unga wote..faraja na starehe ya ajabu ikatambaa katika mwili wa Jullieth. Kwa muda mchache Jullieth alijikuta anakuwa mlevi wa madawa ya kulevya mwenye kiu kubwa ya madawa hayo, Roja baada ya kuona amekwisha mwingiza Jullieth katika mtego, aliamulu vijana wake kufanya mapenzi na Jullieth kwa zamu huku yeye akiwa anarekodi kwa kamera. Donii na mwenzie wa walimvaa Jullieth na kumsogeza katika Sofa kubwa lililokuwa `katika sebule ile huku Jullieth mwenyewe akiwa kama kwamba amepigwa nusu kaputi. Sasa jamaa walianza kuuupapasa mwili wa binti yule kama wafanyavyo wale wacheza sinema za ngono, kabla ya kuanza kumwingilia kwa zamu huku Roja akirekodi kwa kikamera kidogo aina ya Canon. Lilikuwa ni tukio la baya la udhalilishaji wa kiwango cha mwisho. Hali ambayo isiyo ya kawaida Jullieth alionekana kutoa ushirikiano kwa wale jamaa waliokuwa wakimzini kwa zamu. Roja akiwa anaendelea kurekodi alimimina unga katika kiganja na kumsogezea Jullieth aliyekuwa katika mahaba mazito dhidi ya wale malijali wawili na kuupachika chini ya pua ya binti yule. Jullieth aliuvuta ule unga wa madawa ya kulevya kwa pupa… starehe ya ajabu ikitambaa ndani ya mwili yake. Lakini alipata michubuko mikali sehemu zake, angalau ile burudani aliyokuwa akiipata katika ubungo wake iliweza kuweka ganzi katika yale mashambulizi aliyokuwa akipewa na wale jamaaa. Wale wabakaji walifanya kiasi ambacho waliona miili yao imetosheka na sasa suala lililokuwa limebakia ni moja tu, mauwaji ya yule binti. Jullieth akiwa mtupu pale sakafuni mwili wake ukiwa umetumika kiasi cha haja ni Roja aliyekuwa mratibu wa mambo yote yale, kwani alichukua simu yake na kubovya bovya kama mwenye kutuma ujumbe kwa mtu Fulani na baada ya muda mfupi honi ya gari ilisikika huko nje Roja aliamulu Jullieth anyanyuliwe na kutolewa nje kwa ajili ya kuuliwa. Ndani ya ile gari lililokuwa likipiga honi huko nje alikuwa ni Chuse boy, ule mwili usio na fahamu wa yule mwanamke uliingizwa katika gari lile na kuwekwa ndani ya buti. “Endesha twende feli,” alisema Roja na akiketi kiti cha mbele na kufunga mkanda.

    .CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog