Search This Blog

Thursday, July 21, 2022

PENZI LA FUKARA MATESO - 4

  







    Simulizi : Penzi La Fukara Mateso

    Sehmu Ya Nne (4)





    UPANDE MWINGINE



    OFISI YA WAZIRI MKUU:



    TANZANIA

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Kilikuwa ni kikao kisicho rasmi,cha vigogo walousika katika kituo kile,wakijadili swala la kupotea kwa binti JANETH na kuibuka mpelelezi kutoka umoja wa mataifa JOHN CHAKA



    Wote walishapata kuzisikia habari zake...



    Ni wazi sasa maisha yao yalikuwa hatarini



    hatari ya kuumbuka waliiona mbele ya macho yao!



    awakupenda ilo liwatokee! ndo maana wakakutana kwa majadiliano!



    walishatuma watu kuangamiza bila mafanikio!



    "mimi nina wazo!..." waziri wa mambo ya nje bwana JAMES alitamka,wote wakageuka kumwangalia...



    naye akaendelea...



    "kumzimisha CHAKA ilo jambo sisi atutoliweza! ila lazima tucheze mchezo! tumtumie mke wake kumwangamiza JANETH kwani janeth akiuwawa sidhan kama kutakuwa na kesi!"



    akaweka tuo kusudi maneno yale yawaingie wale walokuwepo pale...



    yaliwaingia lakini awakuyaelewa ikamlazimu madam mery kuoji!



    "kivipi mheshimiwa!"



    "swadakta! nadhani mnalikumbuka sakata la mtetez wa kinte mtakuwa mnajua jinsi gani mke wake KATARINA alivyo mwenye uwezo wa mapigano ni mkuu wa kituo huko KINTE lazima aingizwe katika mpango huu..."



    akanyamaza tena ni wazi waheshimiwa wale bado awakuelewa kitu JAMES akazidi kufafanua....

    -

    "ni miaka mitatu sasa toka Huyu jamaa kutua nchini akiletwa na umoja wa mataifa! kwa kazi maalum ambayo akuna kati yetu ajuaye kuwa ni kazi gani!...



    na tangia kaingia katika ili sakata kaanzisha uhusiano na uyo binti,wamekuwa wakionekana katika sehemu mbalimbali,kumbi za starehe,wakiwa kama wapenzi!...



    ili ni jambo jema kwetu ikiwa hii habari ataipata mke wake lazima atamwangamiza huyu mwanamke na huu,utakuwa ndo mwisho wa mchezo!"



    Akaweka tuo



    PWAA PWAAA PWAAAAAA



    Yalikuwa ni makofi kwa makada mbalimbali waloudhuria pale...



    ilikuwa ni bonge la mpango ambao ungejiendesha wenyewe!



    matabasamu yakachanuka katika midomo yao...



    minongono ikazuka!



    kabla waziri mkuu ajasitisha minongono ile na mh waziri wa mambo ya nje akaendelea!



    "kuna ushahidi wa picha zilizopigwa na vijana wetu wa usalama wa taifa zikiwaonesha wakiwa katika mikao isiyofaa tutazituma kinte na kusubiria kitakachojiri



    Dah mapango umepangwa utatimia?!



    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    "ni miaka mitatu sasa toka Huyu jamaa kutua nchini akiletwa na umoja wa mataifa! kwa kazi maalum ambayo akuna kati yetu ajuaye kuwa ni kazi gani!...



    na tangia kaingia katika ili sakata kaanzisha uhusiano na uyo binti,



    wamekuwa wakionekana katika sehemu mbalimbali,kumbi za starehe,wakiwa kama wapenzi!...



    ili ni jambo jema kwetu ikiwa hii habari ataipata mke wake lazima atamwangamiza huyu mwanamke...



    utakuwa ni mwisho wa mchezo!"



    PWAA PWAAA PWAAAAAA



    Yalikuwa ni makofi kwa makada mbalimbali waloudhuria pale...



    ilikuwa ni bonge la mpango ambao ungejiendesha wenyewe!



    matabasamu yakachanuka katika midomo yao...



    minongono ikazuka! kabla waziri mkuu ajasitisha minongono ile na mh waziri wa mambo ya nje akaendelea!



    "kuna ushahidi wa picha zilizopigwa na vijana wetu wa usalama wa taifa zikiwaonesha wakiwa katika mikao isiyofaa tutazituma



    Songa nayo sasa.......



    Hata tumishiwa hizo picha,na jingine ni tumetumia wanausalama wa taifa letu,tukijua tunapambana na binti mdogo tu! kesi imehama! imeenda kwa komando! mpelelezi wa kimataifa JOHN CHAKA ni wasaa na sisi tubadilike!



    kivipi sasa!...nasi tutumie mtu mwenye uwezo sawa na yeye!



    MUUAJI WA KUKODI! kwa kulitambua hilo wizara yangu imetenga fedha kadhaa kwa ajili ya ilo na advance kashatumiwa...



    mda wowote ataingia au kashaingia nchini ni MARTIN SUBA KIBONGE komandoo alohasi nchi yake..."



    Waziri yule wa mambo ya nje akaitimisha!...



    makofi tena yakafuata,tumaini likazaliwa,viongozi wote vigogo wa nchi wakapitia zile picha wakaridhika nazo kuwa zitumwe...



    huo ukawa mwanzo mwengine mpya wa kisanga hiki....



    Kwa upande wa KOMANDOO Chaka muda huu alikuwa akipitia ushahidi wote aloukusanya,ali

    shafanikiwa kuchukua simu ile na kuangalia mauaji yale ya albino!,vigogo walousika katika mpango ule wa kununua watoto waloko katika kituo kile...



    baada ya kuridhika na ushaidi ule akaenda kuonana na waziri wa ulinzi ambaye yeye akuwa katika skendo ile! akaacha copy pale video ile akimrushia waziri katika laptop yake...



    Waziri akampa ridhaa ya kwenda kuonana na raisi!



    CHAKA akafanya hivyo! kibali cha kuwakamata wausika wote kikatoka! ukawa mwanzo mzuri wa safari ya ushindi!



    ************



    SURA YA TANO



    HITIMISHO:



    Katarina hakika akuamini kile akionacho katika laptop mpakato yake...



    alizirudia kuangalia picha zile zaidi ya mara mbili! machozi ya hasira yalimtoka!...



    ilikuwa lazima hasafiri kwenda TANZANIA, chuki juu ya muhusika wake ilizaliwa,aliapa kumuonyesha...

    hakuwa na budi kufunga safari!,..kuelekea tanzania kwa siri sana...kwake ilikuwa ni siri lakini kwa viongozi wake haikuwa siri...

    katika uwanja mkuu wa ndege DIA watu watatu tofauti walikuwa wakishuka kwa kazi maalumu!

    wakwanza kushuka alikuwa ni mwanadada KATARINA akiwa kavaa juba jeusi pembeni nyuma yake alikwepo kaka mtanashati JOTHAN akiwa makini sana na binti yule...na wa mwisho alikuwa ni kibonge muuaji wa malipo



    katu KATARINA akujua kuwa alikuwa akifatiliwa na inspekta yule machachari!,baada ya kutoka pale uwanja wa ndege akatembea kwa miguu jothan akiwa nyuma yake,mpaka stendi ya mabasi akajipakia,jothan naye akipakia mulemule!...wote awakufanikiwa kupasa siti wakasimama!...serikali ya kinte ilikuwa na taharifa ya mwenendo mzima wa kesi ile ilotaarifiwa na umoja wa mataifa,ivyo mbinu ya vigogo wale kutaka kumtumia katarina waliitambua wakamteua inspekta jothan kwenda kuweka mambo sawa kusudi katarina asiharibu upelelezi!...

    mambo yalikuwa yameiva!

    kituo ambacho KATARINA alishuka ndicho icho icho jothan alishuka...

    bado aliendelea kumfata kisiri hoteli alofikia chumba alichopanga jothan akachukua chumba mkabala na yeye....

    MAPENZI yana uzito mkubwa sana,uchungu wa kusalitiwa ulimfanya ins KATARINA kupoteza umakini na kutokujua juu ya kufatiliwa kwake.

    CHAKA akujulishwa juu ya ujio wa mke wake kwa kujua kabisa angearibu upelelezi...aliachwa akitanua na JANETH pasina khofu yeyote bila kujua kuwa alikuwa akiwindwa!

    tayari alikuwa na idhini ya kuwakamata watuhumiwa...

    katika kipindi hiki cha kamata kamata JANETH alitolewa katika gesti ile na kuwekwa katika nyumba yenye ulinzi mkali!,kutokana na heshima hiyo penz lake na la JOHN CHAKA lilisimama kupitisha kimbunga kile kipite!

    hatimaye watuhumiwa wote wakatiwa nguvuni! akiwemo waziri mkuu,waziri wa mambo ya nje na vigogo wote walokuwa katika mpango ule...

    kwa mara ya kwanza kesi ikatangazwa...a

    mbapo watuhumiwa walisomewa shtaka lao wakakana na kesi ile ikapigwa kalenda.kwa kuwa walikuwa ni watu wakubwa serikalini wakakata rufaa kuwa nje kwa dhamana! wakiweka mawakili walobobea katika fani hiyo upande wa mashtaka ikisimam umoja wa haki za binadamu,umoja wa mataifa,mabinti wa kituo kile,chaka,na JANETH

    Magazeti ya kiandika habari ile wakimvumisha JANETH kama mwanamke shujaaa....

    VIONGOZ wale walikutan tena,safari hii akiongezek kijana mwingine,kijana wa kazi

    kazi ilokuwa mbele yake ni kusababish mauji ya CHAKA!



    Viongozi wale walikutana tena,safari hii akiongezeka kijana wa kazi MARTIN SUBA KIBONGE,kazi ilokuwa mbele yake ni kusababisha mauaji ya CHAKA!

    kiini cha tatizo lile

    MARTIN SUBA muuaji wa kukodiwa alisikiliza kwa makini! akawatoa khofu na kuwaambia ndani ya siku mbili toka siku hiyo chaka angemchakaza na kumfanya marehemu,kwa viongozi wale awakupata tabu kungamua sehemu chaka alipoweka maskani...SUBA akapewa ramani ya jengo ilo mwanaume akaingia kazini

    ...

    kitu alichoshtukia ni konde zito! alihisi yupo ndotoni...hakuwa na kawaida ya kuzima taa,ila giza lili lilimstaajabisha!,bado akili azikukaa sawa akahisi akikabwa,pengine ni jinamizi? no! alipingana na wazo ilo baada ya kushika mkono mkono ulomnyonga

    hapo ndipo alipotambua kuwa maisha yake yapo hatarini...akaushika mkono ule kwa nguvu na kuutoa katika shingo yake akafanikiwa.

    ghafla umeme ukarudi

    kumbe ulikatika

    macho kwa macho na kiumbe wa ajabu,jitu nene...lililovaa nguo nyeusi usoni lilikuwa kama jeusi kama mkaa,sura ngumu.

    manyama uzembe!

    chaka akajiwazia

    alikosea kuwaza hivyo pale jitu lile lilipotupa konde,chaka akaenda chini kidogo kulikwepa.chaa jabu konde likamfata huko huko

    lilikuwa ni konde lenye uzito!

    konde lenye ujazo

    konde ambalo jitu alilirusha tena kwa mkono wa kushoto na kumpeleka CHAKA chini

    jitu likacheka,likimfata

    moyo wa chaka ujijaa ghadhabu,hasira,kwa konde lile akajiinua chini huku jitu lile nene kama mcheza mieleka OMAGA likitoa tabasamu la kejeli likiachia ukelele likimwendea chaka kwa speed lengo limmalizie palepale chini,chaka akalisubiri limfikie ile linajidondosha kama katika mieleka chaka akalikwepa huku akistaajabu aina ile ya mapigano mieleka stayle!

    "mh napigana na umaga nini?"

    chaka akajiwazia,baada ya jitu lile kumkosa chaka likajinyanyua likimfata tena hadui yake kwa speed lengo limvae chaka tena akalisubiri ile limemfikia chaka akaenda kando kidogo jitu lile likaparamia ukuta na kujigonga likaachia tusi zito la nguoni kumtukania chaka mama yake kwa kingreza

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    CHAKA akatoa cheko!,baada ya kuona nundu kichwani mwa jitu lile!



    jitu baada ya kuona Cheko lile la chaka ishara ya dharau likapandwa na hasira!



    hasira, ghadhabu ambazo zilimfanya apoteze umakini ndo kitu ambacho CHAKA alikihitaji,likamfata mzima mzima chaka akalisubiri likamfikia,likarusha konde ambalo chaka alilikwepa kiufundi na kulitandika teke!



    jitu lile likapepesuka!!!



    chaka akaliwah kwa teke jingine jitu lile likasambaratika chini...



    Chaka akainyanyua meza ya chuma ilopo chumbani mule na kuishusha uelekeo wa kichwa chake

    dah!



    jitu lile likakinga kwa mikono yake akiiambatanisha pamoja,japo mikono ile ilikomaa kweli ila hiyo aikuzuia kutoleta madhara katika pingili za mifupa ya mikono yake...akaachia kilio cha maumivu,sasa jitu lile lenye sura mbaya lilikuwa kama simba aloraruliwa!



    Chaka akanyanyua tena meza lengo alishushie tena ila kabla ajaishusha jitu lile likakurupuka kwa wepesi wa ajabu tofauti na mwili wake likajinyanyua ghafla na kumvaa chaka,



    chaka akutegemea ilo, akaidondosha meza yake,naye akajikuta akielekea chini jitu alijinyanyua ghafla pale chini na kumpiga mtama mkali chaka ambao akuweza kujizuia kuanguka,



    akaserereka!,akasalimiana na ardhi,jitu likamfata na kumwinamia likamwinua juu kama yeye alivyoinua meza ile likambwaga chini kwa nguvu na kumsindikiza na teke la mdomoni,



    damu zikaanza kumchuruzika! jitu lile likatoa tena tabasamu lake baya!...



    chaka akajitaidi kuinuka kwa msaada wa ukuta akasimama!



    lengo hamvae jitu kwa spidi akamfata ikawa zamu ya jitu kumkwepa na chaka kuumia.



    akaanza kukosa muhimili alikuwa karibu na droo akatabasamu na ghafla akafungua droo lile na kutoka na pisto ndogo yenye bastola sita ndani yake na ilifungwa kiwambo cha kuzuia sauti akaifyatua kuelekea upande wa jitu.



    Jitu likajirusha juu na kushika mbao za paa akajirusha kwa nguvu upande aliopo chaka na kutua kando ya chaka akamzawadia teke la mguu risasi ikaruka na ilipotua ilikuwa mikononi mwa jitu

    ikiwa na risas tatu ndani

    likamnyooshea chaka bastola ile..



    CHAKA AKAGWAYA,akajaribu kujinyanyua akashindwa! jitu lilimvunja viungo!...akajuta!

    tena akajuta kulidharau siku zote alidharau mchezo ule wa mieleka leo ndo umetumika kumpigia! akaachia tabasamu afifu!,taratibu akaanza kusali sala zake za mwisho! kabla jitu alijamwambia asali!,alijua dakika yeyote jitu angekisambaratisha kichwa chake kama si ubongo wake,akajuta tena kuitoa silaha kwa kiumbe kile chenye maajabu

    chaka akafumba macho kusubiri kitakachotokea..



    *******



    ILIVYOKUWA



    MASAA KADHAA NYUMA



    Ilikuwa ni nyumba kubwa taa zilimulika kila upande MARTIN SUBA



    "Muuaji wa kukodi"



    alishuka kwenye gari yake nyuma ya nyumba kadhaa na kupiga hatua kuelekea katika jumba lile!,kimuonekano wa kawaida ungeweza kudhani nyumba ile ililindwa na walinzi au iliishi familia ndani



    la asha!....



    ulikosea sana, ndani ya nyumba ile kubwa ya kisasa aliishi mtu mmoja tu!



    mwanaume wa kazi



    CHAKA



    MARTIN SUBA (jitu) liliikaribia ile nyumba pasina kujua kando ya ile nyumba mwanaume wa shoka time hizo alikuwa akipata kinywaji maeneo yale



    ni JOTHAN KIMARIO



    kijana alokuja nchini kwa kazi ya kumlinda binti KATARINA,kwa wakati huo alikuwa katika kazi mbili ndani ya kazi moja(opereshen two in one)



    vyanzo vyake vya upelelezi vilimjulisha juu ya maisha ya chaka kuwa hatarini akupoteza muda akatoka usiku ule ule toka katika ile hoteli mkabala chumba na katarina kuelekea sehemu alipoagizwa nyumbani kwa chaka



    kwani muuaji wa kimataifa angewasili hapo(habari nyeti zilidi kumdodosea)



    akawasili eneo la tukio masaa kadhaa kabla muuaji ajawasili.



    akaagiza kinywaji pembezoni mwanyumba ile palipokuwa na duka lenye viti nje na kuuza vinywaji na vitafunwa akapewa na gazeti akawa anasoma soma kupitia taa za duka lile.ghafla umeme ukakatika...



    akaacha zoezi lile na kujinyanyua ghafla akaona kitu kama kinajongea akakikazia macho.



    yah kilikuwa ni kitu akaanza kukinyatia kitu kile ambacho akikuonekana vizuri kutokana na giza chenyewe pia kilivaa nguo nyeusi.



    mtego wake ulitega!



    Alikuwa ni.....!



    MARTIN SUBA (muuaji wa kukodiwa)



    Akaagiza kinywaji pembezoni mwanyumba ile palipokuwa na duka lenye viti nje na kuuza vinywaji na vitafunwa akapewa na gazeti akawa anasoma soma kupitia taa za duka lile.ghafla umeme ukakatika...



    akaacha zoezi lile na kujinyanyua ghafla akaona kitu kama kinajongea akakikazia macho. yah kilikuwa ni kitu akaanza kukinyatia kitu kile ambacho akikuonekana vizuri kutokana na giza chenyewe pia kilivaa nguo nyeusi.



    mtego wake ulitega



    MARTIN SUBA(muuaji wa kukodiwa.)



    ambaye alionekana kama kitu kutokana na kuvaa nguo nyeusi tiii na kuwa katikati ya giza kikazunguka nyuma ya nyumba ile na kuuparamia ukuta,jitu likajitupa ndani akifurahia kukatika kwa umeme..



    .jothan akakaa kwa dk kadhaa kabla naye ajajinyanyua na kuufata uelekeo wa martin suba (jitu/kitu) alipoelekea naye akaruka na kujitupa ndani.



    alinyata akupata tabu kupita mlangon ambapo palikuwa wazi...jothan akanyata mpaka mlangoni ambapo alisikia mapigano ndani kati ya kibonge MARTIN SUBA,..mpaka pale CHAKA alipowekwa chini na martin suba akimuonesha silaha.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    JOTHAN akatoa silaha yake yenye kiwambo cha kuzuia sauti na bila kuchelewa akakirarua kichwa cha gaidi muuaji yule alosakwa

    Kishindo kilisikika,kwa haraka JOHN CHAKA akafumbua macho jitu



    MARTIN SUBA alikuwa chini huku bastola yake ikiwa pembeni yake.



    jitu lile alikupata ata wasaa wa kupiga kelele achilia mbali kusali,sala ndogo ya toba

    kijana jothan mpelelezi aloteswa na mfungwa alotoroka GAMBI katika riwaya ya mfungwa mpelelezi wa kitengo maalumu kutoka kinte alikuwa mbele yake Revolve 62 silence ikiwa mkononi mwake bado ilikuwa ikitoka moshi,ikionesha kwamba dakika chache zilizopita ilicheua risasi kadhaa kuuondoa uhai wa MARTIN SUBA



    JOTHAN alikuwa akiutazama mwili ule kwa ukaribu zaidi...mshangao ukiwa wazi machoni mwake



    "muuaji wa kukodi huyu!"



    aliongea taratibu,



    CHAKA akuweza kubaini kama jothan aliongea peke yake au aliongea na yeye...



    "hata salam best?" chaka akamgutusha



    "sory sar ni kuchanganyikiwa baada ya kuuona huu mwili!"



    JOTHAN alijitetea...



    "ok lini umeingia huku? msakaji wa mfungwa?" chaka alimdadis huku akijitaidi kukaa

    akafanikiwa



    "kitambo kidogo sasa,ni baada ya mke wako kuja huku nami nikatumwa na serikali nije kumpeleleza na kukupeleleza wewe pia ikiwemo kukulinda"



    "blood shit! what katarina yupo tanzania "



    CHAKA alioji tena ni wazi akuamini kabisa



    JOTHAN akumjibu kitu akaikunja bastola yake ile na kutokea muundo wa simu!



    "opereshen imefanikiwa ovar! maaskari mwili wa muuaji!.."



    Nyumba ya JOHN CHAKA ovar ok..."



    JOTHAN akakata ile simu wakati wote CHAKA alikuwa akimtazama tu!



    JOTHAN akampiga picha mbili,tatu maiti yule kutoka katika simu yake ile ambayo dakika chache ilikuwa bastola ndogo iliyokisambarat

    isha kicha cha MARTIN SUBA akausogelea mwili ule kabla ajaushika akabwatukiwa na sauti ya chaka nyuma yake kwa ukali!..



    "usiuguse huo mwili bila gloves insp"

    JOTHAN akamwangalia komandoo yule kwa sekunde chache akatingisha kichwa chake kwa masikitiko!



    "dah! ungekuwa goigoi jinsi alivyokunyanyua na kukubwaga chini usingegeuka mara mbili ila komando ni komando tu ila jinsi alivyovunja vunja hiyo mifupa yako nahisi kakupa ulemavu wa kudumu kamanda! chezea mieleka wewe teh teh teh teh!"



    jothan akajibu kwa kejeli...



    "wewe mbona GAMBI mfungwa alotoroka alivunja vunja viungo vyako vyote lakini bado unadunda?"



    CHAKA naye akamjibu kwa kejeli vilevile.JOTHAN akakatisha mada



    "crime case kamanda kesi ya uhalifu nami ni polisi afisa kuishika bila mikono hii maiti ni juu yang.."



    Jothan aliongea kwa jeuri akiwa kashaufikia mwili ule na kuanza kuupiga sachi mfukoni...akatoka na dola akazisweka kibindoni....



    "polisi njaa kali ndo nyinyi mwaribugi upelelezi kwa tamaa zenu nyinyi!"



    "teh teh teh teh! huyu ana uhai tena na lake alipo" jothan akacheka akimvua maiti ile saa.



    "lakini ukumbuke hii si kesi ya ualifu kamanda!..." chaka akamkumbusha

    "siyo issue ilo kulijua we subiri msaada wakaunge ivyo viungo vyako...."



    Walikuwa ni mainspekta wawili wenye utani kila wakutanapo,maneno ya kejeli yakitawala katika maongezi yao wote wakiwa wametoka nchi moja ya kinte na katika kila kesi ngumu



    walikutana...urafiki wao ukaanzia hapo..dakika chache baadaye maaskari wa kitengo maalamu waliwasili na ambulance wakambeba CHAKA na kumwingiza ndani ya ambulance akianza kufanyiwa huduma ya kwanza kwani alivunjwa vunjwa mifupa.



    mwili wa SUBA ukipakiwa katika mfuko maalumu ukawekwa katika gari wakatoweka kwenda walipopajua wenyewe...mwili wa JOHN CHAKA ukiwa umepooza  na kupoteza mawasiliano....



     SHONE alipiga ile namba ya SADY SALIM (double s) mara kadhaa bila jibu stahiki,katu akujua angeanzia wapi ila alijua kuna tatizo kubwa mbele yake ni lipi ilo?!



    akulitambua,akawaza kumshirikisha rafiki yake,mfanya kazi wake moyo ukagoma.tayari kengele ya hatari ilishalia katika kichwa chake



    "kuna kitu nyuma ambacho sikikumbuki! ni nin lakini?!"



    ni wakati akiwa katika mawazo hayo akang'amua kitu!,tabasamu likajiumba katika papi za mdomo wake.



    "ndiyo ni yeye!"



    akauridhisha,na kuuwakikishia moyo wake,ni mara kibao tu alishaingia katika migogoro,mikanganyiko ya kibiashara!,



    Ni mara nyingi walipambana mahakamani kudai haki katika miugomvi yao ya kibiashara,



    akabofya vitufe flani katika laptop yake,akasarch katika google akiandika maneno flani akasubiri sekunde kadhaa



    akaachia tabasamu tena,



    Picha ya DOUBLE S ikiwa mbele yake na picha ya JANETH na wafanyakazi wengine wa uwakili katika kampuni ile!



    akasonta kidole katika picha ile ya sady



    "unataka kunambia nin lakini nisichokijua mimi wewe?"



    kama mweu akajiwazia,akachia cheko la kimbea



    jibu alilolifikiria lilikuwa ndilo!,alimkumbuka yule kijana kwamba aliwah msikia katika vyombo vya habari katika kesi mbalimbali,achilia mbali kukutana naye mahakamani aidha akiwa upande wao au upande wa maadui ndipo alipoamua kumsarch google kuakiki.



    ndipo akabaini ndo yeye...



    akaona ni vyema angeitembelea mwenyewe,akaonane naye mwenyewe.



    alishachelewa...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Niwakati SHONE akianza kupata njia za mahali pa kuanzia vijana wawili walishuka katika gari yao nyeusi na kuelekea ndani ya ofisi ile



    ni BASHAAT na mwenzake xy waliingia mpaka ofisi ya janeth,akijua ni wateja wake wazo lile liliyeyuka baada ya kushughudia mlango wake ukifungwa na akitazamana na kisu,



    kwa mara ya kwanza akatambua maisha yake yalikuwa hatarini,bashaat akatoa kitambulisho feki walichotengeneza cha ZUBER na kumuonesha binti yule



    "BASHAAT tueleze huyu jamaa umemuifadh wapi! tofauti na ivyo tutakuuwa na hiki kitambulisho tutakitupia hapa



    Mtetemo wa mwili wa JANETH ulionekana waziwazi!



    "si..mjui..huy..o mtu"



    "basaaaat!"



    bashat aling'aka kwa ukali!,akiachia kofi moja zito shavuni kwa binti yule,



    Alama za mikono yake ikaonekana katika shavu aliloachia pigo,



    janeth akaanza kulia kwa kwikwi



    "asitujazie nzi! hapa maliza kazi!"



    bashat alimwambia mwenzake! xy akamsogelea janeth na kisu chake! kile kidogo.



    sekunde 15 zilizofuata kisu kile kilikuwa mbavuni mwa binti yule.



    macho akiwa kayatoa!,kichwa kakielekeza juu ya singbord

    vijana wa kazi wakaondoka bila khofu yoyote,



    wakiacha kitambulisho kile chenye picha ya zuberi mahali pale.



    huo ndo ukawa mwisho wa JANETH:

    mwanadada jemedari,aliyepania kumshikisha adabu PATRICK bila kujua uwezo wake.



    ********



    kwanza alishangazwa na wingi wa watu maeneo yale,akujali ilo SHONE akashuka katika tax alokodi,akuamua kuchukua gari lake kwa usalama wake...



    alikuwa kavaa juba kuficha sura yake.



    baada ya kumtafuta double s kwa kitambo kirefu bila mafanikio akaamua kumfata mwenyewe ofisini mwake.



    usikatae wito kataa neno!



    alitamani sana ajue kitu kaka yule alichotaka kumwambia:



    alishuka na kuelekea ofisini,

    alipigwa na butwaa baada ya kuuona mwili ule!



    Ni mwili wa janeth!



    bado wanausalama walikuwa awajawasili eneo lile...



    watu walikuwa katika majonzi makuu...



    wenye kulia walilia,macho yake yakatua katika picha ile ya mshukiwa!



    Picha aloidondosha Basaaaat kwa makusudi



    Akaikumbuka



    "what?! no si yeye aiwezekani!"



    kumbukumbu zikarudi nyuma,moyo ukampasuka paaa



    "ni marehemu huyu atasababishaje mauaji?"



    akawaza akitoa simu yake na kuitathminisha picha ile na picha ilokuwa katika simu yake aloipiga katika albamu ya mume wake,



    Ile ya kwenye albamu iliwekewa x,anakumbuka mara ya kwanza mery alimwambia ni rafiki yake baba ambaye amekwishafariki na sasa?



    kuna nini tena? huyu mtu ni nan? mbona moyo waniuma sana! juu yake na sijapata kumuona?!!



    KUNA KITU nasema KUNA KITU WALLAH ntakijua!....



    Mawazo yake yalikuja kukatishwa na kuwasili kwa wanausalama...waloanza upelelezi wao eneo lile kwa kuwatawanya watu! wakazungusha utepe eneo lile kutoruhusu mtu kuingia,..





     "ni marehemu huyu atasababishaje mauaji?"



    akawaza akitoa simu yake na kuitathminisha picha ile na picha ilokuwa katika simu yake aloipiga katika albamu ya mume wake.



    ile ya kwenye albamu iliwekewa x,anakumbuka mara ya kwanza mery alimwambia ni rafiki yake baba ambaye amekwishafariki na sasa?



    kuna nini tena?!!



    huyu mtu ni nan? mbona moyo waniuma sana! juu yake na sijapata kumuona KUNA KITU nasema KUNA KITU WALLAH ntakijua!....



    mawazo yake yalikuja kukatishwa na kuwasili kwa wanausalama...



    waloanza upelelezi wao eneo lile kwa kuwatawanya watu! wakazungusha utepe eneo lile kutoruhusu mtu kuingia,..

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    Wakaupiga picha mwili ule,na kuchukua kitambulisho kile,



    mtu wa kwanza kuweka kizuizini alikuwa ni KATIBU MUHTASARI alipoulizwa juu ya picha ile kama alimuona kaingia ndani mule akakana kumuona,



    akasema mtu wa mwisho kuingia ni vijana wawili waloingia na hawakukaa sana wakatoka,



    ni wazi polisi walitia shaka ukutwaji wa picha ile,bila shaka kuna kitu hapa, maaskari wale waliwaza.



    *************



    UPANDE WA PILI ZUBERI AKIENDELEA NA KITABU CHAKE CHA MAISHA YA JANETH



    akafungua ukurasa mwingine,



    "baada ya mchaka mchaka ya kumwangamiza jitu! na john CHAKA kuwaishwa hospitalin,hosp

    tal ya siri,hospital ya jeshi,jothan akaenda mpaka mafichoni alikofichwa janeth akamweleza hali halisi,janeth akajitolea kwenda kukaa na chaka..



    kwa kuwa ilikuwa ni mafichoni nao walikuwa wakisakwa na viongozi wa juu wa serikali ilo alikuwapa tabu!



    Jothan baada ya kumfikisha janeth akaingia ndani ya gari na kurudi kuelekea hotelini...



    kwa kazi ya kuendelea kumfatilia katarina! akumjua vizuri binti yule akafika na kuchukua ufunguo wa chumba chake mapokezi akakifikia chumba chake akaingiza funguo na kufungua mlango taratibu



    ile anaingia bila tahadhari akashtushwa na teke kali,teke lililomfanya apepesuke! na kuona nyotanyota zikieleya hewani! alipo ona vizuri mbele yake alikuwa kasimama mwanamke aliyemtambua vyema,



    KATARINA,



    "najua umetumwa kunifatilia!,nisiendelee kumfatilia mume wangu alokuja tanzania kwa kazi maalumu! kazi maalumu ya KUNSALITI?!



    Akaweka tuo lililoambatana na ngumi ambalo JOTHAN akulitarajia...akabaki kapigwa na butwaa katarina akaendelea



    "yoyote atakaye kuaribu kazi yangu adhabu yake ni kifo! wewe ntakuangamiza kwa mikono yangu JOTHAN nakujua vizur tangu ukiwa kwenye ndege! gari ukinifatilia na najua umemua JITU muuji wa kukodiwa jiulize nimejuaje hayo?



    huu mchezo huuwezi jothan nakuangamiza kwa mikono yangu uwezi nizuia kufanya kilichonileta humu."



    akarusha tena ngumi ambayo INSP JOTHAN safar hii alikuwa makini akaikwepa,sambamba na kurusha yake! ambayo vilevile mwanadada KATARINA akainama ngumi ikapita!,alipojiinua alifyetua teke ambalo jothan akulitegemea likampeleka chini



    "utanieleza mahala mume wangu na huyo kikaragosi walipo mpumbavu wewe!"



    KATARINA akazidi kukoroma!...



    JOTHAN akagaa gaa chini na kujinyanyua kwa shida...



    katarina akaachia cheko la kebehi...



    "bado una nguvu ya kupambana mwanaume?!"



    "sikiliza nkwambie we malaya,unayemfata mumeo mpaka kazini,wewe ungekuwa mpelelez kwel ungejua mahali mumeo alipo na si kunishinikiza mimi nikuoneshe sitokuonesha kamwe inspecta"



    JOTHAN akajibu,ghafla akaingiza mkono mfukoni akaminya kitu kilichomo humu katarina akakaa tayari akijua anatoa silaha haikuwa ivyo mkono wa JOTHAN ukatoka ukiwa mtupu....



    lakini alishafikisha taharifa mahala usika....



    mzima mzima akajirusha sambamba na kuachia teke ambalo katarini alijipinda kidogo na kwa haraka akajisogeza kando jothan akapitiliza na kujigonga ukutani akasambaratika chini akiachia kilio cha maumivu...



    ila akukubali akanyanyuka ila ngumi nyingine ikamlenga katika paji la uso akakosa mhimili,damu zikaanza kumchurizika...



    ila hiyo aikuwa sababu ya wawili wale kuacha kuoneshana ubabe!...



    dakika chache baadaye maskari kutoka kikosi maalumu wakiwa katika cruzar waliingia eneo lile kwa mbwembwe kabla hata gari ijasimama wakaruka! na kuizunguka hoteli ile



    silaha zao zikiwa mikononi,ni majibu ya jothan kule alipopeleka taharifa,kwa wakuu wake wa kazi kwamba kazidiwa.



    watu walibaki wakishangaa uingiaji wa wanajeshi wale maeneo yale wakafika chumba ambacho maasimu wale walikuwa wakipimana nguvu bila kuongea wakavunja mlango na mitutu zaidi ya 7 ikamwelekea katarina.



    AKAGWAYA



    akawekwa chini ya ulinzi mkali,akatolewa kama jambazi,gaidi,chini ya ulinzi mkali mkononi akiwa na pingu mpaka katika gari ile ya jeshi!



    akaondolewa pale na kuswekwa rumande.



    likawa ni pigo la pili kwa upande wa vigogo! kufa kwa jitu,kukamatwa kwa katarina ambaye ilikuwa kama ngao yao ya kumwangamiza JANETH,shaidi mkuu lilikuwa pigo la waziwazi,ilikuwa lazima watoroke.



    Walishachelewa!!!....



    uchunguzi ukaendelea,ukiwemo kutengemaa kwa hali ya CHAKA,hatimaye siku ya siku akaja kutoka kesi ikaendelea mahakamani...kwa vile kulikuwa na ushahidi wa kutosha viungozi wale wakafungwa maisha!....JANETH akapelekwa MAREKANI kusomea maswala ya sheria,JOHCHAKA

    ,KATARINA,JOTHAN wakarudi KINTE kwa ushindi mnono...niliporudi toka marekani ndipo nikafungua compuny hii ya uwakili!,namshukur MUNGU amani imetawala katika maisha yangu.natetea wanyonge,sipendi kuona yatima,fukara akinyanyasika.

    MWISHO

    ZUBERI akashusha pumzi!,baada ya kumaliza kusoma stori ile ilomuumiza,sasa jibu la JANETH kupania kupambana na PATRICK alikuwa nalo!,akarudia kuyasoma tena maandishi ya mwisho ya kitabu kile



    "NATETEA WANYONGE,SPENDI

    KUONA YATIMA,MAFUKARA,WAKINYANYASI"



    Shabaaash! kumbe ndo kisa cha kuniokoa mimi?,zuber aliwaza,upendo wa JANETH katika moyo wake ulimea na kuongezeka maradufu.



    katu akujua kuwa JANETH kwa sasa ni marehemu na picha yake makusudi ilitupiwa pale,angejua angekimbia! lakini nani wa kumwambia?...



    akakifunga kile kitabu na kujinyanyua,katu akuwa na taharifa juu ya land gruzer ya polisi ilivyopiga breki maafande na silaha zao wakaruka na kuizunguka ile nyumba wachache wao wakiingia ndani bila kuongea chochote na walinzi....

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    ZUBER akiwa anaelekea chumbani ghafla akasikia kishingo alipogeuza shingo kuangalia akakutana na kombati za jeshi,aikumpa tabu kugundua maisha yake yapo hatarini!



    "vijana wa patrick"



    wazo ilo likapita katika kichwa chake!,akafanya kosa ambalo lilimgharimu kujaribu kukimbia kuelekea chumbani mwake kama vile wasingeweza vunja mlango alijidanganya risasi za kutosha zikaushambulia mguu wake kama gunia la mahindi ZUBERI akadondoka



    maaskari wale wakamfikia na kuanza kumpiga na vitako vya bunduki bila huruma! damu nyingi zikamtoka akapigwa pingu na kushikwa tanganyika jeki kutolewa nje...



    maajabu!



    dunia aina siri nje mamia ya watu walikuwepo aikujulikana habari zile nani alizivujisha waandishi wakiwa bize kumpiga picha,



    Huku wananchi wakipiga kelele kuwataka wanausalama wale wamwache ZUBER wamshughulikie wenyewe!



    hakuna alotaka hata kutumia akili kidogo tu kufikiria tukio lile! walinz wa nyumba ile walipigwa na butwaa kusikia bosi wao kauwawa kwa kuchomwa na kisu...



    huzuni ilitawala katika mioyo yao,wao pekee walikuwa na uhakika zuber ausiki kutokana na kutotoka ndani ya jengo ilo tangu aingie!



    kwa nini aisiwe yeye?!



    maswali hayo walishindwa kuyajibu na kuacha yakielea katika vichwa vyao!



    mabomu ya machozi yalirindima kutawanyisha watu maarufu kama wananchi wenye hasira kali ZUBER akapandishwa juu ya bodi la gari mkononi akiwa na pingu akasukumwa ndani



    "mwanaume ufadhiliki wewe!,mwanamke yule kukusaidia kote unamuua?"



    kofi zito likadondoka katika paji lake la uso,AKASHTUKA,kwa mara ya kwanza akajua kuwa janeth akuwa mzima!,



    akaangua kilio kilicho amsha hasira za maaskari wale,kipondo kikali kikafatia!



    ama kweli PENZI LA FUKARA MATESO,



    penzi langu kwa janeth na penz lake kwangu ndo chanzo cha mateso haya!



    sijamuua mimi siwezi kumuua mwanamke nimpendaye siwezi kamwe mwanionea bure mimi MUNGU BABA UKO WAPI kwanini ni kwangu tu,kila nafsi ya uokozi juu yangu unaiangamiza! siusik mimi....

    akanyamazishwa kwa teke



    "utaenda kuelezea kituoni mnafki mkubwa wewe!"

    askari mwingine akakoroma,wote walimwona mtuhumiwa mkosaji!,msafara ule uliendelea kupigwa picha na waandishi tayari kwa habari ya kwenye vyombo vyao.



    .....



    kila gazeti lilikuja na habari yake kuvuta kadamnasi ya wasomaji wake



    MTETEZI WA WANYONGE AUWAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA KISU NA MPZ WAKE asahau picha yake eneo la tukio



    hili lilikuwa ni gazeti la GUMZO,gazeti la taifa lenye kuaminika,lilikuwa mezani kwa PATRICK vijana wake wa kazi xy na SABAAASH wakiwa pembeni



    "kazi nzuri vijana huyu atafia gerezani mtego tumeutega vyema."



    Akaongea patrick kwa furaha



    "shabaaaash"



    kijana wake akaitika



    "ni kweli mkuu"



    xy naye akajibu,ntaenda kuongea na wakubwa anyongwe kabisa atakiwi kuwa hai kabisa...anajua siri zetu nyingi...patrick alizidi kusisisitiza



    kila gazeti lilikuja na habari yake kuvuta kadamnasi ya wasomaji wake



    MTETEZI WA WANYONGE AUWAWA KIKATILI KWA KUCHOMWA KISU NA MPZ WAKE asahau picha yake eneo la tukio



    hili lilikuwa ni gazeti la GUMZO,gazeti la taifa lenye kuaminika,lilikuwa mezani kwa PATRICK vijana wake wa kazi xy na SABAAASH wakiwa pembeni



    "kazi nzuri vijana huyu atafia gerezani mtego tumeutega vyema."



    Akaongea patrick kwa furaha



    "shabaaaash"



    kijana wake akaitika



    "ni kweli mkuu"



    xy naye akajibu,ntaenda kuongea na wakubwa anyongwe kabisa atakiwi kuwa hai kabisa...anajua siri zetu nyingi...patrick alizidi kusisitiza



    Songa nayo sasa....



    BASHAAT,xy,wote walikuwa katika farijiko...



    **************



    alikuwa ni kijana mfupi kibonge,kichwani alikuwa na kibarakashee kikubwa...



    alikuwa mbele ya bosi wake! akapiga saluti ya kujiinua kidogo! ishara ya heshima



    "nimeitikia wito afande"



    "hivi wewe kibarakashee usitake niamin kuwa wewe ni jipu!,ambalo unaitaji kutumbuliwa!!"



    "kwa nini bosi?"



    "nshakukataza mara ngapi? kuja bila kuvaa uniform hicho kibarakashee ndiyo kofia ya polisi na hizo nguo ndizo uniform za polisi mbona ujipendi afande?"



    mkuu wake akazidi kugomba.,



    "samahani bosi ili alitojirudia."



    inspekta KIBARAKASHIA akazidi kujitetea



    "ok hiyo ni mosi pili! pokea ili file ni la yule wakili alouwawa na mpz wake kwa kuchomwa kisu na kukabidhi kesi hii iwe chini ya mikono yako kwa nzia sasa upelelez uko chini yako."



    "teh teh teh teh mkuu staki kuamini kwamb unahamini yule wakili kauwawa na mpz wake!"



    "kauwawa na nani sasa bibi yako au?"



    "kumradh bosi itifaki izingatiwe!,mi ninachoisi yule wakili kauwawa na x"



    "x ndo nani?"



    mkuu akauliza kwa wahka



    "x ni mtu asiyejulikana"



    "kenge wewe! ndo naitaji atambulike"



    "bosi nina wazo rejeo"



    "wakilisha" kibarakashia akatoa wazo lake! naisi marehemu alikuwa na mpz wake! ambaye nimempachika jina la x akaja kumsaliti kwa kutembea na mtuhumiwa wetu! x ili alipize kisasi akamuua wakili na kutupa picha yake kusudi kumlipiza pia na mtuhumiwa....



    bosi mkuu akatabasamu wewe ni zaidi ya SPECIAL THINKER MTOTO WA BECKER kwa mawazo!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    mimi mwenyewe ndo nilikuwa nafikiria hivyo x lazima apatikane! je kama binti alikuwa ajatulia na x wakawa wengi tutamkamata yupi?



    kibarakashia akatupa swali kwa mkuu wake.ndo maana nikakukabidhi wewe hii kesi...file ilo kamuoji mtuhumiwa tusiishi kwa fikra sawa?!



    SAWA MKUU kibarakashia akajibu na kujinyanyua katika kiti kile alichokuwa amekalia akapiga saluti na kutoka...



    akiwa katika kazi mpya ya upelelezi....



    akaenda ofisini kwake akaketi! akavuta kabati na kutoa kakitabu kadogo na kamkebe chenye vifaa mbalimbali vya mateso akajinyanyua mpaka mahali alipo ifadhiwa ZUBERI!,



    akaweka mkebe katika meza kubwa ilokuwa mezani kwake!,akakunja mikono ya shati lake vizuri...



    akavua kibarakashee na kukiweka katika meza ile! akavuta kiti eneo aliloketi ZUBER na kukunja nne



    "majina yako matatu"



    "ZUBERI MUSA MARUMA"



    Kibarakashia akaandika!...



    "hii picha unaifahamu?" akamuonesha picha ile.



    "ndiyo niyakwangu!"



    "mara ya mwisho ilikuwa wapi?"



    "sijawah kuiona kabla ila ni picha yangu!"



    "ujawai piga paspoti kama hii"



    "sikumbuki!"



    "ok janeth unamfahamu?"



    "ndiyo"



    "kama"



    "mpenz wang"



    "inshort nipe maelezo kuhusu mausiano yenu"



    (ZUBERI AKAANZA KUMSIMULIA KILA KITU! JINSI ALIVYOMUOKOA KWA PATRICK NA SHONE ALIVYOFARIK KTK AJALI! ALIVYOAPA KUMFATILIA PATRICK)



    kibarakashia akahema kwa shida,jibu lilisha tumbuliwa.PATRICK anausika kwa vyovyote vile...



    hakuna cha x wala nini.kibarakashia aliwaza



    Akajinyanyua...akuona sababu ya kutumia vifaa vile vya mateso.



    Akaelekea kwa bosi wake,akiwa na mawazo mapya,moyo wa huruma ukiwa umemtawawa



    *********



    PRADO toleo jipya la kitajiri lilipiga breki eneo lile la mahabusu,akashuka kijana mtanashati,alivaa suti ya kijivu ilo mkaa vyema akapiga hatua ndefu kuelekea ofisi ya mkuu wa magereza mkononi alishika brufcase ilojaa dola.



    kila alipopita maafande walimpa heshima na kuingiza mkono mfukoni alipoutoa ulikuwa na kibunda alompa alokuwa mbele yake.



    mpaka akafika mlango aloitaji kufika akagonga mara mbili akausukuma na kuingia ndani akamkuta afande kibarakashia akiwa na mkuu wake wakisikiliza yale maojiano!



    PATRICK AKACHEKA!

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    wewe ndo upo nyuma ya huu mchezo bosi? mkuu yule wa kituo akauliza



    "ndo maana nipo hapa,wote wakacheka,akaweka brufcase yake mezani akaifungua looow macho yakawatoka pima...naitaji akubali shtaka kwamba ndo muuaji na hiki kisu ashikishwe nami ntakipeleka mahala usika teh teh teh"



    ...patrick akaongea



    " usijal mkuu wote wakaitikia,"



    "fanya kama ulivyoelekezwa kibarakashee nenda sasa futa ushaidi wote huo"...



    ikatolewa memory card katika recorder ile ikaformatiwa katika kompyuta na kuufuta ushahidi ule......



    PRADO toleo jipya la kitajiri lilipiga breki eneo lile la mahabusu,akashuka kijana mtanashati,



    alivaa suti ya kijivu ilo mkaa vyema akapiga hatua ndefu kuelekea ofisi ya mkuu wa magereza mkononi alishika brufcase ilojaa dola.



    kila alipopita maafande walimpa heshima na kuingiza mkono mfukoni alipoutoa ulikuwa na kibunda alompa alokuwa mbele yake.



    mpaka akafika mlango aloitaji kufika akagonga mara mbili akausukuma na kuingia ndani akamkuta afande kibarakashia akiwa na mkuu wake wakisikiliza yale maojiano!



    PATRICK AKACHEKA!



    wewe ndo upo nyuma ya huu mchezo bosi? mkuu yule wa kituo akauliza.



    ndo maana nipo hapa.



    wote wakacheka,



    akaweka brufcase yake mezani akaifungua



    looow!! macho yakawatoka pima...



    "naitaji akubali shtaka kwamba ndo muuaji na hiki kisu ashikishwe nami ntakipeleka mahala usika teh teh teh...."



    patrick akaongea



    "usijal mkuu"



    wote wakaitikia,



    "Fanya kama ulivyoelekezwa kibarakashee nenda sasa futa ushaidi wote huo"..ikatolewa memory card katika recorder ile ikaformatiwa katika kompyuta akarudishiwa....



    Songa nayo sasa.....



    na kuelekea maala alimoifadhiwa mualifu wake,mkononi alikuwa kashika kisu kile akamrushia ZUBER safari hii kibarakashia alikuja kishari!



    "unakitambua hicho kisu?"



    akauliza kwa ukali!,zuber huku akiwa muoga akatingisha kichwa kutokuafiki kukitambuakukitambua



    "kishike ukiangalie vizuri!"



    ZUBER akakishika! na kukitazama.



    akazidi kutingisha kichwa kutokukifahamu.



    ...kibarakashia akiwa kavaa gloves akakishika kisu kile na kukiweka katika mfuko maalumu!...



    akauendea mkebe wake akaufungua na kutoka na bisibisi,spana! na vifaa vingine vya kutesea....



    "naomba ukubali mwenyewe kuwa umesababisha mauaji! kutokana na wivu wa kimapenz kumuhisi mpz wako anakusaliti...."



    ZUBER akashtuka na kutingisha kichwa ishara ya kukataa koleo likachukuliwa akaanza kufinywa nalo.



    hakika akuweza kuvumilia maumivu yale...



    ikabidi asamli amri kusudi asiteswe...



    akaongea yale aloambiwa aongee....alikuwa tayari kufa!...alishakata tamaa ya kupona.



    ulikuwa ni ushindi kwa afande kibarakashee na bosi wake! file likaandaliwa...



    kesi ikapelekwa mahakamani kukiwa na ushahidi wa kutosha.



    kisu alisi kikitolewa na kupachika kile kisu feki!



    UWEZEKANO WA ZUBERI KUPONA AUKWEPO!



    *****



    PESA ni sabuni ya roho,pesa uficha wema,wote walokuwepo katika kesi ile walinyamazishwa na ile ila siyo kwa afande mdogo mwenye kimbelembele jeshini kwa jina aliitwa KOPLO KADAMTENJANAYNJA au kwa kifupi wengi walipenda kumuita koplo kadamte mpashkunata,



    aliangaza macho yake katika gazeti lile



    MUUAJI AKIRI KWAMBA YEYE NDO MUUSIKA,VIDOLE VYA MIKONO VYA TAMBULIKA NI VYA KWAKE!



    koplo kadamte akatoa miatano na kuchukua gazeti lile akafungua ukurasa mmoja mmoja na kuusoma tukio zima.



    jinsi mwandishi alivyolielezea.



    akajinyanyua eneo lile na kujipakia ndani ya basi tayari kuelekea kwake.alifika mida ilikuwa imeenda sana akafikia na kujibwaga sebuleni!,



    aliangaza macho yake katika sebule ile kama ndo kwanza anaiona kidole kimoja aliking'ata kwa tafakuri kuu



    "baba JOHN" Akagutushwa na sauti ya mkewe



    Akamwangalia mkewe kwa hasira



    mkewe akashtuka!!!,ghafla koplo yule kimbelembele akajinyanyua na kuelekea chumbani!,kuepusha maswali ya kukera ya mkewe,mkewe naye akamfata...



    akakifunga chumba tayari kwa kulala wakikiacha chakula mezani bila kula,mtoto wao JOHN mwenye miaka 10 alikuwa sebuleni akijisomea somea.



    kwa dakika kadhaa akuna alomsemesha mwenzake! kabla mke wake ajamwita tena



    "baba john unanini lakini?!"



    "naitaji kuacha kazi."



    "nini?"



    MAMA JOHN alingaka!,



    "nilikula kiapo! kulitumikia taifa langu!...ila sasa tatizo lipo kwa viongozi wangu udhalimu!,rushw

    a....utapeli ndani ya jeshi."



    "bado sijakuelewa mume wangu!..."



    "na utonielewa kamwe!..."



    "mmmh!!..."



    "sikia nikwambie mke wangu!,juzi makao makuu tulipigiwa simu na mtu asiyetambulika kuambiwa kuwa wakili kauwawa,tulipojaribu kupiga ile simu aikupatikana.



    tukaenda eneo la tukio kweli tukamkuta bosi wao JANETH kachomwa kisu na tulipo hoji ni nani aliyepiga simu akuwa mmoja wa wafanyakazi wala mashughuda wa tukio lile iyo inaingia akilini?



    ni wazi kuwa muuwaji ni mwenye ile namba pale eneo la tukio tulikuta picha ya jamaa mmoja ambaye ni mpz wa wakili yule kutokana na maelezo ya wafanyakazi wa pale.

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    katibu muhtasari alikana jamaa yule kuja pale zaidi ya majamaa wawili lakini bosi alitulazimisha tukavamie nyumba na tumlete huyo zuber akiwa mzima au maiti kweli tulienda wenzangu wakaingia baadh tukabaki nje ambapo niliwahoji walinzi kama zube alitoka wakaniakikishia zuu hakuwai kutoka humo



    ...leo kakabidhiwa kesi inspekta kibarakashia ambapo nimeshughudia akimpiga mtuhumiwa na kumlazimisha aseme kwamba ndo muhusika.



    jamaa akakubali na mbaya zaidi muhusika mwenyewe kaja ni kibosile mmoja kagawa ela! ofisin pale mimi sijapokea dhulma hyo"



    "mh hicho ndo kikufanye uache kazi!

    mwanaume una haya wewe najuta kuolewa na wewe utabaki kuishi kwenye kota za serikali wenzako wanajenga wanatembelea magari ya kifahari kwani ukiangalia kwa macho kuna nini na utapotea endelea kufatilia ya wakubwa"



    "hapana,sitoruhusu ili!,kipi kiapo changu nilichokula!?



    Dah mambo YAMEANZA koplo kadamte ili limemgusa mkewe kampa vidonge vyake



    "mh hicho ndo kikufanye uache kazi! mwanaume una haya wewe najuta kuolewa na wewe utabaki kuishi kwenye kota za serikali wenzako wanajenga wanatembelea magari ya kifahari kwani ukiangalia kwa macho kuna nini na utapotea endelea kufatilia ya wakubwa"



    "hapana,sitoruhusu ili!,kipi kiapo changu nilichokula?!....



    kwamba ntalitumikia taifa langu na ntakufa kwa ajili ya taifa langu?,sitoruhusu ili,kama kufa kila mtu atakufa,mimi ni afisa wa polisi lazima nsimamie haki,"



    "baba JOHN ni nin lakin? hivi ukifa uoni kama mwanao atateseka?,uoni ilo ndugu zako wenye roho mbaya watanifukuza na kurithi nyumba hii ndo unachotaka eeh angalia kwa macho kama wenzako mme wangu kiereere akitokusaidia kitu"



    ilo lilikuwa kosa,alihisi kavuliwa nguo na kuachwa uchi mbele ya wanawake tena jirani zake waliomuheshimu,kuitwa kierehere ilimsababisha ashushe kipondo kikali kwa mkewe JOHN mtoto wao alikuja kugonga mlango iyo ndo ilikuwa pona ya mwanamke yule.



    koplo akatoka kwa hasira kuelekea chumba cha wageni kulala.



    pamoja na kupigwa kote pamoja na mdomo alojaliwa mama john alimpenda sana mumewe khofu ya kutengana na kila mmoja kulala chumba chake,aliihisi kwa uwazi kabisa



    Hakuwa tayari kwa ilo!!!



    akaenda kumgongea akimuomba msamaha,koplo maskio akayaeka nta.mama na mtoto wakalala palepale mlangoni mpaka asubuh



    Maajabu!!!



    ******



    Mawazo yakikiandama kichwa huunda maumivu,kufikiria kitu ulichokosa muafaka nacho uleta maumivu ndani ya moyo,ilikuwa ni kama mtu aligonga na nyundo ndani ya kichwa chake!,



    akaweka chini glasi yake ya maji baada ya kumaliza kumeza vile vidonge vya kupunguza maumivu,akapiga hatua moja kuelekea kwenye kochi,akajitupa katika kochi lile...



    akaruhusu maumivu yaambaye katika kichwa chake!...



    akayapeleka macho yake katika simu yake ile.alipoiserv picha ile ya ZUBER aloipiga toka katika albamu.



    akamtupia jicho kali mfanyakazi wake MERY akamtupia swali



    "unakumbuka ulinambia huyu ni rafiki yake baba na ni marehemu kwa sasa si ndiyo?"



    MERY akagwaya,kujibu SHONE akamtupia jicho kali tena!,wote wakagutushwa macho wakayatoa pima,afadhali ya shone kuliko mery



    mfadhaiko alokuwa nao! ni baada ya kusikiliza taharifa ya habari breaking news zuber kukubal mashtaka na ushahidi kukamilika.



    "kwanza lazima nionane naye nimuoji atanifumbua kabla ya hukumu yake"



    kosa kubwa kabisa



    yah! SHONE alishajua pa kuanzia!,kuonana na ZUBERI kabla ya hukumu yake lilikuwa ni wazo zuri ambalo alifanya kosa kutamka mbele ya mery

    ila pia ulikuwa ni mtego ulonasa dakika chache badaye baada ya MERY kuomba ruksa kuwa anaelekea toilet!



    SHONE akamkubalie machale yakiwa yamemcheza...



    baada ya MERY kuingia toilet SHONE akajinyanyua na kumfata



    "yah bosi mambo yameharibika kumbe yule kibudu kimefufuka na kutiwa mkononi na wanausalama baada ya kuuwa!?....



    ndio bosi mi nilikuwa sijui! yah! sasa mkeo bado ananibana na ameshughudia kila kitu katika taharifa ya habari ivyo amepanga kwenda kuonana naye kabla ya hukumu yake.ndo nkaona nkujulishe bosi!"



    akakata simu



    akafungua mlango!,uso kwa uso akaonana na SHONE,akagwaya,shone akamtolea tabasamu hafifu,tabasamu la kejeli...



    "japo nimesahau kila kitu katika maisha yangu ila sijasahau kama nina uwezo mkubwa sana wa kupambana,kwa kujiami!,kutumia silaha,brekars,samba,ninjas,snaks,cuts,na aina mbalimbali za mateso japo sijui ujuz huo nimeupata wapi sina shaka unajua kila kitu sitaki kukuvunja vunja pingili zako!,wewe na bosi wako.,"

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akaweka tuo...mery mawazo yake hayakuwa hapo mambo yalishaharibika,aliwaza jinsi ya kujiami.,.bila kuchelewa akarudi nyuma ghafla na kujisoti teke kumwendea SHONE!,



    SHONE naye kuuonesha ubunifu akainama teke lile likapiga hewa akajinyanyua na kujirusha mzima mzima mikono akiwa kaitanua vidole kavitawanyisha,



    "nyau! nyau! nyau! nyau!"



    akalia eti kipaka,mikono yake ikararua uso wa MERY stayle ya kinyau nyau mkumbuke binti huyu alishapitia mafunzo maalumu kwa miaka 6 kabla ajapotezaga fahamu ivyo mafunzo yale bado yalikuwa katika knikjapo tangu kapoteza fahamu hakuwayi kuyafanyia mazoezi,lakini ujuzi haufi baada ya kumrarua MERY kwa kucha zake ndefu za kirembo mery akaachia mguno wa mshangao,ulocha

    nganyikana na mguno wa maumivu akistaajabishwa na bosi wake yule ambaye katu akujua kama anauwezo wa kupambana.sasa alikuwa ndani ya kabali nzito



    "utanieleza ama unielezi nikumalizie

    malaya wewe!..."



    SHONAIZAR akaoji kwa ukali,akazidi kuukunja mkono! mpaka MERY akaanza kuyageuza macho...bado akuwa tayari kufungua mdomo wake kusema alichoitajiwa kusema...



    SHONE akaamua kumuachia MERY akadondoka chini,akiwa kaishika shingo yake akikohoa mfululizo kama vile kapaliwa akakaaa kitako



    "Nadhani umeiona njia ya kuelekea kuzimu icho ni kituo nimeona upumzike lakini kusalimika kwako ni kuniambia ukweli!"



    "ukweli gani unaoutaka mama?!"



    MERY akauliza kwa ukali



    kosa!



    mvua ya vibao mangumi mateke ikamwagikia...damu zilimtoka lakini ilo shone akujali alizidi kumtandika bila kujali sauti binti yule aloitoa!,kwenye swala la kutesa SHONE alikuwa na kipaji alishawah kumtesa ZUBER hapo mwanzo walipokuwa wakiishi pamoja kumfumba PATRICK asijue kilichopo moyoni mwake...



    ghafla SHONE alikiwah kisu kabatini na kabla MERY ajasimama tayari kisu kilikuwa kifuani mwake akaanza kumchoma taratibu kwenda ndani uku uso wake ukijaa tabasamu! maumiv yalianza taratibu na kadri muda ulivyozidi kwenda shone alizidi kukizamisha kisu kile....



    "nisipo kuwa makini ntakufa nikiwa najiona!"



    MERY aliwaza sambamba na kuachia pigo la kareti katika mkono wa shone,pigo la ghafla,kisu kile kikaenda chini! mery akajinyanyua na akiwa na ghadhabu akamuwahi shone kwa teke kali ambalo lilimfanya apepesuke.



    MERY akataka akiwahi kile kisu kitendo cha kuinama lilikuwa kosa shone akauwah mguu wake na kuuvuta ghafla kwa nyuma.



    akawa kama vile kamtegea mery akadondoka! ila akutaka kujilaza.



    nukta hiyo hiyo macho ya wawili wale yalikuwa yakiangalia kisu kile sambamba na kufikiria cha kufanya!



    purukushani zile ziliwashtua walinzi getini bila kupoteza muda wakaenda kuchungulia dirishani ambapo kwa uwazi waliona tukio lile japo dirisha lilikuwa limefungwa.



    ila dirisha lile lilikuwa la vioo hivyo kumuwezesha wa nje kumuona wa ndani na wa ndani kumuona wa nje!



    shone alilifunga dirisha lile maksudi kwani mchana iliitajika liwe wazi sambamba na mlango



    Nukta hiyo hiyo macho ya wawili wale yalikuwa yakiangalia kisu kile sambamba na kufikiria cha kufanya!



    purukushani zile ziliwashtua walinzi getini bila kupoteza muda wakaenda kuchungulia dirishani ambapo kwa uwazi waliona tukio lile japo dirisha lilikuwa limefungwa.



    ila dirisha lile lilikuwa la vioo hivyo kumuwezesha wa nje kumuona wa ndani na wa ndani kumuona wa nje!



    shone alilifunga dirisha lile maksudi kwani mchana iliitajika liwe wazi sambamba na mlango ili kumbana vizur MERY,



    Walinzi wale walipojitaidi kuusukuma mlango walitambua kwamba umefungwa kwa ndani,



    wakapitisha uamuzi wamjulishe bosi wao bila kujua madhara ambayo yangeenda kutokea...



    ulikuwa ni mshtuko dhahiri shahiri kwa PATRICK



    wazo la kukaa ofisini alikwepo tena!



    yeye aliitaji daima mambo yamnyookee na katu akupenda kuona mambo yanamwendea kombo, mrama,



    kitendo cha kupokea simu na kuambiwa kuwa mke wake anampiga MERY kilimshangaza! kiualisia alijua si tatizo la nyumbani:



    machale yalimcheza,kwa vyovyote vile alijua angechelewa mambo yangemuaribikia



    ,akajipakia ndani ya gari lake na kutoka kwa spidi kali...bastola yake ndogo ikiwa kibindoni



    ******



    Sononeko ndilo lililokiandama kichwa chake,fadhaiko liliwewesesha moyo wake,raha ilitoweka,majonzi yalimtawala,



    GEREZA LA MAGEGO alipewa chumba chake peke yake.



    sijui kwa nini! na usiniulize kwa nini!

    pengine ni kutokana na uzito wa kesi yake?! la asha,..



    jibu hata yeye mwenyewe akulijua lakini ilitokea tu! chakula aliletewa!,kazi akufanya,ndoo ya kujisaidia ilikuwa humo humo ndani,



    kwa ufupi ZUBER akuwah kutoka tangu ameingizwa umo ndani.wiki mbili sasa...zilishakata mambo yakiwa hayo hayo.



    afande kibarakashee akuja tena,akupelekwa mahakamani alibaki humo humo ndani.



    JUMA TATU hii tulivu gari nyeusi aina ya pajero ilipaki katika magereza yale,akashuka jamaa mmoja mwenye urefu wa wastani,maji ya kunde nywele zake fupi alizichana vizuri alichomekea shati lake vizur katika suruali yake nyeusi zilizonyooshwa na pasi!,na kuleta umaridadi kwa mvaaji akapiga hatua zake fupi kuelekea ndani ya gereza lile...



    aliongea na maaskari kwa sekunde kadhaa kabla ajaombwa aelekezwe katika ofisi ya mkuu wa magereza akaenda wakaongea maneno kadhaa kabla ajajinyanyua na kuelekea eneo la kuongea na wafungwa.



    kitendo cha kutoka tu mkuu wa magereza akaishika simu yake ya mkononi na kumtumia msg patrick baada ya meseji kupokelewa akatabasamu.



    ********



    bado alizidi kuinamisha kichwa chake kuzama katika mawazo,hamu ya kuishi sasa ilimtoweka fukara huyu!,alijiona mbeba mikosi,nuksi,



    tangu ajuane na JANETH ni siku ya nne mwanamke yule anakufa tena kwa kuuwawa na watu wasojulikana na picha yake kutupwa pale ikiwa na maana walimlenga yeye aonekane muuaji



    KWA NINI?



    je kawakosea nini?!



    alichoka!CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/



    zuberi alikata tamaa!



    alitamani naye kufa kusudi awafate wazazi,wake na wapenzi wake pia,



    akapakumbuka kijijini kwao...tangu aondoke miaka mingi nyuma akuwah kurudi tena!



    na aliapa kutorudi...

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    shule aliacha akawa mtu wa kwenda kuwinda msituni mpaka pale alipomuokoa mwanafunz alodungwa na nyoka SHONAIZAR baada ya kukimbiwa na wenzake,akamtibu hadi akapona.wakaenda naye mjini.ndo mwanzo wa misuko suko,katu akujua SHONE yu mzima japo kapoteza kumbukumbu zake,wakati akiwa katika mawazo mazito

    lango lile likafunguliwa akaangaliana ana kwa ana na sura mbovu,



    sura ilokomaa,sura ya kazi,sura ilomwangalia kwa kejeli,



    "nifate.."



    sauti kali yenye mkwaruzo,ikapita na kuifikia ngoma ya masikio yake.



    akastahajabu!



    akajinyanyua kiuchovu na kumfata,askari yule wa magereza mpaka mahala ambapo wafungwa uonana na wageni wao



    palikuwa na mgeni!



    yule alokuja na gari na kuonana na mkuu wa magereza.mtanashati yule..

    alitabasamu muda wote.



    ZUBER alimtazama bila kurudisha tabasamu lile yamkini atamkumbuka akatoka bila suluhusuluhu



    akumkumbuka!



    mtu yule alitambua ilo haraka akafumbua mdomo wake kujitambulisha.



    kuwa yeye ni wakili wake kutoka serikalini.amekuja kwa lengo la kumtete hivyo amueleze kila kitu kuhusu kesi ile ili ajue jinsi ya kumnusurukumnusuru



    ZUBER akainamishwa kichwa chake chini ,kwikwi zikaanza kusikika wakili yule wa serikali ikabidi achukue wasaa wa kumbembeleza kabla askari ajaja na kusema muda umeisha.



    wakili yule akaomba aongezewe dakika chache askari akakubali...katu wakili yule akujua nje kulikuwa na muuaji



    mtu wa kazi



    aliyekuwa akijaribu funguo zake malaya katika gari lile mlango wa nyuma,bila wasiwasi,akafanikiwa.



    mlango ukafunguka ,akazama ndani na kuufunga,akatulia kumsubiri wakili.



    *****



    kitendo cha wakili yule kumwambia ZUBER kaja kama mtetezi kilimkumbusha mbali,kilimkumb

    usha afande kibarakashia alikuja ivyo,ivyo...



    kama huyo huyo japo yeye alikuwa na dhana za kutesea...



    ambazo hapo awali akuzitumia!...



    kabla ajarejea tena kabadilika na kumtesa akimlazimisha akubali kile ambacho akukifanya,kutokana na mateso yale alikiri...



    njia ya yeye kupona ilikuwa ni ndogo.



    kisu alishikishwa,ambacho ndicho kilichoenda kupimwa badala ya kile alisi,sauti yake ilirekodiwa akikubali! ni vipi angepona?



    au wanakuja tu kuniinjoy?



    akaafikiana na wazo lake,akanyanyua kichwa chake machozi yakiloanisha mashavu yake alikuwa kashakata shauri liwalo na liwe...akafumbua mdomo wake!



    "NAKUBALI NIMEUA"



    ZUBER akatamka huku mdomo ukimtetemeka kwa hasira,katu akupenda kusimulia simulia kisa kile ambacho aikumsaidia chochote alijitoa sadaka...



    "khe!..."



    wakili yule akastaajabu kwa jibu lile,kitendo cha kuongea vile kikamshangaza wakili yule wa serikali alotumwa kuja kumtetea



    "je ni kwa nini uliamua kufanya hivyo?"



    akaoji tena akiwa makini kusikiliza.



    "niliamua tu!"



    ZUBER alijibu kimkato,wakili akakasirika...akaisi ni dharau,akapingana na hisia hizo,



    akamwangalia kwa makini mteja wake akagundua kitu! mteja wake alikuwa kaaribika kisaikolojia,kukata tamaa,kutokana na msongo wa mawazo ni wazi kwa muda huo wasingeelewana bwana JACKSON wakili wa serikali ikabidi aondoke akafikirie la kufanya kumsaidia kijana yule,



    ambaye simanzi,mateso,

    majonz yalitawala katika uso wake...



    alishajua pa kuanzia nyumbani kwa marehemu!...ambapo ndipo alipoishi mshtakiwa,



    wazo kuu akawaoji kwanza wanaokaa na wahusika, kisha aende ofisini akaonane na katibu muhtasari..



    ndo ingekuwa mwanzo wa upelelezi wake.



    nikimaliza hatua zote mbili ntakuwa nimegundua kitu,



    JACK akawaza akiliendea gari pasina kujua ndani kuna mtu wa kazi



    akafungua mlango na kuufunga,alikuja kushtuka alipogushwa na kitu kisogoni,akupata tabu kugundua kuwa ni bastola,sauti kavu ilobeba mamlaka ikaongea kwa ukali bila chembe ya mzaa ndani yake.



    "hii ni bastola niliyoifungia kiwambo cha kuzuhia sauti ina uwezo wa kukisambaratisha kichwa chako,bila mtu yeyote kuona nami nikaliondoa gari na kwenda nnapotaka,pindi ukikiuka maagizo yangu..."

    CHANZO : http://deusdeditmahunda.blogspot.com/

    akaitimisha mtekaji!,wakili JACK akaganda,mikono imeshika mstelingi akitetemeka!,kupitia pembe ya macho alimuona vizuri kabisa yule mtu alikuwa kavaa kofia aina ya pama iloficha uso wake! yamkini asitambulike,alikuwa kavaa na koti refu huku mkononi akiwa na gloves nyeusi!



    sauti ile yenye kutoa amri ikaendendea!....



    "naomba uondoe gari taratibu ingia barabarani kata kushoto kwako ufate maelekezo yangu"



    JACK akatii na kuliondoa gari akaliingiza barabarani.





    ITAENDELEA

0 comments:

Post a Comment

Blog